Israel under international pressure not to attack Iran alone

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
JERUSALEM (Reuters) - Israel is facing growing international pressure not to attack Iranunilaterally, with the United States in particular making clear its firm opposition to any such strike.

Recent rhetoric by Israeli leaders that time is running out to halt Iran's contested nuclear programme has raised concern that military action might be imminent, despite repeated calls from abroad to give sanctions and diplomacy more time to work.

The U.S. Chairman of the Joint Chiefs of Staff, General Martin Dempsey, has always cautioned against a go-it-alone approach, but he appeared to up the ante this week by saying Washington did not want to be blamed for any Israeli initiative.

"I don't want to be complicit if they (Israel) choose to do it," Dempsey was quoted as saying by Britain's Guardian newspaper on Friday, suggesting that he would view an Israeli attack as reprehensible or illegal.

He went on to repeat that although Israel could delay Iran's nuclear project, it would not destroy it. He said that unilateral action might unravel a strong international coalition that has applied progressively stiff sanctions on Iran.
"(This) could be undone if (Iran) was attacked prematurely," he was quoted as saying.

While Tehran says its nuclear programme is peaceful, Western powers believe it is trying to produce an atomic bomb. Israel, believed to have the only nuclear arsenal in the Middle East, views a nuclear-armed Iran as a threat to its existence.

Adding to the sense of urgency, the U.N. International Atomic Energy Agency said on Thursday Iran had doubled the number of uranium enrichment centrifuges in an underground bunker, showing its desire to expand its nuclear work.
CRACKS IN THE ALLIANCE
Israel's vice prime minister Moshe Yaalon said on Friday he feared Iran did not believe it faced a real military threat from the outside world because of mixed messages from foreign powers.

"We have an exchange of views, including with our friends in the United States, who in our opinion, are in part responsible for this feeling in Iran," he told Israel's 100FM radio station.

"There are many cracks in the ring closing tighter on Iran. We criticize this," he said, also singling out U.N. Secretary General Ban Ki-moon for travelling to Tehran this week.

Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu has said he will speak out about the dangers of Iran in an address next month to the U.N. General Assembly in New York.

He is also expected to hold talks with U.S. President Barack Obama during his visit. A senior Israeli official told Reuters this month that Netanyahu would be looking for a firm pledge of U.S. military action if Iran does not back down.
However, the meeting might well be icy.

Israel's top-selling daily Yedioth Ahronoth reported on Friday that there had been an "unprecedented" and "angry" exchange between Netanyahu and the U.S. ambassador in Tel Aviv earlier this month over Iran.

Quoting a source who was present at the meeting, Netanyahu had criticized Obama for not doing enough to tackle Iran. The U.S. ambassador Daniel Shapiro took exception and accused the prime minister of distorting Obama's position.

The prime minister's office declined to comment on the report and there was no initial response from the U.S. embassy.

Adding to the growing chorus of concern facing Netanyahu, Haaretz newspaper reported on Friday that German Chancellor Angela Merkel had delivered a "harsh message" to Netanyahu 10 days ago, telling him to hold off on any attack plans.
The German embassy in Tel Aviv declined comment.

Israeli officials have repeatedly said that a growing array of sanctions against Iran are not having any impact on the Tehran leadership and believe they will only back down in the face of a credible threat of military action.

However, Netanyahu faces an uphill task persuading his own military and inner circle of the wisdom of a unilateral strike. Political sources told Reuters on Tuesday an ultra-orthodox party in his coalition was opposed to war.

(Additional reporting by Ari Rabinovitch; Editing by Louise Ireland)
 
This is like déjà vu all over again. But instead of North Korea, it's Iran. And did the world or Asia end in nuclear holocost as North Korea's enemies claim it would after they got the bomb?
 
This is like déjà vu all over again. But instead of North Korea, it's Iran. And did the world or Asia end in nuclear holocost as North Korea's enemies claim it would after they got the bomb?

Tatizo la Waziri mkuu wa sasa hivi wa Israel huwa wakati mwingine hatumii busara hata kidogo, mwenzake Barak Eliud ni mtu makini sana ndio maana aliwahi kuwa kamanda wa kikosi cha ukomando ambacho Natenyahu alikuwa member.

