Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,224
unajua ni kwanini marekani hayadungui makombora ya kim yanavyo overfly korea au japani?,Halafu hapo Mrusi anafanya biashara kwa kuwauzia mifumo Ile Ile kwa Jina na # tofauti wakiwadanganya huu sasa ni 6g akiingia tu mtamdungua
ni kwamba hizi air defence hazijawa tested vitani,
tendo la kujaribu kudungua kombora na ukalikosa,ina athari kubwa mno kiusalama,
kwani marekani anamtumia israel,kuchokonoa ili mrusi afyatue S-400 wapate kuistudy perfomance na wajue jinsi ya kuiovercome,mrusi kagoma kufyatua.
Mrusi nae anamtumia Noko kumtest marekani afyatue THAAD ili wapate kuona perfomance na weakness zake,
marekani nae hafyatui.