Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,459
hata sadam alibweka hivoivo, hata gadafi alibweka hivyoivo, lakini mwisho wake wote hawa wawili mmoja alijificha kwenye shimo la panya sijui mtaro wa choo, gadafi alijificha kwenye mtaro wa maji machafu.....waarabu wanajiamini kumbe hawana kitu......punguani kwelikweli.