Israel Preparing Options To Strike Iran...

Naimani hata kama uchumiwa wa Ulaya utadidimia kiasi gani hawatosita kuleta hela ya bajeti hapa TANZANIA
BJ your right. Watu wako hapa wanaimba wimbo wa uchumi wa ulaya kudorora lakini mabakuli wakinga.
Hata kama ungedolola kiasi gani ni kweli lazima bajeti yetu iwategemee. Sijawahi kusikia bajeti yetu inawategemea middle east. Ni ajabu kweli, si ajabu na kweli.
Tena ni vizuri niwataadhalishe kwamba Israeli ninavyowajua na usiri wao sidhani kama wanaweza kupanga mipango nyeti kama hii wakaivujisha kirahisi hivi. Kama wakifanya hivyo basi kuna sababu ya kiusalama na hakuna mpango kama huo.
Ninachojua vita itakuwa kali lakini Israeli lazima atashinda. Believe me or not.
 
Wanatakiwa kukumbuka kuwa Iran sio Iraq, muziki utakaochezwa baada ya jaribio hilo kufanikiwa au kushindwa unaweza kuja kumbukwa kama wanavyomkumbuka Hitler. Mwiba wa Israel uko Lebanon na Syria, proxies za Iran, ambazo zinasubiri orders tu kufanya mambo. Cha muhimu hapa ni kuangalia what will be the cost of denying Iran the nukes, and what will be the cost of letting it have them and concetrate and building up a deterence. Mabomu ya nyuklia huwa hayatumiwi, yanawekwa kwa vitisho tu na kutaka heshima. Let us wait and see, kama wakitaka kujaribu moto basi wajaribu.

Nafikiri unakosea. Waisrael kama taifa la kivita huwa hawajaribu sumu kwa kuinywa. Hawa jamaa wako vizuri sana ktk mambo ya ujasusi , na hilo waarabu wanalijua vyema...

Ukiona wanaongelea kitu ujue wana uhakika nacho.
 
Hakuna makosa yoyote yale. Mipaka ya Kimataifa inaeleweka. Hata katika majaribio ya Clinton alipokuwa Rais katika kutafuta suluhisho la Wapalestina na Wayahudi hili la kurudisha ardhi iliyotekwa na Wayahudi 1967 lilikuwemo. Hivyo si siri kwamba wamekalia ardhi ambayo kimataifa inajulikana siyo ya kwao. Vinginevyo sheria za kimataifa hazina umuhimu wowote wa kuwepo, maana mwenye nguvu mwache afanya anavyotaka na wale wanyonge wanyamaze tu. Kweli mkuki kwa nguruwe....


BAK,

Sheria za kimataifa gani unazozizungumzia ndg? Maana ktk historia tunajua himaya huundwa na kuvunjwa..na mipaka huundwa na kubadilika..Ukitaka kila binadamu arejee ktk ardhi yake ya mababu hii sayari haitatosha!!

Mathalan, unasema wayahudi hiyo si ardhi yao. Sasa niambie i wapi ardhi yao?
 
BAK,

Sheria za kimataifa gani unazozizungumzia ndg? Maana ktk historia tunajua himaya huundwa na kuvunjwa..na mipaka huundwa na kubadilika..Ukitaka kila binadamu arejee ktk ardhi yake ya mababu hii sayari haitatosha!!

Mathalan, unasema wayahudi hiyo si ardhi yao. Sasa niambie i wapi ardhi yao?

hawezi maana historia ya dini yake inamwambia mchukie myahudi, lakini haimuelezi chochote kuhusu historia ya myahudi.
Naufurahia ukristo maana umeainish historia mbali mbali za mwanadamu a2z
Na hapo ndipo utaona tofauti ya dini hizi mbili Mtindiowaubongo
 
BAK,

Sheria za kimataifa gani unazozizungumzia ndg? Maana ktk historia tunajua himaya huundwa na kuvunjwa..na mipaka huundwa na kubadilika..Ukitaka kila binadamu arejee ktk ardhi yake ya mababu hii sayari haitatosha!!