Mbona sijawahi kuona Dunia imeikalia Israel kooni wakilazimishwa kuharibu silaha zao za nuklia, hakuna ambaye aliwahi kupendekeza vinu vyao vya nuklia vikaguliwe na International Community - Sasa hizi mbinu zao wanazotumia za kutaka Merikani na Washirika wao waingie vitana kwa naiamba yao wana maana gani, kwani merikani hiko chini ya Israel mpaka kufikia hatua ya Waziri mkuu wake kudai eti Merikana na washirika wao wanachelewa sana ku-deal the IRAN mapema iwezekanavyo.

Natanyahu yuko radhi kufanya jambo la kijinga la kutaka kufanya a pre-emptive strike dhidi ya vinu vya nuklia vya IRAN bila kijali wa-IRAN wata-jibu vipi mapigo hayo, wanasahau kujuwa kuwa IRAN sio Lebanon au vikundi vya Wapalestina/Hezzibola. Hawapendi kabisa IRAN hiwe na uwezo wa nguvu za Nuklia hata kuwa na silaha za nuklia, lakini Israel kuwa na silaha kama hizo wao wanaona ni sawa tu siyo watu wengine. Tukumbuke wakati wa Vita baridi amani ilikuwa inasababishwa kwa kujuwa kwamba kila upande ulikuwa na silaha za nuklia, Israel haitataka kabisa nchi za kiarabu ziwe na uwezo kinuklia wanataka wao ndio wawe na uwezo wa ku-blackmail na kuzitisha nchi za Kiarabu ili waendelea kukalia aridhi yao waliopora kwa mabavu.
 
katika vita ninazomuomba Mungu kila siku zisitokee, hii ni moja wako.maana sipati picha itakuwaje.
the whole world will be affected!
 
Israelis are leading in technology and innovation worldwide. No one can defeat Israel by the time. The secret in all innovations in electronics companies from sumsung- iPod-nokia-all automobile are in Israel. Also, people of Jewish origin who is not Israelis'. Remember in 1958, Albert Einstein was to be the First PM of Israel and is one who facilitated the present Israel. They are planted in all companies, then technology which is not on Israelis' hands. When u go at University of Jerusalem you can belief.

No worry on it and no Middle East country will fight against this country.
 
Tatizo la Waziri mkuu wa sasa hivi wa Israel huwa wakati mwingine hatumii busara hata kidogo, mwenzake Barak Eliud ni mtu makini sana ndio maana aliwahi kuwa kamanda wa kikosi cha ukomando ambacho Natenyahu alikuwa member.

Mbona sijawahi kuona Dunia imeikalia Israel kooni wakilazimishwa kuharibu silaha zao za nuklia, hakuna ambaye aliwahi kupendekeza vinu vyao vya nuklia vikaguliwe na International Community - Sasa hizi mbinu zao wanazotumia za kutaka Merikani na Washirika wao waingie vitana kwa naiamba yao wana maana gani, kwani merikani hiko chini ya Israel mpaka kufikia hatua ya Waziri mkuu wake kudai eti Merikana na washirika wao wanachelewa sana ku-deal the IRAN mapema iwezekanavyo.

Natanyahu yuko radhi kufanya jambo la kijinga la kutaka kufanya a pre-emptive strike dhidi ya vinu vya nuklia vya IRAN bila kijali wa-IRAN wata-jibu vipi mapigo hayo, wanasahau kujuwa kuwa IRAN sio Lebanon au vikundi vya Wapalestina/Hezzibola. Hawapendi kabisa IRAN hiwe na uwezo wa nguvu za Nuklia hata kuwa na silaha za nuklia, lakini Israel kuwa na silaha kama hizo wao wanaona ni sawa tu siyo watu wengine. Tukumbuke wakati wa Vita baridi amani ilikuwa inasababishwa kwa kujuwa kwamba kila upande ulikuwa na silaha za nuklia, Israel haitataka kabisa nchi za kiarabu ziwe na uwezo kinuklia wanataka wao ndio wawe na uwezo wa ku-blackmail na kuzitisha nchi za Kiarabu ili waendelea kukalia aridhi yao waliopora kwa mabavu.



Nuclear Weapons is for Braves not DOGS
 
DOGS ????!!!!!!, may be any one against neocolonism is dog.


