Israel opened masjid Ebrahim as

Israel opened masjid Ebrahim as

Col FEN

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2017
Posts
327
Reaction score
460
For the first time Israelis have opened up Masjid-e-Ebrahim. Here you can see graves of Prophet Yakoob, Yousuf and Ebrahim Alehi Salaam Ajma'een.
0e45ca1e39c6ea303c69d72cdc26f7a6.jpg


54803c17d321712c9b9c6a0db3b5a58e.jpg
79c368db2ac43f8b4b82867862997252.jpg
ab4bd9dd00df26fcd97eb6a17fa715db.jpg
d71e9ea7cd8aef92831a13701e896d25.jpg
 
HIVI HAO MANABII WALIKUWA WAISLAMU AU WAISRAELI???KAMA WALIKUWA WAISLAMU MBONA SASA WAYAHUDI NA WAISLAMU HAWAPATANI???MBONA MAISHA YAO YAKO ISRAEL NA SIO UARABUNI???MBONA KAMA KUNA UONGO NAUONA HAPA??
mkuu mpaka leo kwani hujui kama israeli ipo katikati ya nchi za kiarabu?

na si kila muisraeli dini yake ni ya kiyahudi kama kumbukumbu zangu zipo sahihi 10 mpaka 15% ya waisraeli ni waumini wa dini ya kiisilamu.

waarabu na waisraeli wote wanatokana kwa Ibrahim, ambaye alizaa watoto wawili, Ismail na Is'haq.

ismail ndio mpaka kizazi chake anakuja kutokea Mtume muhamad, ni kizazi cha waarabu.

Is'haq mpaka kwa yaakub, yusuf, musa hadi yesu ni kizazi cha waisrael.

Hilo eneo Hapo lina historia za Dini zote mbele unaweza ongeza na ukristo ukaeka dini tatu, ndio maana kuna ugomvi kila siku.
 
mkuu mpaka leo kwani hujui kama israeli ipo katikati ya nchi za kiarabu?

na si kila muisraeli dini yake ni ya kiyahudi kama kumbukumbu zangu zipo sahihi 10 mpaka 15% ya waisraeli ni waumini wa dini ya kiisilamu.

waarabu na waisraeli wote wanatokana kwa Ibrahim, ambaye alizaa watoto wawili, Ismail na Is'haq.

ismail ndio mpaka kizazi chake anakuja kutokea Mtume muhamad, ni kizazi cha waarabu.

Is'haq mpaka kwa yaakub, yusuf, musa hadi yesu ni kizazi cha waisrael.

Hilo eneo Hapo lina historia za Dini zote mbele unaweza ongeza na ukristo ukaeka dini tatu, ndio maana kuna ugomvi kila siku.
Israel sio waislam acha kupotosha, ndo maana anawagonga waarabu na allah wao kwani sio Mungu, long live Israel the blessed holy country
 
Sikilizeni nyinyi : UKIRISTU na UYAHUDI ni Uislamu wa Kale.

Uislam wa Leo ni Uislam wa Sasa!

Msipoyaelewa haya, mtapata shida sana, mtagawanywa sana na mtashindwa kuelewa kuwa kimsingi Msingi wa Dini zetu ni moja tu nayo ni KUJISALIMISHA kwa Mwenyezi Mungu Muumba mbingu na nchi!!

Ni kama vile Unavyoona Windows Version za Microsoft, Kuna Windows 95, Windows XP and then Windows 10. Lakini zote ni Windows zilezile!, Kernel ni ileile!!

Ndiyo maana Waislamu husema kuwa Uislamu kwa watu ulianza toka adam Ila tu kila nabii anakuja na mafunzo yake!!!

Kwa maana hiyo, wewe unayenisoma hapa kama ni Mkiristu, Basi wewe ni Mfuasi wa Uislamu wa kabla ya Mtume Muhammad!
 
Israel sio waislam acha kupotosha, ndo maana anawagonga waarabu na allah wao kwani sio Mungu, long live Israel the blessed holy country

sensa ya 2014 asilimia 17% ya waiziraeli ni waisilamu,

Religion in Israel - Wikipedia

na binadamu wote mbele ya mungu wapo sawa, mbora kati yao ni yule mcha mungu.

pia si waarabu wote ni waisilamu, kuna waarabu wakristo, wasioamini dini etc.

Nchi kubwa ya kiarabu yaani misri ina wakristo zaidi ya milioni 8,

lebanon 40% ya population yao ni wakristo,

kipindi Israeli anapigana na Hezbollah na anaipiga lebanon walikufa wakristo wengi tu wa kiarabu.

na wewe ni dini gani? sababu waisiraeli hawamuamini yesu wanamuona feki vile vile kama wasivyompenda muhammad.
 
Waislamu ni 19%, wakristo ni08% ,waorthodox ni 14% dini zingine no 3% na waliobaki hawana dini rasmi.
Hivyo waislamu ndio wengi kuliko dini zingine.
Na hao 19% ni waarabu waisrael, sio Wayahudi, ujue hilo, hivyo ni mule mule kiasili hakuna Myahudi au Mu Israel wa asili ambaye ni Muislam.
 
sensa ya 2014 asilimia 17% ya waiziraeli ni waisilamu,

Religion in Israel - Wikipedia

na binadamu wote mbele ya mungu wapo sawa, mbora kati yao ni yule mcha mungu.

pia si waarabu wote ni waisilamu, kuna waarabu wakristo, wasioamini dini etc.