Mathalan, unasema wayahudi hiyo si ardhi yao. Sasa niambie i wapi ardhi yao?

Kwani wewe hujui kama kuna sheria za Kimataifa!? Dunia hii haiendi kishakala baghala kwa mwenye nguvu kumuonea asiye na nguvu, ingekuwa hivyo dunia ingekuwa uwanja wa fujo.

Naona unaenda kwingine kabisa. Kulikuwa na vita mwaka 1967 ambapo ardhi ya Wapelestina, Syria na Misri ilitekwa na Wayahudi. Hii ndiyo ardhi ninayozungumzia kama hujui basi tafuta darasa mahali ili ulijue hili kwa kina.


Six Day War: Land Ownership Disputes Arise
by Linda Gradstein

Listen Now add to playlist

Morning Edition, June 7, 2007 · In the Six Day War of June 1967, Israel defeated the combined armies of Egypt, Syria and Jordan, capturing the West Bank, East Jerusalem, the Gaza Strip, the Golan Heights and the Sinai Peninsula. For Israel, it was a stunning triumph; for Arabs, a humiliating defeat.

Israel no longer occupies the Sinai or Gaza, but its continued hold over the other territories has stymied efforts to bring comprehensive peace to the Middle East.

The fourth part of a five-part series on the Six Day War follows.

The end of the 1967 war and the beginning of the Israeli occupation of the West Bank and Gaza Strip brought dramatic changes to the lives of both Palestinians and Israelis.

In the West Bank, Israel confiscated large chunks of agricultural land where settlements were eventually built. For some Israelis, the occupation meant a chance to return to the homeland of their ancestors.

The Palestinian village of Turmus Aya and the neighboring Jewish settlement of Shilo were among those areas affected. As in other areas, land ownership disputes are many.

"My land is where the pine trees are that you can see right here," says Mahmoud Hazameh, 68. "These pine trees I planted myself. There's also another piece of land on the other side of the mountain, which has been taken also from me."

Hazameh said he grew grapes, chickpeas and wheat on that land, before the 1967 war – and continued to farm it after. He takes out yellowing documents dating back to the Ottoman Empire that he claims prove his ownership.

But in the mid-1970s, Israel confiscated most of his land, he said. Hazameh hired a lawyer and tried to get it back. Even after he lost in court, he still tried to farm the land that was no longer his, he said.

"I didn't stop," Hazameh says. "I started taking six and seven tractors with a lot of workers and I started marching towards my land - the land that had fed my whole community and my ancestors."

But the settlers uprooted his crops and the police refused to help him, he said. Eventually, he gave up.

Even today, 40 years after the 1967 war, the question of land ownership in the West Bank is one of the most highly charged and complex issues.


An Israeli government spokesman says the land of Shilo was built exclusively on what is known as "state land." That means it either belonged to the Jordanian government before 1967 or to Palestinians who fled the West Bank during or after the war.

But Peace Now, a dovish Israeli group that opposes the settlements, says most settlements are built on a combination of state land and private Palestinian land. In the case of the Shilo settlement, Peace Now says more than one-quarter of the land belongs to Palestinians like Hazameh.

Turmus Aya is just 10 miles from the Palestinians financial and political capital Ramallah. There, farmers still raise the same crops their fathers and grandfathers did. The homes are large - built for extended families -- with outdoor terraces shaded by grape arbors.

Mayor Mohammed Jamil Ibrahim says the village is 400 years old, and that life was peaceful until the June day in 1967 when Israeli soldiers first entered the village.

"People were in panic. People were scared," Ibrahim says. "People had heard a lot of stories from the refugees of 1948 (about) how the Israelis … acted aggressively against the people of Deir Yassin and the people of Kibya, so they expected a lot of aggression."

