Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

Haya kumekucha ndani ya tel avivi, kunguru wamechoka vimondo vya Iran

1774476178886.png


The skies over Tel Aviv were flooded with a sea of crows on Tuesday, in what many people are saying is a 'harbinger of doom' warning.

Thousands of crows were filmed circling high-rise buildings, including the iconic Azrieli Towers, in dramatic footage that quickly went viral online.

Many viewers linked the eerie scene to Israel's ongoing tensions with Iran, claiming the spectacle signaled a looming disaster.


'This is considered by many to be a 'harbinger of doom' as it is often followed by total catastrophe,' one user on X shared, while others linked it to a biblical prophecy.

They cited the Book of Revelation 19:17, which describes an angel standing in the sun, shouting to birds flying in midair to gather for 'the great supper of God.'

The swirling flock created dark, shifting clouds over the skyline, leaving residents and viewers stunned by the sheer scale of the migration.

 

Attachments

  • IMG_7185.jpeg
    IMG_7185.jpeg
    112.5 KB · Views: 1
Iran imesema kuwa ikivamiwa na askari wa miguu wa Marekani ili kuishikilia strait of Hormuz na yenyewe itavamia ukanda wa pwani wa Kuwait na bahrain. Yaani jamaa anapiga kwenye mshono, maana hizo nchi zina maslahi makubwa ya Marekani
Why akazivamie hizo kwanini asiende ichukukua California au Chicago 😁
 
Msemaji wa Makao Makuu ya Khatam al-Anbia ya Iran ametoa maelezo kuhusu siku ya 26 ya operesheni za kijeshi za kulipiza kisasi dhidi ya adui, zinazoendeshwa chini ya jina la Operesheni Ahadi ya Kweli 4.

Kwa mujibu wa msemaji huyo, katika wimbi la 79 lililofanyika Jumatano, vikosi vya anga na wanamaji vya Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) vililenga vituo vinavyohusiana na jeshi la Israel pamoja na kambi kadhaa za kijeshi katika eneo la Mashariki ya Kati, kwa kutumia makombora ya masafa marefu na ya kati pamoja na droni zenye uwezo mkubwa wa uharibifu.

Alisema katika wimbi la 80, mashambulizi yalielekezwa kwenye vituo vya kimkakati, kijeshi na kiusalama vya Israel katika maeneo ya kaskazini ya ardhi za Palestina zinazokaliwa, huku yakifanyika sambamba na mashambulizi ya kundi la Hezbollah. Aidha, katika wimbi la 81, makombora ya aina mbalimbali ikiwemo Emad, Qiam, Khorramshahr 4 na Qadr yaliripotiwa kulenga zaidi ya maeneo 70, yakiwemo miji muhimu kama Haifa, Dimona na Hadera.

Katika maendeleo mengine, msemaji huyo alidai kuwa ndege ya kivita ya Marekani aina ya F-18 ilidunguliwa karibu na mji wa Chabahar kwa kutumia mfumo wa kisasa wa ulinzi wa anga wa Iran. Pia alieleza kuwa katika saa 24 zilizopita, vikosi vya Iran vilishambulia maeneo yanayodaiwa kuwa na majeshi ya Marekani na makundi yanayoyaunga mkono katika mji wa Erbil kwa kutumia makombora.

Kwa upande mwingine, makombora ya cruise yaliyofyatuliwa kutoka mfumo wa pwani wa Qadeer yaliripotiwa kulenga kundi la manowari la Marekani la USS Abraham Lincoln, hali iliyodaiwa kusababisha meli hiyo kubadili mwelekeo wake. Msemaji huyo alihitimisha kwa kusema kuwa operesheni hizi ni sehemu ya majibu ya Iran kufuatia mashambulizi makubwa ya kijeshi yaliyodaiwa kufanywa na Marekani na Israel dhidi ya Iran, yaliyosababisha vifo na uharibifu mkubwa wa miundombinu.


Source SALIM KIKEKE PAGE
 
Umeelezea vizuri sana mkuu...kwa hyo US na Isra waendelee kujikita kwenye inteligensia kuendelea kujua maeneo ambapo hizo launcher zipo..au wanaweza tumia option gan kuimaliza iran
Kuimaliza Iran ?..
Mkuu kama ni kupiga target za Iran Inawezekana lakini kuimaliza Iran haiwezekani.
Maana U.S + Israel kipindi wananza vita waliweka malengo Yao ambayo mjumuisho wa hayo malengo ilikuwa ni kufanya "Regime change "
Hapa walitegemea njia ya mapinduzi kutoka kwa wairan, hii mbinu ikafeli.

Sasa CENTICOM wame-confirm kuwa wan deploy vikosi Vya kijeshi Hapo M.E maana yake wanataka kutimiza regime change kupitia Ground invasion.
Ili kuelewa vizuri Hali ya sasa ya mashariki ya kati nakuona kama Kuna uwezekano wa Iran kufutwa embu pitia kidogo hii comment nilioweka kwenye Uzi wa Malcolm Lumumba.

Ujue Marekani+Israel wanampiga adui (Iran) ila lengo lao sio kumpiga ni kumtawala sasa je inawezekana kumtawala Iran kitu ambacho marekani ndio yupo njiani kukifanya..?

Comment hii👇👇

Marekani+ Israel wanaweza kumpiga Iran lakini haiwezi kumtawala Iran.
Kumpiga adui(Destroying enemy tergets) hii ni hatua ya kijeshi yenye malengo mafupi ambayo yanalengo la kupunguza uwezo wa adui.
Hapa ndio zitapigwa Kambi,ndoni,meli vita, viwanda Vya silaha pamoja na kuharibu miundombinu jeshi.
Kwahiyo kumpiga adui Kuna hitaji askari wachache na hufanywa haraka lakini hapa adui anakuwa hajaondoka hivyo anaweza Kujenga upya uwezo wake baada ya muda.

Lakini, Kuitawala nchi (Military Occupation)

Hii ndio hatua ngumu zaidi ya kijeshi maana itahitaji :-
Kuingia kwa vikosi Vya ardhini(Ground invasion), Tena hapa itabidi viingie vikosi vikubwa , magari ya kivita, mizinga, vifaa Vya usafiri +Ulinzi wa anga.

Vikosi Vya ground vikiingia inabidi vilishinde jeshi pinzani mpaka wajisalimishe - Hii itaenda sambamba na Kuchukua miji mikubwa pamoja na kuzuia wanajeshi na wanamgambo kufanya mashambulizi.
Kisha sasa ndio kuweka utawala mpya na kudhibiti Serikalini na uasi wa ndani(insurgency).

Sasa kweli Ukiangalia Namna military occupation ilivyo embu tuweke mahaba pembeni Jiulizeni Marekani+Israel wanaweza fanikiwa kufanya regime change hapo Iran ? it's nearly impossible.

Kuipiga Iran ni rahisi ila kuidhibiti haiwezekani.
 
Back
Top Bottom