DOGS refers to a country like IRAN and alike, these are not supposed to be left so that they can acquire NUCLEAR WEAPONS thru their R&D b'se something bad will happen not only to Israel but also to Kuwait and others, So this kind of endangered military capabilities is for SMART ones and not that country with that crazy leadership by now.
 
DOGS refers to a country like IRAN and alike, these are not supposed to be left so that they can acquire NUCLEAR WEAPONS thru their R&D b'se something bad will happen not only to Israel but also to Kuwait and others, So this kind of endangered military capabilities is for SMART ones and not that country with that crazy leadership by now.


Unless you are quoting or expressing what your masters are thinking, which probably you do not agree, but if you really think like this, then you have got a wrong forum. We know the difference between the DOG and the free-thinking HUMAN BEING. And this could be the source of the problem, on one hand, and of the solution, on the other. Choice is yours !!! and good luck!!!
 
Unless you are quoting or expressing what your masters are thinking, which probably you do not agree, but if you really think like this, then you have got a wrong forum. We know the difference between the DOG and the free-thinking HUMAN BEING. And this could be the source of the problem, on one hand, and of the solution, on the other. Choice is yours !!! and good luck!!!


Its not a quote or an expression from anywhere, its what i think and believe, sorry if i might have oppressed you, but that is a fact even those of middle east are frightened off.
 
It is better Israel to strike Iran at the earliest possible moment. If possible even tonight. These dictatorship countries should not be allowed any weapons of mass destruction. They are led by mad men who can use them against their own people let alone other countries. No matter how we want to portray the western nations as colonial masters they use their head and do not do stupid things. Look at Syria now, a leader killing his own people and he knows very well that at the end of it he will be killed one way or another, look at what Qaddafi did, Mubarak, Sadam and Iran leadership is just like these nut cases. Burdens to the whole world.
 
Sarkozy used to say: Iran with Bomb is worse than bombing Iran
 
Hii ni vita ya kiuchumi zaidi na sio masuala ya Nuklia ila ni kama kisingizio tu.Athari zake ni kubwa sana kuliko faida hasa kwa Afrika kwasababu ya umasikini.Na rasilimali nyingi zitaibiwa na wazungu ili kukidhi haja ktk nchi zao.Vita hii itazuwa balaa kubwa hasa ukizingatia sehemu ya vita inategemewa mafuta kwa kiasi kikubwa.Kama kutakuwa na upungufu wa mafuta mnadhani maisha yatakuwaje.Kwasababu inaonekana kabisa kwamba vita hii haiwezi Israel kushinda.Hivi mnavosema technologia ya israel je mnaijua ya iran?Na huwezi kufananisha kanchi kadogo ka israel na iran ambayo ni kubwa mara labda 6.Idadi ya watu au jeshi la iran ni kubwa kuliko israel.Na isitoshe kwamba Iran inajitegemea yenyewe kwa silaha zote bila ya kununua wakati Israel silaha nyingine inabidi apewe na USA.Tusishabikie hii vita kwakweli itatuweka pabaya sana kimaisha maana njia kuu ya kupitisha mafuta inaweza kufungwa na sijui tutaishi vipi.
 
Hii ni vita ya kiuchumi zaidi na sio masuala ya Nuklia ila ni kama kisingizio tu.Athari zake ni kubwa sana kuliko faida hasa kwa Afrika kwasababu ya umasikini.Na rasilimali nyingi zitaibiwa na wazungu ili kukidhi haja ktk nchi zao.Vita hii itazuwa balaa kubwa hasa ukizingatia sehemu ya vita inategemewa mafuta kwa kiasi kikubwa.Kama kutakuwa na upungufu wa mafuta mnadhani maisha yatakuwaje.Kwasababu inaonekana kabisa kwamba vita hii haiwezi Israel kushinda.Hivi mnavosema technologia ya israel je mnaijua ya iran?Na huwezi kufananisha kanchi kadogo ka israel na iran ambayo ni kubwa mara labda 6.Idadi ya watu au jeshi la iran ni kubwa kuliko israel.Na isitoshe kwamba Iran inajitegemea yenyewe kwa silaha zote bila ya kununua wakati Israel silaha nyingine inabidi apewe na USA.Tusishabikie hii vita kwakweli itatuweka pabaya sana kimaisha maana njia kuu ya kupitisha mafuta inaweza kufungwa na sijui tutaishi vipi.

