M Z A N Z I B A R I
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 21,809
- 117,788
Wendawazimu wawili wamekutana na kila mmoja hayupo tayari kuishusha heshima yake mbele ya hadhira.
Amerika, Russia na China wanapaswa kuingilia kati kabla ya middle east haijaharibika.
Amerika asichochee vita hii bali awe msuluhishi bila ya kujali uhusiano wake na ISRAIL.
Amerika, Russia na China wanapaswa kuingilia kati kabla ya middle east haijaharibika.
Amerika asichochee vita hii bali awe msuluhishi bila ya kujali uhusiano wake na ISRAIL.