Israel ni Dhulumat

Mwana wa mjakazi hawezi rithi pamoja na Mwana wa ahadi. Baba Abraham aliambiwa fukuza huyo, na alimfukuza kwenye hiyo ardhi.
 
Bokoharamu,ISS,al shabab,kongo na ccm nchini mwako umefumbia macho
 
Iran na wote muungane na kuamua kieleweke, muelekeze makombora Israel halafu tuone ngoma itaavyonoga. Hamna haja ya haya makelele kila siku hadi huku Afrika Waajemi weusi.
 
Hilo ni eneo lao tangu enzi za Musa halafu anakuja mtu kashiba zake eti eneo la wapalestina,inaudhi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…