Mkuu, inaelekea huelewi nchi ya israel vizuri. Nchi zote za kiarabu zinapenda sana ziliangamize hili taifa na wakipata uwezo kidogo watafanya hivyo. Hii ndio sababu kubwa Iran wanatengeneza bomu la nuklia- kuwamaliza wayahudi. Israel wanafahamu hii kitu vizuri na piga ua, ni lazima wawapige Iran ili kusambaratisha uwezo wa kuunda hilo bomu. Sasa ili uelewe uwezo wa Israel, wamewahi kupiga nchi za kiarabu ndani ya siku 6- the six day war- niki quote kwenye wikipedia

"After a period of high tension between Israel and its neighbors, the war began on June 5 1967 with Israel launching surprise bombing raids against Egyptian air-fields. Within six days, Israel had won a decisive land war. Israeli forces had taken control of the Gaza Strip and theSinai Peninsula from Egypt, the West Bank and East Jerusalem from Jordan, and the Golan Heights from Syria." ukitaka kuelewa vizuri jinsi hawa jamaa ujiandaa kwenda vitani soma hapa http://en.wikipedia.org/wiki/Six-Day_War

Subiria wakati marekani wanaingia kwenye uchaguzi na mda huo huo Israel wataingia Iran. Hivi vita vitashusha bei ya mafuta kwa sababu waarabu wana tabia ya kuungana ili ku control bei za mafuta duniani. Huwezi pia kusema ya kwamba mafuta yatapungua sababu hata Iraq na Libya bado waliendelea kuzalisha mafuta hata kwenye vita.

Nakumbuka Iraq walisifiwa sana uwezo wao wa jeshi na walitishia sana hadi wakaweka 'red line' ambayo marekani walitakiwa kuvuka ili wapate kipigo cha "the Mother of all battles"
Mimi pia nasubiria sana hivi vita ili nijue kweli kama Israel ni taifa teule la Mungu. Naona wanachelewesha sana.
 
Mkuu, inaelekea huelewi nchi ya israel vizuri. Nchi zote za kiarabu zinapenda sana ziliangamize hili taifa na wakipata uwezo kidogo watafanya hivyo. Hii ndio sababu kubwa Iran wanatengeneza bomu la nuklia- kuwamaliza wayahudi. Israel wanafahamu hii kitu vizuri na piga ua, ni lazima wawapige Iran ili kusambaratisha uwezo wa kuunda hilo bomu. Sasa ili uelewe uwezo wa Israel, wamewahi kupiga nchi za kiarabu ndani ya siku 6- the six day war- niki quote kwenye wikipedia

Kwakuwa mmekuwa brain wash lazima mkubaliane nao ili wapate sapoti zenu.Mimi naijua Israel vizuri sana na historia yake na sio kwa kuambiwa.Waisraeli wanajijua kama nchi sio yao na ndio maana wanapapatua ili waendelee kuikalia kimabavu nchi ya wapalestina.Na waarabu hawana shida ya kuangamiza Taifa lolote isipokuwa wanataka ardhi yao irudi mikononi mwao.Na Israeli hivi sasa imepata mpinzani mkubwa na mwenye nguvu za kivita na ndio maana wanatapatapa na kubaki kuongea vita kwa mdomo lakini vitendo wanaogopa na pengine ikawa ndio uhuru wa mpalestina lakini yetu macho

"After a period of high tension between Israel and its neighbors, the war began on June 5 1967 with Israel launching surprise bombing raids against Egyptian air-fields. Within six days, Israel had won a decisive land war. Israeli forces had taken control of the Gaza Strip and theSinai Peninsula from Egypt, the West Bank and East Jerusalem from Jordan, and the Golan Heights from Syria." ukitaka kuelewa vizuri jinsi hawa jamaa ujiandaa kwenda vitani soma hapa Six-Day War - Wikipedia, the free encyclopedia
Vita ya siku sita ilikuwa vita ya mashirikiano na ufaransa,uingereza na marekani japokuwa utaendelea kusoma habari kama hizo zisizo na ukweli.Hiyo vita Israeli alikuwa ameshindwa dhidi ya Egypt na hatimae kusaidiwa na ndugu zake kwahiyo vita ya peke yake haiwezi hata siku moja labda awaonee wapalestina wenye silaha za mawe tu.Na isitoshe kwamba hiyo miaka ya nyuma technology na silaha ilikuwa kwa wachache lakini leo hii tupo kwingine kabisa na wao ndio kitu kinachowatia wasiwasi kwasababu silaha walizo nazo hata Iran na yeye anazo na sio za kununua ila anatengeneza mwenyewe ambapo hata silaha au difence zao ni za kileo kwa technolgy ya sasa.

