6 Pack
JF-Expert Member
- Apr 17, 2022
- 1,951
- 4,236
- Thread starter
- #21
Asante sana mkuu, huu ni ushahidi wa wazi na funzo kwa mashoga na vibaraka wao wanaowatetea hapa JF.
Mpaka leo Israel haitaki tena kuthubutu kuichokoza Iran. Maana Netanyahu na genge lake watazikwa wazima wazima ardhini na makombora.
Mkuu Paschal qamara una bahati mbaya ya kupoteza muda wako wa kutetea taifa la mashoga ambalo haliwezi kupigana vita lenyewe, bila kusaidiwa na msururu wa nchi zaidi ya 5 za ulaya na Marekani.