Israel forces 'ready to hit Iran if ordered'

"We think that a nuclear Iran is a very bad thing, which the world needs to stop and which Israel needs to stop -- and we are planning accordingly," Gantz said.

"In principle, we are ready to act"
Israel walishawahi kushambulia vinu vya nuklia vya Iraq kipindi cha Sadam Hussein,wakashambulia pia vinu vya nuklia syria,kwa hiyo hata Iran pia itapigwa muda ukifika.Afterall kulingana na mtandao wa weaklinks,vinu vya nuklia vya Irani,vilishalipuliwa na waisrael,ndio maana wakahamisha site mpya.Soma site hapo chini;
The Global Intelligence Files - Re: [alpha] S3/G3* ISRAEL/IRAN - Barak hails munitions blast in Iran

Silaha za Iran zilishatumika dhidi ya Israel na hazikuleta madhara makubwa.Iran kiwa kupitia their proxies,Hezbullar,Hamas and Islamic Jehadi,walishatumia silaha za Iran dhidi ya Israel,Shehab-3 and other missiles.Israel imejenga Iron Dome,kwa ajili ya ku protect there country with these missiles.Vita ndogo ya juzi na Islamic Jehad,waliweza kuzuia kwa asilimia 75%.Wanaendelea kuimarisha defence system.Kwa hiyo wanaona ni bora waiwahi iran kabla ya kutengeneza Bomu la nyuklia.
 
israelis wanatisha tu hawawezi kufanya kitu unless they decide to do something which is not supported by the americans kitu ambacho hakiwezekani..Iran is supported by the chinese,russians and north koreans...3 powerful nations when it comes to nuclear weapons....ndio maana iran wana kiburi..
 
Nadhani hamuijui Israel vizuri nyinyi,kwenye miaka ya 60 ilishambulia mataifa sita kwa muda wa nusu siku hadi misri ikabudi waombe suluhu, na hakuna inchi yoyote ile duniani iliojiwekea ulinzi zaidi ya Israel.
 
kiruavunjo.....Unaizungumzia Israel ya miaka ya sitini iliyopita???Kwanza hiyo miaka ya 60 unayoizungumzia haikuwa jeshi la so cold Israel peke yake bali alisaidiwa na jeshi kutoka uingereza,ufaransa na USA kwasababu vita yake na Egypt alikuwa ameshindwa na ndio maana wajomba zake wakaungana na kumsaidia.Hili ni tatizo la wengi kwa kuangalia habari za upande mmoja na haitotokea hata siku moja muisiraeli kukubali makosa yake lazima atatembeza propaganda zake na watu kama nyinyi tena mnaendelea kuwapigia magoti eti watoto wa mungu.Hivi watoto wamungu kweli watatumwa kuja kuua binaadamu na kuwatesa???Ndugu yangu hii ni karne tofauti watu wamesoma na nchi nyingi sasa zinashindana kwa technology na kila nchi wanajulikana kwa ubora wao na technology wanayoitumia huku sisi tupotupo tu kushabikia kama timu za mpira.Zamani tuliwategemea sana wazungu kwa kila kitu lakini leo nchi zetu za kimasikini zinachagua soko.Waswahili wanasema alie juu mngoje chini ndugu yangu kwanza sioni kama kuna sifa yoyote ya kushabikia vita ambavyo vinaiangamiza dunia na kusababisha maafa.Hebu tutafute mbinu za kukomboa nchi zetu.Historia ya nchi kama hiyo Iran nadhani ni mfano wa kuigwa jinsi matatizo waliyopitia.Hawa watu wameishi na vikwazo kwa miaka mingi sana hatimae vikwazo hivo vimewafanya kuwa na ari ya kuelimishana.Sasa hivi wanaelimu ya hali ya juu wanasayansi wengi sana.Hebu fikiria wewe ufahari waliokuwa nao leo hii wanajitegemea wenyewe kwa asilimia 90% yaani ni asilimia 10 tu ndio wanahitaji kutoka nje.Hebu jiulize hapa Tanzania ardhi tuliyokuwanayo ukubwa wake na thamani yake hii nchi ingekuwa ni ya wazungu au Asia ingekuwaje au wangeutumiaje huu utajiri?Labda hujapata nafasi ya kuiona Iran jinsi gani ilivojengwa tena hawategemei wakandarasi kutoka nje ni wenyewe tu.Mafuta hawachimbiwi wanachimba wenyewe na wanainufaisha nchi yao.We acha tu mimi sitaki kushabikia kitu kinaitwa vita kwasababu siipendi inaleta umasikini ila naililia nchi yangu kwa utajiri lakini tuna 0% maendeleo.Verry sad:angry::A S 20:
 