Hundreds of residents fled to Jordan, where many remain today, Ibrahim says. For those who stayed, life changed dramatically in 1975 when a group of fervently religious Jews started an archaeological excavation on a nearby hill. Ibrahim says soon after the settlers appeared, Israeli officials came to reassure the residents of TurMus Aya about their new neighbors.

"At the beginning, the military chief of this area would say, 'They are looking for artifacts. Don't annoy them. Don't disturb them.' Slowly, slowly, their caravans started coming and their caravans became permanent. Then they started building houses and so on and so forth," Ibrahim says.

As the settlement began to encroach on Palestinian land, Israeli officials offered compensation but the residents refused, Ibrahim says.

The mayor says there were never any friendships between the Palestinians and the settlers. But he said dozens of young men from the village did go to work in Shilo. This ended with the first Palestinian intifada in the late 1980s.

Israeli soldiers entered the village frequently, searching for Palestinians involved in attacks on Israelis. Soldiers built a large, dirt barricade making it impossible for villagers to reach the main road between Ramallah and Nablus.

Today, amid a relative lull in the violence, a few Palestinians have returned to work in Shilo's aluminum factory. But none of them is from Turmus Aya.

Yakov Yarden, one of Shilo's first settlers, says he misses the Palestinian friends he made before the violence engulfed the West Bank.

"The Arabs usually worked here, but we came to them also - to their weddings and other things," Yarden says.

For many religious Israelis, the lightning victory of the 1967 war was proof of divine intervention.

Jews could return to live in places mentioned in the Bible. Beginning in the mid-1970s, they began building Jewish settlements all over the West Bank. Today, more than a quarter-million Israelis live in the West Bank, not including East Jerusalem.

Shilo has grown to 250 families, and the settlement now has its own yeshiva, or rabbinical training institute. One of Shilo's founders, Shevach Stern, said the settlers always hoped to have good relations with their Arab neighbors. At the beginning, the villagers of Turmus Aya welcomed them, he says.

"They liked the idea that we were here," Stern says. "Because they knew, from other places, that wherever the Israel comes, progress comes. They knew that the village would get electricity and water – they would get work here and that's how it was for quite a few years."

Settlers say that all changed with the first intifada. Since then, eight settlers from Shilo and five Palestinians from Turmus Aya have been killed. Dozens have been wounded, among them David Rubin. Five years ago, he was on his way home from Jerusalem when his car came under a hail of bullets. Both he and his then 3-year-old son were gravely wounded.

Today, Rubin spends his days teaching Christian groups about the Biblical importance of Shilo. Living in the settlement means a daily connection to Jewish history, he says.

"When my children walk down to school every day, they go down the hill and every day I think, 'Wow. This is amazing. My children are walking down the same rocks that Samuel the prophet walked on when he grew up in Shilo,'" Rubin says.

Rubin, and many other settlers, say the entire West Bank should be placed under permanent Israeli sovereignty. But their Palestinian neighbors in TurMus Aya say there can be no peace unless all of the Jewish settlers leave.

(Because of intense interest in the Israeli-Palestinian conflict, NPR makes available free transcripts of its coverage. View the free transcript of this story.)
 
Olmert condemns settler 'pogrom'
BBC News Online

Cars and homes were burnt as settlers rampaged after the eviction
Outgoing Israeli PM Ehud Olmert has compared the violence used by Jewish settlers against Palestinians in Hebron to bygone anti-Semitism in Europe.

He told Cabinet he was ashamed by recent scenes in the West Bank city, which he said amounted to a pogrom.

The settlers shot and wounded three Palestinians and set fire to property after Israeli security forces evicted a Jewish group from a disputed building.

Correspondents say Mr Olmert's use of "pogrom" has particular resonance.

It is usually associated with the anti-Semitic violence Jewish people experienced in Europe and Russia in the 19th and 20th centuries.

"As a Jew, I was ashamed at the scenes of Jews opening fire at innocent Arabs in Hebron. There is no other definition than the term 'pogrom' to describe what I have seen," he told Cabinet members, according to public radio.

