Habari wakuu...
Ni muda muafaka sasa Trump aombe msaada kwa Israel, taifa teule, wasambaratishe mazalia ya ballistic missiles na nuclear reactors za Kim Jong-Un. Kazi hii IDF ikipewa yawezakamilisha ndani ya masaa 12 ya usiku mmoja.
Au kama vipi Trump awaombe Waisrael, watu waliopewa akili zaidi Ulimwenguni, wadukue mfumo wa kurusha makombora ya balistic ya North Korea ili Kim asiweze kurusha hata toy la mbayuwayu. Na uhakika jambo hili litaepusha kuita vikao vya kila siku vya UN kuijadili N/Korea. Litamfanya Kim achutame kwa fedheha na kuomba mazungumzo...Karibuni Timu Kiduku na Timu Trump.
Update...
Wengi hawakuielewa ujumbe niliokusudia ktk post hii, napenda kutolea maelezo machache:
1. Israel wamekuwa wakisifiwa sana kuwa na uwezo uliotukuka usiopimika ktk maswala ya kivita na ujasusi...lakini wameshindwa kumsaidia Trump dhidi ya Kim. Na walipo jaribu tu kufungua kinywa dhidi ya North Korea, Kim aliwanyamanzisha kwa onyo la adhabu kali.
2.Watu wamekuwa wakiaminishwa kuwa waisrael wana akili zaidi, lakini kiuhalisia kama wangekuwa hivyo US isingikuwa inaendelea kulia lia kuhusu program za silaha na udukuzi wa North Korea. US isingekuwa yaendelea kulisumbua baraza la usalama la UN kuijadili North Korea kila kukicha na kuweka vikwazo visivyo na mafanikio
Ni muda muafaka sasa Trump aombe msaada kwa Israel, taifa teule, wasambaratishe mazalia ya ballistic missiles na nuclear reactors za Kim Jong-Un. Kazi hii IDF ikipewa yawezakamilisha ndani ya masaa 12 ya usiku mmoja.
Au kama vipi Trump awaombe Waisrael, watu waliopewa akili zaidi Ulimwenguni, wadukue mfumo wa kurusha makombora ya balistic ya North Korea ili Kim asiweze kurusha hata toy la mbayuwayu. Na uhakika jambo hili litaepusha kuita vikao vya kila siku vya UN kuijadili N/Korea. Litamfanya Kim achutame kwa fedheha na kuomba mazungumzo...Karibuni Timu Kiduku na Timu Trump.
Update...
Wengi hawakuielewa ujumbe niliokusudia ktk post hii, napenda kutolea maelezo machache:
1. Israel wamekuwa wakisifiwa sana kuwa na uwezo uliotukuka usiopimika ktk maswala ya kivita na ujasusi...lakini wameshindwa kumsaidia Trump dhidi ya Kim. Na walipo jaribu tu kufungua kinywa dhidi ya North Korea, Kim aliwanyamanzisha kwa onyo la adhabu kali.
2.Watu wamekuwa wakiaminishwa kuwa waisrael wana akili zaidi, lakini kiuhalisia kama wangekuwa hivyo US isingikuwa inaendelea kulia lia kuhusu program za silaha na udukuzi wa North Korea. US isingekuwa yaendelea kulisumbua baraza la usalama la UN kuijadili North Korea kila kukicha na kuweka vikwazo visivyo na mafanikio