Israel Arming Subs With Nuclear Missiles
Israel is placing nuclear-tipped cruise missiles on submarines supplied by Germany, according to a new report - assuring a retaliatory capability following a nuclear attack from Iran.
The German news weekly Der Spiegel disclosed that Berlin had until now denied any knowledge that Israeli submarines, largely financed by Germany, were being used as part of an Israeli atomic arsenal.
But former high-ranking officials of the German defense ministry told Der Spiegel that the government had long assumed that Israel was putting nuclear warheads on the Dolphin-class vessels.
Germany has supplied Israel with three Dolphin-class subs, footing most of the bill, and another three are scheduled to be delivered by 2017.
In Israel, foreign ministry spokesman Yigal Palmor told AFP: "I can confirm that we have German submarines. It's no secret. As for the rest, I am not in a position to talk about their capacity."
A spokesman for German Chancellor Angela Merkel said the submarines had been delivered unarmed and stated: "The federal government will not speculate on subsequent arming."
Israel fears an attack from arch-foe Iran if the Islamic Republic obtains nuclear weapons, and like the United States has refused to rule out bombing Iranian nuclear sites.
Der Spiegel quoted Israeli Defense Minister Ehud Barak as saying: "The Germans can be proud to have ensured the existence of the state of Israel for several years to come."


Read more on Newsmax.com: Israel Arming Submarines with Nuclear Weapons; Another Solyndra?
Important: Do You Support Pres. Obama's Re-Election? Vote Here Now!
 
Israel Arming Subs With Nuclear Missiles
Israel is placing nuclear-tipped cruise missiles on submarines supplied by Germany, according to a new report — assuring a retaliatory capability following a nuclear attack from Iran.
The German news weekly Der Spiegel disclosed that Berlin had until now denied any knowledge that Israeli submarines, largely financed by Germany, were being used as part of an Israeli atomic arsenal.
But former high-ranking officials of the German defense ministry told Der Spiegel that the government had long assumed that Israel was putting nuclear warheads on the Dolphin-class vessels.
Germany has supplied Israel with three Dolphin-class subs, footing most of the bill, and another three are scheduled to be delivered by 2017.
In Israel, foreign ministry spokesman Yigal Palmor told AFP: "I can confirm that we have German submarines. It's no secret. As for the rest, I am not in a position to talk about their capacity."
A spokesman for German Chancellor Angela Merkel said the submarines had been delivered unarmed and stated: "The federal government will not speculate on subsequent arming."
Israel fears an attack from arch-foe Iran if the Islamic Republic obtains nuclear weapons, and like the United States has refused to rule out bombing Iranian nuclear sites.
Der Spiegel quoted Israeli Defense Minister Ehud Barak as saying: "The Germans can be proud to have ensured the existence of the state of Israel for several years to come."


Read more on Newsmax.com: Israel Arming Submarines with Nuclear Weapons; Another Solyndra?
Important: Do You Support Pres. Obama's Re-Election? Vote Here Now!
 