Subiria wakati marekani wanaingia kwenye uchaguzi na mda huo huo Israel wataingia Iran. Hivi vita vitashusha bei ya mafuta kwa sababu waarabu wana tabia ya kuungana ili ku control bei za mafuta duniani. Huwezi pia kusema ya kwamba mafuta yatapungua sababu hata Iraq na Libya bado waliendelea kuzalisha mafuta hata kwenye vita.
Sasa suala la kwenda vitani hili ni suala zito sana ambalo litaiweka dunia nzima ktk shida na wengi wataangamia.Mafuta yatakuwa bei juu sana na kila kitu kitapanda na uchumi utashuka vibaya.Na hiyo vita haitokwisha haraka bali itasambaa sehemu kubwa ya dunia na kuifanya israel kufutika.Waarabu sio wanaopandisha bei ya mafuta ni wazungu ndio wanafanya bei zipande kwani makampuni mengi yanayoshughulika na mafuta ni ya wazungu.Japokuwa mafuta hayo yanachimbwa arabuni lakini ubabe wa wazungu ndio unaiweka dunia pabaya.

Nakumbuka Iraq walisifiwa sana uwezo wao wa jeshi na walitishia sana hadi wakaweka 'red line' ambayo marekani walitakiwa kuvuka ili wapate kipigo cha "the Mother of all battles"
Mimi pia nasubiria sana hivi vita ili nijue kweli kama Israel ni taifa teule la Mungu. Naona wanachelewesha sana.

Iraq ni suala tofauti na Iran kwasababu Saddam alikuwa kibaraka wa wazungu lakini hakujua kama alikuwa anatumiliwa na ndio maana wakamgeuka.Na kwanini mlichague Taifa moja kuwa ni Taifa teule la mungu.Hapana msimsingizie mwenyezi mungu kwa kulichagua Taifa lenye kufanya maasi makubwa na watu waliomkataa "Jesus, Peace be upon him".Hawa ni watu wanaouwa watoto,wanawake,wazee na hata wale vijana wasiokuwa na hatia.Hawa ni wale wenye ubaguzi na dharau kubwa na wanyanyasaji wakubwa kwa binaadamu wenzao.Hawa ndio wenye kuwavunjia nyumba wapalestina na kuwaacha hawana pakwenda.Kwakweli itakuwa ni dhambi kubwa kushabikia kwamba ni Taifa teule la mungu kwasababu kuna unyama mwingi unafanyika mpaka kuzuia watu wasiende kufanya ibada ya siku ya ijumaa kwa waisilamu na hata wakristo hunyanyaswa ktk ibada zao hata siku za pasaka au christmass.Hakuna ubinaadamu kama huo.
 
Its not a quote or an expression from anywhere, its what i think and believe, sorry if i might have oppressed you, but that is a fact even those of middle east are frightened off.

Thank you for the information and no, you have not oppressed or offended anyone and no one is frightened by any loud barking noises. It is easy when you know who is the barking DOG and who is its Masters. They stay clear from the free-thinking, reasonable and non-subservient human beings.
 
Mkuu, inaelekea huelewi nchi ya israel vizuri. Nchi zote za kiarabu zinapenda sana ziliangamize hili taifa na wakipata uwezo kidogo watafanya hivyo. Hii ndio sababu kubwa Iran wanatengeneza bomu la nuklia- kuwamaliza wayahudi. Israel wanafahamu hii kitu vizuri na piga ua, ni lazima wawapige Iran ili kusambaratisha uwezo wa kuunda hilo bomu. Sasa ili uelewe uwezo wa Israel, wamewahi kupiga nchi za kiarabu ndani ya siku 6- the six day war- niki quote kwenye wikipedia

