Israel Sasa inatosha

Hapo patolewe mda wagonjwa wahamishwe vichanga waliopo kwenye incubator wahamishwe pamiminwe mvua ya mabomu kwa masaa matatu bila kupumzika

Mkuu ukifanya hivyo na magaidi ya hamas yatatoka kama magonjwa pia[emoji28]
 
wanapiga hovyo wnaua watoto na sio hamas ila kwann hamas wasiolengw kwann hawasongi mbele? wapo mashimon tu
 

Wakimaliza kuichukua gaza magaidi yatahamia westbank huko nako watakuja kufanya kama gaza.
 
Bado hamjasema. Kwani mpaka sasa kwenye vita ngapi ngapi isije ikawa yale ya simba na yanga😂😂😂
 
Kama wameweza kuzingira maeneo yenye uhakika kua hamas wapo hapo na hawana nguvu kwa nini wasiwakamate au kuwashambulia moja kwa moja kwa mtutu kwanini wanapiga makombora.
 
Israel itangaze kusitisha vita kwa masaa kadhaa ili watu waliopo hospitalini hapo wahamishwe. Baada ya muda wa tangazo watakaokua wamekaidi kuondoka hospitalini hapo basi wote "manzi ga nyanza" shusha Bomu.

Litakua ni kosa kubwa sana Israel kusitisha vita na kuaacha hao viongozi wa Hamasi humo ndani. Siku zote huruma inaponza.
 
Katika vitu 3 ulivyoviona katika vita hii
1. Kulipuliwa kwa hospitali unamsifia Israel na kumpa lawama Hamas

2. Aje kulipua hospitali yenye watoto wachanga, wazee na wagonjwa mahututi uje umsifie Israel na kumpa lawama Hamas

Bado nawaza kwanini utoe mawazo ya jumla na huku ukionyesha ni shabiki wa nani....
 
Elewa kubwa haya mauaji GAZA yanayofanywa JEWS...na kupata support ya US
Yanahuzunisha, yanasonenesha kwa waumini na wengineo.
Naamini tukio hili litazidi kujenga CHUKI kubwa kwa JEWS, kushinda hata enzi za HITLER.

Naamini kwa namna walivyoekelezewa hawa JEWS wana chuki nzito dhidi ya uislamu, hasa kwa namna ambavyo dini yao imekuwa ni minority, wakati mitume wa mwanzo walipitia kwao....

Kinachowauma ni kwa VIP ufalme ulihama kwao .
Kwa kuwa wamejipenyeza US, wanatumia kila sina ya resources.... lakini misingi yao na principles za US na Western ni for artificial, kuna wakati kizazi kitaikataa.
Najaribu kuangalia maandamano ya kuwapinga JEWS huko Western, inatoa picha kamili namna watu wameshaelewa hawa JEWS...

Moja ktk makosa makubwa ambayo NETANYAHU amewahi kuyafanya ni haya mauaji ya GAZA, na ameandika kitabu kibaya cha historia ya JEWS
 
Kama MUNGU mwenyewe aliwaambia wasiache hata kuku wewe una huruma kumshinda MUNGU aliyeumba hao watu?
Weka hisia pembeni ndugu. Ukitangaza uadui jua kuwa na ukoo wako wote umewaingiza bila kujali umri wao.
Hao watoto walikua ndio wanaofanya ushenzi, kumbuka miaka 15 nyuma hao migambo wakatili walikuwa watoto
 
kama matanki ya maji yanawapa adui advantage ya kuendelea kujidai, kwanini usiyapige, wamelipua ili hamas wakose maji.
Ili raia wapate wapi maji ya kuyatumia?...

Ujinga sana kushabikia haya yanayoendelea kwa kila upande
 
Ili raia wapate wapi maji ya kuyatumia?...

Ujinga sana kushabikia haya yanayoendelea kwa kila upande
raia wameshaambiwa waondoke, na wameenda kusini,na waliobaki wanapelekewa maji kwa matanki ya gari.
 
Shida sio kupiga vitoto shida ni Hamas ambae kaweka Kambi yake ndani ya jumba la hospital kuwaweka w
Hao watoto kama ndio guard yake
 
Ukiongea jambo leta na ushahidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…