"We are the sons of a nation who know what is meant by a pogrom, and I am using the word only after deep reflection."

Video from an Israeli human rights group showed two settlers shooting Palestinian rock-throwers on Thursday.

About 600 Jewish settlers live in the city, with several thousand more in surrounding settlements.

It is not the first time Mr Olmert has used the word to condemn Jewish settlers - in October he described a rampage through a Palestinian village in the West Bank as a pogrom.
 

BAK,

Nimekuuliza swali dogo tu..nalo ni hili..

Sasa niambie i wapi ardhi yao?

Sasa hebu linanganisha na upupu ulioumwaga..

Kumbuka kuwa historia haikuanza mwaka 1967. Umewahi kujiuliza kwanini Wayahudi hawakuja kuvamia mathalan, Tandahimba au Pemba, wakaenda kwenye ardhi ya hawa wafilisti?

Pekecha akili zaidi bana..
 
BAK,
...
Kumbuka kuwa historia haikuanza mwaka 1967. Umewahi kujiuliza kwanini Wayahudi hawakuja kuvamia mathalan, Tandahimba au Pemba, wakaenda kwenye ardhi ya hawa wafilisti?

Pekecha akili zaidi bana..

Kumbuka Muingereza alikuwa ana wazo la kuunda taifa la wayahudi UGANDA as far back as 1920's. Africa mashariki tuliponea.

Huwa nawaza kwa nini ni haki kwa wayahudi kutangaza kuwa wanalijenga taifa la kiyahudi [DINI], lakini ni kosa kwa muarabu kusema nataka kulijenga taifa la kiislamu [DINI].

Kwanini liwe kosa kwa kiongozi mmoja kusema ataiangamiza Israeli lakini ni haki kwa waisraeli kuwa kandamiza wapalestinia.

Hebu mnao watetea Waisraeli niambieni, na mue wakweli, tofauti ya wanayo yafanyia palentinian's waisreli, tofauti iko wapi na waliyo tufanyia wakoloni.

Itakuwaje mtu kuhamia sehemu fulani ambayo tayari walikuwa wanaishi watu kwa sheria zao, halafu kaja kulitenga sehemu fulani kisha akazieka sheria zake mwisho kaliita taifa lake.

Kwa watu waliokandamizwa [Germany] Jews should be last group of people to oppress the palestinians. Kosa ni kosa liwe la muisraeli, mwarabu, suluhisho ni watu kuyakemea yote, sio kumkemea mmoja wakati mwenzake anafanya kosa.

Kwa maoni yangu the west hawa yashutumu wanayo yafanya israeli kwa sababu wanaona aibu sababu ya matendo walio wafanyia, ama kutowapa msaada in time.

Hata hivyo ikiwa israel inataka kuishi kwa amani, basi itabidi kwanza wakubali kuwa hata wao wamekosa, wawape heshima na haki zao waarabu. Si kutarajia watawatishia maisha yao yote.

Kumbukeni especialy hivi sasa uchumi wa dunia uko pabaya,the west itabaki haina hela za kuwapa waisraeli. Hapo basi ndo watajikuta on level playing ground, ITAKUWAJE KISHA.
 
Kumbuka Muingereza alikuwa ana wazo la kuunda taifa la wayahudi UGANDA as far back as 1920's. Africa mashariki tuliponea.

Huwa nawaza kwa nini ni haki kwa wayahudi kutangaza kuwa wanalijenga taifa la kiyahudi [DINI], lakini ni kosa kwa muarabu kusema nataka kulijenga taifa la kiislamu [DINI].

Kwanini liwe kosa kwa kiongozi mmoja kusema ataiangamiza Israeli lakini ni haki kwa waisraeli kuwa kandamiza wapalestinia.

Hebu mnao watetea Waisraeli niambieni, na mue wakweli, tofauti ya wanayo yafanyia palentinian's waisreli, tofauti iko wapi na waliyo tufanyia wakoloni.