ISRAEL ni nchi yenye nguvu sana, you can't even imagine kale kanchi kalivyo kadogo kwa umbile, lakini manguvu yake makubwa sana. UNACHOTAKIWA KUELEWA NI KWAMBA, kusambaratishwa kwa syria ni mpango mmoja wapo wa kuisambaratisha iran...kwasababu israel ilikuwa inajua fika kwamba, pindi itakapoanza vita vya muda mrefu na iran, syria ambao wako karibu nao sana wataisaidia iran...kwahiyo kusambaratishwa kwa syria na hiyo vita inayoendelea sasaivi, kutafanya iran ipigane peke yake....waarabu wote kuanzia saudi etc, hata egypt, hawapatani na iran ivyo msaada pekee wa iran ilikuwa syria. kwasasa wanachosubiri ni kitu kimoja tu, asad aishie kabisaaa, hata asipoishia, kuvunjwavunjwa kwa nchi yake, manyumba/majengo, na ushumi umevunjwavunjwa sana, syria haitapenda kujiingiza tena kwenye vita na israek pindi iran itakapoanza kupiga, kwasababu uchumi wao utakuwa mbaya kuliko sasa, devastation ya nchi yao itakuwa mbaya kuliko sasa, iran itabaki peke yake...na israel watarusha makombora toka israel hadi iran yale ya iran ni marahisi kwao kuyadaka hata kabla hayajatua....na hakutakuwa na bas close to israel ambayo iran itaingilia kuishambulia israel kwasababu rafiki yake mkubwa syria tayari amepoteza nguvu sana na rebels....
 
ISRAEL ni nchi yenye nguvu sana, you can't even imagine kale kanchi kalivyo kadogo kwa umbile, lakini manguvu yake makubwa sana. UNACHOTAKIWA KUELEWA NI KWAMBA, kusambaratishwa kwa syria ni mpango mmoja wapo wa kuisambaratisha iran...kwasababu israel ilikuwa inajua fika kwamba, pindi itakapoanza vita vya muda mrefu na iran, syria ambao wako karibu nao sana wataisaidia iran...kwahiyo kusambaratishwa kwa syria na hiyo vita inayoendelea sasaivi, kutafanya iran ipigane peke yake....waarabu wote kuanzia saudi etc, hata egypt, hawapatani na iran ivyo msaada pekee wa iran ilikuwa syria. kwasasa wanachosubiri ni kitu kimoja tu, asad aishie kabisaaa, hata asipoishia, kuvunjwavunjwa kwa nchi yake, manyumba/majengo, na ushumi umevunjwavunjwa sana, syria haitapenda kujiingiza tena kwenye vita na israek pindi iran itakapoanza kupiga, kwasababu uchumi wao utakuwa mbaya kuliko sasa, devastation ya nchi yao itakuwa mbaya kuliko sasa, iran itabaki peke yake...na israel watarusha makombora toka israel hadi iran yale ya iran ni marahisi kwao kuyadaka hata kabla hayajatua....na hakutakuwa na bas close to israel ambayo iran itaingilia kuishambulia israel kwasababu rafiki yake mkubwa syria tayari amepoteza nguvu sana na rebels....

Ukisikia ushabiki ndo huu sasa. Kwanini isiwe vice-versa? Acha hizo mkuu.
 
Nafikiri hujajua dunia inapoelekea ila kama u mfatiliaji mzuri kuna nabii mmoja T. B. Joshua ametabiri kuwa kuna vita ya tatu ya dunia itatokea mwaka huu ambayo itaanzishwa na Israel na washirika wake Marekani na Uingereza dhidi ya Iran na washirika wake ambao ni China na Urusi na Japan. Niliangalia unabii huo Emmanuel TV.
ndio nabii huyu huyu aliyetabiri kuwa chelsea itafungwa..na haikufungwa..vita vya tatu vya dunia is very emminent na huhitaji mtu kama tb joshua kukuambia
 
unachotakiwa kuelewa ni kwamba, ni rahisi sana kuipiga iran kuliko kuipiga israel, sio ushabiki, na sasa syria ambayo ilitegemewa kuwashambulia israel au kutumiwa na iran pindi vita itakapoanza, imevurugwa kabisakabisa....iran sasa imebaki peke yake, ndio maana mataifa ya magaribi yamekazania sana asad apigwe, na yanatoa sapoti yote kwaajili ya kumnyongónyeza kabisa asiwe na hamu kabisa ya kuisaidia iran kwa namna yoyote ile....
Ukisikia ushabiki ndo huu sasa. Kwanini isiwe vice-versa? Acha hizo mkuu.[/QUO unacho
 
