1. Yale ya Makonda na ile TV pendwa ya pande za kwetu yametimba Al Jazeera Israel:
2. Kwamba pasipo na kusubiria kitu Al Jazeera wafunge virago?
3. Kwamba wale wachumba kumbe wamekuwa nao wakitamani malaika mfunga mitandao afanye yake?
4. Nani wa kuunga mkono ubazazi huu?
5. Hoja si hujibiwa kwa hoja? Kulikoni hoja kupingwa kwa rungu?
6. Kwamba kumbe wangependa kulazimisha mbeleko kama ya TBC kijiwe jiwe?
7. Ama kweli la kuvunda halina ubani!
"Na bado!"
2. Kwamba pasipo na kusubiria kitu Al Jazeera wafunge virago?
3. Kwamba wale wachumba kumbe wamekuwa nao wakitamani malaika mfunga mitandao afanye yake?
4. Nani wa kuunga mkono ubazazi huu?
5. Hoja si hujibiwa kwa hoja? Kulikoni hoja kupingwa kwa rungu?
6. Kwamba kumbe wangependa kulazimisha mbeleko kama ya TBC kijiwe jiwe?
7. Ama kweli la kuvunda halina ubani!
"Na bado!"