"After a period of high tension between Israel and its neighbors, the war began on June 5 1967 with Israel launching surprise bombing raids against Egyptian air-fields. Within six days, Israel had won a decisive land war. Israeli forces had taken control of the Gaza Strip and theSinai Peninsula from Egypt, the West Bank and East Jerusalem from Jordan, and the Golan Heights from Syria." ukitaka kuelewa vizuri jinsi hawa jamaa ujiandaa kwenda vitani soma hapa Six-Day War - Wikipedia, the free encyclopedia

Subiria wakati marekani wanaingia kwenye uchaguzi na mda huo huo Israel wataingia Iran. Hivi vita vitashusha bei ya mafuta kwa sababu waarabu wana tabia ya kuungana ili ku control bei za mafuta duniani. Huwezi pia kusema ya kwamba mafuta yatapungua sababu hata Iraq na Libya bado waliendelea kuzalisha mafuta hata kwenye vita.

Nakumbuka Iraq walisifiwa sana uwezo wao wa jeshi na walitishia sana hadi wakaweka 'red line' ambayo marekani walitakiwa kuvuka ili wapate kipigo cha "the Mother of all battles"
Mimi pia nasubiria sana hivi vita ili nijue kweli kama Israel ni taifa teule la Mungu. Naona wanachelewesha sana.

Kwanini mnaita Taifa teule la mungu na kwa misingi gani?Hawa ndio waliomkataa na kumuua "Jesus peace be upon him" halafu bado mnawatukuza?Kama lingekuwa Taifa teule basi lingekuwa shwari na lisingekuwa na maadui lakini kwakuwa ni taifa la kubatizwa lisilo na muelekeo na lenye kutenda maovu makubwa na madogo,lenye kunyanyasa na kubagua wanaadamu wenzao,lenye kuua binaadamu kuliko Taifa lolote hapa duniani na kutenda machafu mengi basi msimsingizie mwenyezi mungu kwasababu mwenyezi mungu hana ubaguzi kwakuwa sisi wote tumetokana na uwezo wake.

Ubabe wa zamani sio wa sasa kama aliwahi kuwa mbabe sasa hivi tunaishi tofauti na zamani.Kama ilivo zamani waafrika kutawaliwa na wazungu na sasa inaweza ikawa ngumu kuja kutawala ingawaje wanakuja kwa staili ya uwekezaji.

Hii vita itakuwa ya maneno tu kama kwenda wangekwenda kupiga miaka mitatu au minne iliyopita kwasababu hivi sasa ni ngumu na inazidi kuwa ngumu kuingia ktk anga au ardhi ya Iran.Hanunui silaha wala difence ila anzitengeneza mwenyewe na jeshi analo kubwa sana wala hahitaji msaada kama walivo wenyewe watakuja mpaka huku Afrika kuwarubuni muende vitani mkawasaidie na nyinyi mtakwenda kuwasaidia watu spesheli wana wa mungu.

Namuomba sana mwenyezi mungu via hii iwe ya maneno tu kwani itasambaa duniani kote na tutaishi ktk mtihani mkubwa.
 
This is like déjà vu all over again. But instead of North Korea, it's Iran. And did the world or Asia end in nuclear holocost as North Korea's enemies claim it would after they got the bomb?

Hapa North Korea si Hatari kwa Israel moja kwa moja,ila Iran ni adui kwa vile kupanuka kwa Iran ni hatari kwa Israel kuliko kinyumbe chake.

USA, South Korea, japan, na China ndio wanaohofu North Korea ndio maana hawaoni sababu kuifuata iran.Pia wan sabau ya kuzuia vita kuliko kuanzisha vita kwani Iran kaonyeshs kuwa atakata njia ktk gubha ya uajemi+kawanyima mafuta ulaya.
 
Kwanini mnaita Taifa teule la mungu na kwa misingi gani?Hawa ndio waliomkataa na kumuua "Jesus peace be upon him" halafu bado mnawatukuza?Kama lingekuwa Taifa teule basi lingekuwa shwari na lisingekuwa na maadui lakini kwakuwa ni taifa la kubatizwa lisilo na muelekeo na lenye kutenda maovu makubwa na madogo,lenye kunyanyasa na kubagua wanaadamu wenzao,lenye kuua binaadamu kuliko Taifa lolote hapa duniani na kutenda machafu mengi basi msimsingizie mwenyezi mungu kwasababu mwenyezi mungu hana ubaguzi kwakuwa sisi wote tumetokana na uwezo wake.

