Israel isijidanganye

mlipoanzianza shambulia hamkuyajua haya ? au mlizania mtapiga milele ?
 
hiyo Tanzania ya mwaka.1961 ilitawala lin Uingereza ?
 
wamtambue au wasimtambue Mungu ila wapalestina walianza wenyewe
 
mnachanganya mafaili , wavaa kobaz wanatafuta kila njia kupata huruma ya watu
 
story zote hizo ni irrelevant , mlijichanganya acha mtinduliwe tu , uteule so hoja
 
October 7 ilikua ni revenge ya mateso ya miaka zaidi ya 75 sasa!! Uonevu umeanza tokea 1948 alafu unakuja kuongelea October 7? Nyie endeleeni tu dawa yenu ipo. Ataamka Stalin, Hitler au Mehmet Ali mwingine soon.
Akili zenu za wafia dini mnajua wayahudi walianza kujenga dola yao hapo 1948?
 
Yaani ufala wa hao HAMAS walifikiri walichokifanya GAZA Islael hawawezi kwa lolote - dadeq wamebokolewa ka mbwa koko

Walifikiri kutumia raia kama kinga ingewasaidia - kutumia netwok ya mahandaki yanayotokezea kwenye mashule, kambi za wakimbizi na mahospitalini - wapi - ni kichapo mfululizo.

Ni kipigo cha mbwa mwizi
 
Kichapo cha mbwa mwizi - dadeq
 
Kwa akili ya waislamu na waarabu....ni kwamba himaya za wayahudi zimeanza 1948........HIYO TUNAITA ARABS AND MUSLIMS CHEAP PROPAGANDA AGAINST JEW,S
Kwani ni lini hata kwenye Biblia hao waisraeli waliwahi kuwa wakazi original wa hapo? Mara zote hupora kimabavu na kuchinja raia wote ndio wanachukua wao ardhi.
 
Walifikiri kutumia raia kama kinga ingewasaidia - kutumia netwok ya mahandaki yanayotokezea kwenye mashule, kambi za wakimbizi na mahospitalini - wapi - ni kichapo mfululizo.
Kichapo? Hahahaha mbona wameshindwa kujua walipo mateka? Tatizo mnaua watoto na wanawake huku mnashindwa kupambana na mnaoita magaidi mwisho wa siku mnaua wasio na hatia alafu waliowanyoosha wanakula bata na mateka wenu!!
 
Kichapo? Hahahaha mbona wameshindwa kujua walipo mateka? Tatizo mnaua watoto na wanawake huku mnashindwa kupambana na mnaoita magaidi mwisho wa siku mnaua wasio na hatia alafu waliowanyoosha wanakula bata na mateka wenu!!
Hujui chochote kaa kimya - ile kesi yenu ya ujinga imesaidia nini - mbona mnaendelea kubokolewa.
 
Israel na Gaza walikuwa wanaishi waisrael, wafilisti na makabila mengine.
Acha uongo, Ardhi yote ilikua ya canaanites hao Israel walivamia tu na kuchinja kila mtu ndio wakaichukua ila hapakua kwao. Wao wanatokea huko uarabuni Iraq!!
ni sawa umeuziwa kitu cha wizi, umeokota kitu cha wizi au umemuibia mtu kwahiyo hata ipite miaka 40
Wezi ni hao wayahudi, nchi haikua yao wakaipora sasa wanatoa wapi hatimiliki? Na ukisoma Bible ardhi waliohaidiwa sio hapo wanapoishi, ni mpaka huko Iraq na Syria mbona hawaidai hadi kwenda kungangania Gaza pale padogo?
Wenye nchi walifika 1948 na ilikuwa rahisi ndiyo maana taifa teule la Israel liliundwa chapu ila shida ikabaki kwa hao wakimbizi wa kipalestina
Wenye nchi kivipi? Wenye nchi ni Makabila 13 ya canaan kasome vizuri Biblia yako. Hao Israel walipora tu kama kawaida yao mpaka walipokuja kukutana na wababe wao ndio wakatawanyika mpaka leo.
 
Hujui chochote kaa kimya - ile kesi yenu ya ujinga imesaidia nini - mbona mnaendelea kubokolewa.
Sijui nini? Hao mateka wako wapi? Hivi Gaza si sawa na size ya Kigamboni? Mnashindwa kujua mateka wako wapi hadi leo? Aisee tena mnapigana na kakikundi tu..... sasa ingekua jeshi kabisa kama la Iran au China si mngekuwa mnatafutana!!

Siku yenu inakuja hata Bible imeshasema, hakunaga uovu unaodumu milele.
 
Akili zenu za wafia dini mnajua wayahudi walianza kujenga dola yao hapo 1948?
Ndio walijitangazia taifa lao huo mwaka.... kabla ya hapo kwenye biblia nako walijitangazia taifa lao kwenye nchi ya wacanaan. Ni kawaida yao kupora nchi za watu na kujimilikisha.
 
Nyinyi Waislam na chuki yenu dhidi ya Israel mtasubiri sana siku ambayo israel kuishiwa nguvu; Nyinyi hamjiulizi kuwa kila mara mnajiaminisha kuwa this time tutawashinda israel, kama Hamas na Iran walivyojiaminisha 7 October lakini mnaishia kichapo cha mbwa. Shetan wenu mwenyewe anasema Israel is the most favoured Nation- soma Quran
 
wamtambue au wasimtambue Mungu ila wapalestina walianza wenyewe
Walianza nini? Ule mji upo ndani ya ardhi ta palestina inayokaliwa kimabavu na wakulima wa Israel. Watu humu elimu ndogo hamjui historia hamjui hata mgogoro uliopo pale. Alafu unakuta na ww ni mzee wa kanisa sijui... SMH!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…