Itakuwaje mtu kuhamia sehemu fulani ambayo tayari walikuwa wanaishi watu kwa sheria zao, halafu kaja kulitenga sehemu fulani kisha akazieka sheria zake mwisho kaliita taifa lake.

Kwa watu waliokandamizwa [Germany] Jews should be last group of people to oppress the palestinians. Kosa ni kosa liwe la muisraeli, mwarabu, suluhisho ni watu kuyakemea yote, sio kumkemea mmoja wakati mwenzake anafanya kosa.

Kwa maoni yangu the west hawa yashutumu wanayo yafanya israeli kwa sababu wanaona aibu sababu ya matendo walio wafanyia, ama kutowapa msaada in time.

Hata hivyo ikiwa israel inataka kuishi kwa amani, basi itabidi kwanza wakubali kuwa hata wao wamekosa, wawape heshima na haki zao waarabu. Si kutarajia watawatishia maisha yao yote.

Kumbukeni especialy hivi sasa uchumi wa dunia uko pabaya,the west itabaki haina hela za kuwapa waisraeli. Hapo basi ndo watajikuta on level playing ground, ITAKUWAJE KISHA.

Hamna mtu anayeweza mwenye akili timamu leo hii anaweza kuja na hekaya kuwa eti Israel 'inakalia' ardhi ya Waarabu.

Ndo maana nikauliza swali hivi unadhani kwa nini wayahudi hawakuona ardhi nyengine yeyote duniani isipokuwa ya hawa wafilisti? Naona bado hujaiona hoja ..unapapasa-papasa..
 
Hamna mtu anayeweza mwenye akili timamu leo hii anaweza kuja na hekaya kuwa eti Israel 'inakalia' ardhi ya Waarabu.

Kwanza, jadili hoja, sio kutupa matusi, hakuna aliyekutukana hapa.

Pili, soma kuhusu
British Mandate of Palestine [League of Nations involvement/Purpose],
partition of Palestine,
Eretz Yisrael,
Zionist movement,
Theodor Herzl,
Catholic persecution of Jews. just to start.

Hapo basi utaanza kuona mambo yalivyo
 
Pili, soma kuhusu
British Mandate of Palestine [League of Nations involvement/Purpose],
partition of Palestine,
Eretz Yisrael,
Zionist movement,
Theodor Herzl,
Catholic persecution of Jews. just to start.

Hapo basi utaanza kuona mambo yalivyo

Hivi ni vichwa vya habari ambavyo ni very general ..lete hoja behind sio kunipa assignment kama mwanafunzi..
 
Hivi ni vichwa vya habari ambavyo ni very general ..lete hoja behind sio kunipa assignment kama mwanafunzi..

Hayo yote siwezi yaandika hapa, lakini ni muhimu kuyaelewa ikiwa utaijadili issue ya israel. Sawa na kuielewa issue ya Dini na inavyo changia.
Kama ulivyo sema hii isue ilianza kitambo mfano 15th century Edict of Expulsion huko Spain ilichangia kuhamia kwa wayahudi kwenda "The Promised Land".

League of Nations walichangia kutengwa kwa taifa la israeli walipo wapa Waingereza "mandate over Palestine", ili "waitayarishe" sehemu ile, kwa kuwawekea wakazi wake vikwazo [Kiuchumi, Kisiasa, nk] vitakavyo lainisha kutengwa kwa taifa la israeli.

Hayo ni machache tu yako mengi, ukweli ni kuwa wote wameteseka, lakini hiyo si sababu ya kumuinua mmoja juu ya mwenzake.
 
