Zacht
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 1,108
- 2,438
Israel inapitia kipindi wasichokitarajia baada ya kuwaua zaidi ya maafisa 40 wa juu wa serikali ya Iran mwishoni mwa Februari 2026. Wakajutarajia irani kuanguka ,lakini utawala huo umeendelea ku survive
Lakini saiz hatari imegeuka upande wao, Israel inapata mashambulizi makubwa na hasara ya miundombinu na morali ya wanajeshi iko chini. Hari ya usalama imepungua pia , Raia wengi wanaondoka inchin kukimbia vita, Mayor wa Israel anasema kwa kulalamika " tunashambuliwa... Tunaishi kwenye mahandaki siku nyingi ,kwanini saizi Sisi ndio tunateseka " pia kuna hasara kubwa ya vifaa vya kijeshi kusini mwa Lebanon, na uhaba wa askari wapya wa kuchukua nafasi.
Time of Israel imeripoti kuwa afisa wa jeshi ameonya kuwa jeshi linakaribia kuingia kwenye hatari ya kuanguka na wasiwasi umeibuka upya kuhusu uhai wa netanyahu,inasemekana huenda ni kweli netanyahu amefariki kweli
Habari Kubwa zaidi kwa sasa ni BIBI FILES kumhusu netanyahu akifanyiwa interrogation na police kuhusu kashfa ya corruption na tuhuma za ufadhili wa kifedha unaodaiwa kufikia zaidi ya dola bilioni 1 kwenda kwa kundi la Hamas, kupitia Qatar, ambapo kiasi cha takriban dola milioni 35 kwa mwezi zilikuwa zikikitolewa.
View: https://x.com/i/status/2037699139685814299
Yote kwa yote tunamshikuru netanyahu for his big favour ,He led to the demise of Israel, the liberation of the Palestinians, and the defeat of the West. Credit must be given where its due.
Lakini saiz hatari imegeuka upande wao, Israel inapata mashambulizi makubwa na hasara ya miundombinu na morali ya wanajeshi iko chini. Hari ya usalama imepungua pia , Raia wengi wanaondoka inchin kukimbia vita, Mayor wa Israel anasema kwa kulalamika " tunashambuliwa... Tunaishi kwenye mahandaki siku nyingi ,kwanini saizi Sisi ndio tunateseka " pia kuna hasara kubwa ya vifaa vya kijeshi kusini mwa Lebanon, na uhaba wa askari wapya wa kuchukua nafasi.
Time of Israel imeripoti kuwa afisa wa jeshi ameonya kuwa jeshi linakaribia kuingia kwenye hatari ya kuanguka na wasiwasi umeibuka upya kuhusu uhai wa netanyahu,inasemekana huenda ni kweli netanyahu amefariki kweli
Habari Kubwa zaidi kwa sasa ni BIBI FILES kumhusu netanyahu akifanyiwa interrogation na police kuhusu kashfa ya corruption na tuhuma za ufadhili wa kifedha unaodaiwa kufikia zaidi ya dola bilioni 1 kwenda kwa kundi la Hamas, kupitia Qatar, ambapo kiasi cha takriban dola milioni 35 kwa mwezi zilikuwa zikikitolewa.
View: https://x.com/i/status/2037699139685814299
Yote kwa yote tunamshikuru netanyahu for his big favour ,He led to the demise of Israel, the liberation of the Palestinians, and the defeat of the West. Credit must be given where its due.