MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,657
- 48,436
Siku zote tumezoea kuona Israel wanajibu rockets za Hezbollah, na wamekua wakionya hao Hezbollah wapunguze kiherehere, lakini mtoto akililia wembe mpe tu.
Sasa wameanza kupiga.
Ikumbukwe kwa Hezbollah itakua rahisi sana maana wale hawajajificha ndani ya watoto na kina mama, huwa wamejikusanya kama jeshi.
Kwa HAMAS pale Gaza imekua mtihani, Israel wana uwezo wa kuifuta Gaza kwa siku moja, kwa kuipiga carpet bombing, lakini dunia italia lia sana, hivyo wanalazimika kupigana vita vigumu sana ambavyo wanachambua magaidi ndani ya akina mama na watoto.
Kuna hata matukio ya HAMAS kuvaa buibui na kujifanya akina mama halafu wanashambulia...
=================
Israel Air Force fighter jets attacked the areas of Eita al-Sha'ab and Majdal Zon in Lebanese territory, the IDF said on Friday.
The attack destroyed several parts of Hezbollah's terrorist infrastructure, including a military site where terrorists were believed to be working.
Sasa wameanza kupiga.
Ikumbukwe kwa Hezbollah itakua rahisi sana maana wale hawajajificha ndani ya watoto na kina mama, huwa wamejikusanya kama jeshi.
Kwa HAMAS pale Gaza imekua mtihani, Israel wana uwezo wa kuifuta Gaza kwa siku moja, kwa kuipiga carpet bombing, lakini dunia italia lia sana, hivyo wanalazimika kupigana vita vigumu sana ambavyo wanachambua magaidi ndani ya akina mama na watoto.
Kuna hata matukio ya HAMAS kuvaa buibui na kujifanya akina mama halafu wanashambulia...
=================
Israel Air Force fighter jets attacked the areas of Eita al-Sha'ab and Majdal Zon in Lebanese territory, the IDF said on Friday.
The attack destroyed several parts of Hezbollah's terrorist infrastructure, including a military site where terrorists were believed to be working.
Israel must prepare for 'heavy fire' from Hezbollah, Lebanese report warns
"The Zionist enemy must prepare and know Hezbollah plans to respond with heavy fire deep into the country," a journalist close to Hezbollah was quoted as saying.
www.jpost.com