m
Israel haipo hata katika top5 ya nchi zinazouza silaha kwa wingi USITUDANGANYE.
Kama wanaoongoza kwa kuunda silaha bora ni Usa na Israel basi silaha zao zisingeshindwa mbele ya Iran.
Basi wasingefeli kulinda maslahi yao na nchi yao Israel.
-Kama China ingekua ina mikataba ya silaha na USA basi wasingemsaidia Russia vipuli vya silaha kwenye Ukraine war.
-Basi wasingesaidia nchi hasimu za USA kisilaha ukanda wa Asia Pacific.
-Basi wasingemuuzia Iran ndege wala makombora wala kumpa huduma ya satellite.
Muda mwingine ongea ukiwa na clarity.
US na China hawana mikataba ya silaha.Acha mambo ya ajabu unaijua mikataba ya Amerca na China kwenye maswala ya slaa? By the way unajua kuwa hakuna nchi inayotengeneza slaa kali na bora dunian zaidi ya US na Israel? Na je unajua anayeongoza kwa kuuza slaa dunian ni Israel? Na pia unajua makampuni ya kuteneza slaa ya kimarekani mengi yamewekeza China?
Israel haipo hata katika top5 ya nchi zinazouza silaha kwa wingi USITUDANGANYE.
Kama wanaoongoza kwa kuunda silaha bora ni Usa na Israel basi silaha zao zisingeshindwa mbele ya Iran.
Basi wasingefeli kulinda maslahi yao na nchi yao Israel.
-Kama China ingekua ina mikataba ya silaha na USA basi wasingemsaidia Russia vipuli vya silaha kwenye Ukraine war.
-Basi wasingesaidia nchi hasimu za USA kisilaha ukanda wa Asia Pacific.
-Basi wasingemuuzia Iran ndege wala makombora wala kumpa huduma ya satellite.
Muda mwingine ongea ukiwa na clarity.