Ubabe wa zamani sio wa sasa kama aliwahi kuwa mbabe sasa hivi tunaishi tofauti na zamani.Kama ilivo zamani waafrika kutawaliwa na wazungu na sasa inaweza ikawa ngumu kuja kutawala ingawaje wanakuja kwa staili ya uwekezaji.

Hii vita itakuwa ya maneno tu kama kwenda wangekwenda kupiga miaka mitatu au minne iliyopita kwasababu hivi sasa ni ngumu na inazidi kuwa ngumu kuingia ktk anga au ardhi ya Iran.Hanunui silaha wala difence ila anzitengeneza mwenyewe na jeshi analo kubwa sana wala hahitaji msaada kama walivo wenyewe watakuja mpaka huku Afrika kuwarubuni muende vitani mkawasaidie na nyinyi mtakwenda kuwasaidia watu spesheli wana wa mungu.

Namuomba sana mwenyezi mungu via hii iwe ya maneno tu kwani itasambaa duniani kote na tutaishi ktk mtihani mkubwa.

Kwanini mnaita Taifa teule la mungu na kwa misingi gani?Hawa ndio waliomkataa na kumuua
Biblia inasema ni taifa teule la Mungu KUM.11:12. inasema pia wayahudi watamkataa Yesu Is. 53.3

Kama lingekuwa Taifa teule basi lingekuwa shwari na lisingekuwa na maadui
Biblia ilitabiri chuki na vita kati ya wana wa Ishmael na wana wa Isaka Mwanzo 16.12

kwakuwa ni taifa la kubatizwa lisilo na muelekeo na lenye kutenda maovu makubwa na madogo,lenye kunyanyasa na kubagua wanaadamu wenzao,lenye kuua binaadamu kuliko Taifa lolote hapa duniani na kutenda machafu mengi
Hivyo visa unavyo visema vinafanyiwa waarabu tu. Ndio maadui wao kwa sababu ya Mwanzo 16:12

msimsingizie mwenyezi mungu kwasababu mwenyezi mungu hana ubaguzi
Mungu ana ubaguzi sana.
Mungu ubariki anaye penda yeye. Huo ni ubaguzi
Wengine wataingia mbinguni na wengine la. Huo ni ubaguzi.
Anaonekana kwenye vitabu vyote vya dini kupendelea watakatifu. Huo ni ubaguzi
akinichagua mimi akuache wewe ni ubaguzi.

ingawaje wanakuja kwa staili ya uwekezaji.
Zote ni haina ya silaha na niruksa kuzitumia

Hii vita itakuwa ya maneno tu kama kwenda wangekwenda kupiga miaka mitatu au minne iliyopita kwasababu hivi sasa ni ngumu na inazidi kuwa ngumu kuingia ktk anga au ardhi ya Iran

Tayari wanasayansi wanne wa Iran wanao usika na kutengeneza hilo bomu wameshauawa kati ka mazingira ya kutatanisha. Sio maneno tu. Israel wameomba na wanaendelea kuomba waruhusiwe kuingia Iran. sasa hivi wameshasema kwamba hata bila kuruhusiwa wataingia tu.

Hanunui silaha wala difence ila anzitengeneza mwenyewe na jeshi analo kubwa sana wala hahitaji msaada
inategemea anatengeneza silaha zenye teknologia aina gani. Hata Iraq walikuwa wanatengeneza scud missile. Zilikuwa zinadondoka na kutoa moshi tu bila kulipuka ndio iliokuwa technologia yao, zilipoanza kuruka zikapata zinasubiriwa na zingine zinazoitwa patriot missile zenye hawakutegemea zilikuwepo. Iran tunasubiria tuone wananini. Wingi wa jeshi sio ishu wanaweza kujipata wanapigana na drone milioni moja na intercontinental balistic missiles zinazo kontroliwa kutoka mbali. Hilo jeshi kubwa litabaki kushika silaha na kushangaa adui alipo.

Sasa sijui kuusu watu wa Mungu ndio nasubiria watakavyo fanya au kufanywa ili nijue kweli watu wa Mungu.



 
Back
Top Bottom