Israel yaangalia uwezekano wa kuishambulia tena Iran!!!

Israel yaangalia uwezekano wa kuishambulia tena Iran!!!

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
6,929
Reaction score
6,030
🚨 Israel yaionya Marekani: Majaribio ya Makombola ya Iran yanaweza kuficha shambulizi la Iran dhidi ya nchi yake.

Maafisa wa Israel wameutahadharisha utawala wa Trump kwamba zoezi kubwa la kombora la IRGC huenda likawa kificho kwa shambulio la kushtukiza linaloweza kutokea dhidi ya Israel.

Mkuu wa IDF Eyal Zamir aliwasilisha maswala ya kimkakati kwa Kamandi Kuu ya Marekani, akitaka kuwepo na uratibu wa kijeshi huku kukiwa na mvutano mkubwa wa kikanda.
 

Attachments

  • IMG_3366.jpeg
    IMG_3366.jpeg
    347.7 KB · Views: 8
Mpaka aende kwa bwanaake kuomba aungwe mkono,waajemi safari hii wamesema vikianza ni mpaka mmoja apotee, hakuna sizi faya
 
Back
Top Bottom