- Thread starter
- #21
akifanya Urusi mnasifia
1. Ulituona wapi tukisifia? Haya si ndiyo Yale ya Shivji?
Shivji: Chimbuko la wasiokuwa na Hoja au uthubutu wa Kuhoji, linalo ligharimu Taifa (Part 1)
2. Hoja hushindanishwa kwa hoja siyo ushabiki!
Lavrov wa Urusi awavunja mbavu wajumbe G20 India
3. Kwamba kwa vile umekurupushwa kutokea chooni, haina maana hata bila kujua nini kipo mezani wewe tayari ni mjuzi na una mahitimisho ya kila jambo.
4. Tushindane kwa hoja si ushabiki!
5. Mashabiki wenzio kina Economist, Allen Kilewella , denoo JG, JokaKuu, MK254 na wa namna hiyo kutana nao kwenye majukwaa ya Simba na Yanga na udini huko!
6. Huku tutakuona kama oil chafu tu, masalia tokea awamu ya Tano.
7. Bure kabisa!