Hawa manabii wa uongo tumeshawazoea ,Mwenzake alitabiri mwisho wa dunia ikawa famba amesepa kimya kimya!!
 
Hawa Iran ni vichaa sana wakiachiwa hivi hivi wataleta matatizo makubwa baadae ,wanastahili adhabu kubwa sana tunaamini taifa teule linaweza kwani lina historia ya kupigana vita na kushinda.
 
Non sense China is not ignorant ! War means money no one can toss to shake his economy! Chimba zaidi mkubwa
 
Personally nauchukia ubabe wa marekani na kutaka kuwafanya watu wote wawe chini yake!Bse I know or sure Israel ana back up ya USA.
Ivi kama USA wanamiliki izo nuclear akimiliki mwingine inakuwa nongwa?Au wairan mnawaona vichaa hawastaili kumiliki Nuclear.Kama anaimiss use izo ni hofu zenu na Iran ataimis use kweli kama mnamtibua no wonder China and Russia are supporting Iran ili kuneutralize nguvu za USA kupitia Israel
Infact ata Tz tuna staili kuanza kumiliki nuclear ili viinchi vinavyotuzunguka viwe na adabu!
 
unachotakiwa kuelewa ni kwamba, ni rahisi sana kuipiga iran kuliko kuipiga israel, sio ushabiki, na sasa syria ambayo ilitegemewa kuwashambulia israel au kutumiwa na iran pindi vita itakapoanza, imevurugwa kabisakabisa....iran sasa imebaki peke yake, ndio maana mataifa ya magaribi yamekazania sana asad apigwe, na yanatoa sapoti yote kwaajili ya kumnyongónyeza kabisa asiwe na hamu kabisa ya kuisaidia iran kwa namna yoyote ile....
Ukisikia ushabiki ndo huu sasa. Kwanini isiwe vice-versa? Acha hizo mkuu.[/QUO unacho


kwa jeshi hili askari anapiga mizinga miwili kazi ipo......

 
Last edited by a moderator:
IRAN has been under sanction for 33 years na zaidi ya hivyo vikwazo ni vya kutouziwa silaha lakini Israel inuziwa silaha za kila aina ndege za kivita mpaka manowari au submarine capable of firing nuclear weapon na Israel ndo inchi pekee middle east inayomiliki silaha za nuclear na ina nuclear reactor inaitwa DEMONA na hajasaini kwa NPT ili akaguliwe sasa tujiulize kwanii IRAN iwekewe vikwazo vya uchumi ata kabla ya kuanza hii miradi manake tokea 1979 walipopindua serikali tiifu kwa US ndo vikwazo vikaanza..Imagine hivi vikwazo vikiondolewa IRAN itakua na uwezo mkubwa sana kijeshi na kiuchumi..wemewekeza kwene elimu na wameweza ku advance kwenye almost kila tecknology mpaka US na ISRAEL wanashangaa..wameweza kutengeneza fighter jets knows as azakarash & saegh, submarines, warships, drones,missiles and all kind of weapon and the recent news ni wanatengeneza nuclear submarines kwa sasa ni nchi 4 tu zenye uwezo huo and all of these are underway nauku wapo kwenye vikwazo...walipohack US SENTINEL ile pilotless drone ndo US ikashituka kua these guys are not joking...So never underestimates these persians these are not arabs mind u
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom