Israel kubomoa nyumba 400 za wapalestina

Israel kubomoa nyumba 400 za wapalestina

Yusomwasha

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2014
Posts
2,092
Reaction score
844
Benjamen Netanyahu ametoa amri ya kubomolewa nyumba 400 za wapalestina.

Amesema kuwa umoja wa ulaya ulipaswa kuiarifu Israel kuhusu kuwajengea wapalestina nyumba hizo zilizoko West Bank ya mto Jordan ambalo ni eneo la wapalestina.

Netanyahu ni kiongozi mwenye chuki na ubaguzi dhidi ya wapalestina.Israel ilivyoshambulia Gaza mwaka jana ilibomoa nyumba zaidi ya laki moja Israel pia imekuwa ikijenga makazi ya walowezi wa Kiyahudi kwenye ardhi ya Palestina.

ISRAEL SI TAIFA HALALI KUTOKANA NA SERA YA KUPORA ARIDHI ZA WAPALESTINA
.



d98080cd-d062-4fb6-83b1-0d1c58982edf.jpg


The move came after the British newspaper Daily Mail in a report alleged that the European Union (EU) funded the construction of the residences, according to Israeli media.

The Israeli regime claims that the EU should have asked for its permit for the construction of the homes.

On Friday, a spokesman for the EU defended its funding for the homes for Palestinians.

Shadi Othman, a communications officer at the Office of the European Union Representative in the West Bank and Gaza Strip, on Thursday told the Daily Mail that the project "is part of the work done to build the future Palestinian state."

"Palestinians have a right to live there, build schools there, have economic development," Othman added.

The development came amid widespread global condemnation of Israel's land grab policies. Tel Aviv has approved a series of plans for new settler units in East Jerusalem al-Quds in recent months.

The EU has often criticized Israel for building thousands of settlement units in the occupied Palestinian territories.

The presence and continued expansion of Israeli settlements in occupied Palestine has created a major obstacle in the way of efforts to establish peace in the Middle East.

Upwards of half a million Israelis live in more than 120 settlements built since Israel's occupation of the Palestinian territories of the West Bank, including East al-Quds, in 1967.

The Israeli settlements are considered to be illegal by the United Nations and most countries because the territories were captured by Israel in a war in 1967 and are thus subject to the Geneva Conventions, which forbid construction on occupied lands


Source:
presstv.ir
 
hivi kuna cku vita baina ya palestina na israeli itaixha jamani.............?
 
Wapalestina wenyewe wanafahamu kwao ni Jordan. Mengine ni kuwarubuni tu
Mtabaki kudandia train tu eti Israel nchi wakati kwenye Bibilia Israel ni mtu sio nchi. Mnanikumbusha kale kauwongo kakusema Israel ndio Jacob. Hahaha Eti Prophet Jacob sijui alipigana na Malaika wa Mungu, AFU akamshinda ndio akabadilshwa jina kutoka Jacob kwenda Israel, dogo lazima ufahamu Israel is a son of Adam (kabil) or (Cain) sio nchi. Israel was the first criminal in history and was not a Prophet.

Isaiah 9:7; The Lord sent a word into Jacob, and it hath lighted upon Israel.

Here the verse speaks of two different person Jacob is not Israel

Isaiah 14:1; For the Lord will have mercy on Jacob, and will yet choose Israel, and set them in their land: and the strangers shall be joined with them, and they shall cleave to the house of Jacob.

Again the verse speaks of two different person Jacob is not Israel, verse cites two person then uses the word or the plural

So for the Bible as Jacob is not Israel, despite the verse in Genesis 32.28, that he sees an error in this verse that contradicts the other, then the chapter 32 of Genesis is very strange he speaks of a battle between God and Jacob, and Jacob win, so instead it is in this chapter that there is an error.

The Bible also says in his way that Jacob is not Israel.

Sa wapi Israel ilijulikana kama ni nchi kama sio baada ya kuwadhulumu wapalestine nchi.


Qur'an 5:18; Na Mayahudi na Wakristo wanasema: Sisi ni wana wa Mwenyezi Mungu na vipenzi vyake. Sema: Basi kwa nini anakuadhibuni kwa ajili ya dhambi zenu? Bali nyinyi ni watu tu kama wale wengine alio waumba. Humsamehe amtakaye na humuadhibu amtakaye. Na ni wa Mwenyezi Mungu tu ufalme wa mbingu na ardhi. Na marejeo ni kwake Yeye.
 
Back
Top Bottom