Sasa comments kama hizi unategemea Israel na backers wake watazichukuliaje?
By the way naona Sarkozy ameshawahakikishia Waisrael back up.
Iranian VP calls for Israel's destruction

Esfandyar Rahim Mashaei, who caused a stir recently by saying Iran is friend to Israel, decides to reiterate President Ahmadinejad's calls for obliteration of Zionism. 'Corrupt Zionist regime harming Islamic world, all of humanity,' he says Dudi Cohen Published: 12.09.08, 21:51 / Israel News


Iranian Vice President Esfandyar Rahim Mashaei believes the destruction of Israel should become an international goal and a global demand, the state-owned IRNA reported Tuesday.


The agency quoted Mashaei, who several months ago called his country "a friend of Israel", as blaming the "Zionist regime" for the world's ills.
Mashaei, currently in Mecca for the hajj pilgrimage, met with Sudanese President Omar Hassan Ahmad al-Bashir and told him, "The corrupt and criminal Zionist regime is harming not only the Arab and Islamic world, but humanity in its entirety."

He added that "in order to save humanity from its different crises, there is no other way other than the limiting of Zionist influence on human society, because the root and origin of most of the world's current crises are related to Zionism."
Mashaei, currently cultural heritage and tourism organization chief of Iran, caused a commotion recently when he said during a tourism convention that "no nation in the world is our enemy. Iran is currently a friend of the people of the US and Israel."
The surprising remark caused over 200 of the country's parliament members to issue a statement of condemnation. "Mr. Mashaei has no right to say these shameful things and he is not in a position to take on such a responsibility," the statement said.
"Mashaei must not realize that he is calling them a nation, while they are the ones occupying the homes of millions of Palestinians."

In this light, Mashaei's new statement can be seen as an informal retraction of his earlier, more controversial speech. His cry to eliminate Israel is in line with the many earlier statements made by Iranian President Mahmoud Ahmadinejad.
Mashaei is considered a close affiliate of Ahamadinejad, and earlier this year his daughter married the president's son. Though many called to have him dismissed from the government following his previous statement regarding Israel, Mashaei appears to have reinstated his claim to office with his latest remarks.
 
Hayo yote siwezi yaandika hapa, lakini ni muhimu kuyaelewa ikiwa utaijadili issue ya israel. Sawa na kuielewa issue ya Dini na inavyo changia.
Kama ulivyo sema hii isue ilianza kitambo mfano 15th century Edict of Expulsion huko Spain ilichangia kuhamia kwa wayahudi kwenda "The Promised Land".

League of Nations walichangia kutengwa kwa taifa la israeli walipo wapa Waingereza "mandate over Palestine", ili "waitayarishe" sehemu ile, kwa kuwawekea wakazi wake vikwazo [Kiuchumi, Kisiasa, nk] vitakavyo lainisha kutengwa kwa taifa la israeli.

Hayo ni machache tu yako mengi, ukweli ni kuwa wote wameteseka, lakini hiyo si sababu ya kumuinua mmoja juu ya mwenzake.

Je, wamfahamu binti mrembo Kim Khardashian?

Pata tafakari kuhusu Genocide waliyofanyiwa mababu zake Waarmenia na waturuki. Inasemekana zaidi ya 3/4 ya waarmenia waliuawa na waliosalia kukimbizwa kutoka ktk ardhi yao mashariki mwa the modern Turkey.

[media]http://youtube.com/watch?v=SzZ_B1lC55o&feature=channel[/media]

Hawa Waarmenia wamechinjiwa baharini, na kilio chao kinakuwa kama kilio cha samaki na hakuna anayekisikia wala anayewajali. Zaidi ya hapo, jamii chache zilizopo bado huko modern Turkey zinaendelea kupata dhahma na dunia wala haijishughulishi..

Hayo yalikuwa maelezo ni angalizo tu. Hivyo kama tunaanza kujadili kila mtu arudishiwe ardhi yake tuanze na hawa Waarmenia.

Hoja yangu ya mwanzo ilikuwa suala la msingi ni hawa wayahudi na wapalestina waangalie jinsi ku-co-exists. Suala la kumuona myahudi peke ndiye mkosaji ndio linalofanya mpango mzima wa amani kuwa ndoto.
 
Back
Top Bottom