Nchi kubwa ya kiarabu yaani misri ina wakristo zaidi ya milioni 8,

lebanon 40% ya population yao ni wakristo,

kipindi Israeli anapigana na Hezbollah na anaipiga lebanon walikufa wakristo wengi tu wa kiarabu.

na wewe ni dini gani? sababu waisiraeli hawamuamini yesu wanamuona feki vile vile kama wasivyompenda muhammad.
Hao 17% ni Waisraeli-Waarabu ujue hilo.
 
NI KICHEKESHO KUSEMA UISLAMU ULIKUWEPO WAKATI WA ADAMU,WAKATI HISTORIA INASEMA UISLAMU ULIANZA BAADA YA MOHAMAD AKIWA MWANZILISHI.WALE MANABII WOTE WALIKUWA WAEBRANIA AMBAO NDIO WAISRAELI WA SASA...

mkuu usilazimishe imani za watu ziwe unavyotaka wewe, Muhammad ni kizazi cha Ibrahim/Abraham na siku zote katika uisilamu Ibrahim anajulikana kama baba wa imani.

uisilamu ni muendelezo wa mafundisho tokea kipindi cha adam, kuja ibrahim, kuja musa, kuja daud, suleiman, yesu hadi muhammad.

Kila mtume anakuja na mafundisho yake kutokana na hizo zama.

ndio maana hata kwenye uisilamu nguzo sita za imani ni lazima uamini vile vitabu vinne yaani quran, injili, zaburi na taurati.

chunguza mafundisho ya muhammad mengi ni sawa na mitume waliopita na waja wema waliopita, mfano angalia

-waisilamu wanajitanda mitandio hata waja wema kama mama yake yesu yaani maria alikuwa akijitanda
-waisilamu wana swali kama Musa na yesu walivyoswali
 
Hao 17% ni Waisraeli-Waarabu ujue hilo.
possible, ila kuna waarabu 20% na waisilamu 17% hivyo inawezekana hao wakristo asilimia 2 wakawa waarabu, na katika hio 17% ya waisilamu kukawa na waisiraeli natives vile vile.

soma historia ya mtume madina, aliishi na wayahudi wengi na wengi wamesilimu mpaka leo wapo katika jamii za kiarabu middle east, asili yao ni uyahudi ila ni waisilamu.
 
Nikusahihishe kidogo hakuna myahudi mkiristo muislam ama muothodox wayahudi wote ni wayahudi ila waisraeli wote si wayahudi
unaniambia mimi? nafahamu ndio, thats why nasema israeli sio uyahudi,

walikuwa ni wayahudi kipindi hicho cha karne ya 7 wakasilimu now ni waisilamu.
 
Sikilizeni nyinyi : UKIRISTU na UYAHUDI ni Uislamu wa Kale.

Uislam wa Leo ni Uislam wa Sasa!

Msipoyaelewa haya, mtapata shida sana, mtagawanywa sana na mtashindwa kuelewa kuwa kimsingi Msingi wa Dini zetu ni moja tu nayo ni KUJISALIMISHA kwa Mwenyezi Mungu Muumba mbingu na nchi!!

Ni kama vile Unavyoona Windows Version za Microsoft, Kuna Windows 95, Windows XP and then Windows 10. Lakini zote ni Windows zilezile!, Kernel ni ileile!!

Ndiyo maana Waislamu husema kuwa Uislamu kwa watu ulianza toka adam Ila tu kila nabii anakuja na mafunzo yake!!!

Kwa maana hiyo, wewe unayenisoma hapa kama ni Mkiristu, Basi wewe ni Mfuasi wa Uislamu wa kabla ya Mtume Muhammad!
Huo uislam wa kabla ya Muhammad ulishushwa kupitia nabii gani?
 
Asilimia 99 ya manabii wa kiislam ni wayahudi, lakini wayahudi walikataa mafundisho ya Mtume Mohammad, walimuona muongo. Banu Qurayza jeshi la Muhammad liliua wayahudi watu wazima zaidi ya 800. Kutoelewana na wayahudi kumepelekea aya za chuki kwenye Quran na Hadith sahih dhidi ya wayahudi. Hiyo imepelekea waislam kuwachukia sana wayahudi. Sawa sawa na Yesu au Mohammad angekuja Wakati wa vita ya pili ya dunia. Mpk leo wajerumani na wajapani wangekuwa wanachukiwa sana. Why chuki iendelee milele na wote wanaamini Mungu mmoja wa Abraham
 
HIVI HAO MANABII WALIKUWA WAISLAMU AU WAISRAELI???KAMA WALIKUWA WAISLAMU MBONA SASA WAYAHUDI NA WAISLAMU HAWAPATANI???MBONA MAISHA YAO YAKO ISRAEL NA SIO UARABUNI???MBONA KAMA KUNA UONGO NAUONA HAPA??
Unashindwa kutofautisha hata WAKATI ULIOPO NA ULIOPITA.?
 
NI KICHEKESHO KUSEMA UISLAMU ULIKUWEPO WAKATI WA ADAMU,WAKATI HISTORIA INASEMA UISLAMU ULIANZA BAADA YA MOHAMAD AKIWA MWANZILISHI.WALE MANABII WOTE WALIKUWA WAEBRANIA AMBAO NDIO WAISRAELI WA SASA...
Unajua maana ya neno Islam?
 
Back
Top Bottom