Israel downs drone over its airspace, suspects Hezbollah

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
Israel brought down a drone that crossed into its airspace Saturday, the first such incident in six years. Officials say it may have been a surveillance drone launched by Lebanese militant group Hezbollah.

Tensions are running high between Iran and Israel over Tehran's nuclear program, which the West believes is cover for the development of atomic weapons. The Islamic Republic denies the allegations, and says its program is for peaceful purposes only. Israel has threatened to carry out a military strike against Iran's nuclear facilities to prevent Iran from acquiring such weapons.

121006-israel-drone-1p.photoblog600.jpg


haim-06102012-desk01072139_wa.jpg

IDF forces search for drone remnants (Photo: Haim Horenstein)

Israel downs drone over its airspace, suspects Hezbollah - Yahoo! News
 
Wanatafuta kila njia ya kuzua vita.

Karibu wataripua manuwari zao halafu waseme Hezbullah,Syria,Hamas,au Iran kati ya hizo.

History repeat it self always.
 
Habari hii ni vigumu kuiamini kwa sababu Hisbollah hawana drone.



Israel brought down a drone that crossed into its airspace Saturday, the first such incident in six years. Officials say it may have been a surveillance drone launched by Lebanese militant group Hezbollah.

Tensions are running high between Iran and Israel over Tehran's nuclear program, which the West believes is cover for the development of atomic weapons. The Islamic Republic denies the allegations, and says its program is for peaceful purposes only. Israel has threatened to carry out a military strike against Iran's nuclear facilities to prevent Iran from acquiring such weapons.

121006-israel-drone-1p.photoblog600.jpg


haim-06102012-desk01072139_wa.jpg

IDF forces search for drone remnants (Photo: Haim Horenstein)

Israel downs drone over its airspace, suspects Hezbollah - Yahoo! News
 
Wanatafuta kila njia ya kuzua vita.

Karibu wataripua manuwari zao halafu waseme Hezbullah,Syria,Hamas,au Iran kati ya hizo.

History repeat it self always.

Spot on mkuu, Hezbullah tangu lini ikahunda DRONES na kuwa na uwezo wa kuziongoza remotely - hivi inaingia akili kwamba Lebanon inaweza kurusu Hezbullah watumie uwanja wao wa ndege kwa kurusha Drones hizi?

Wenye Drones Mashariki ya kati ni Waisrael na infact wanazihuza kwa nchi marafiki, juzi juzi hapa ndio nilisikia kwamba IRAN ina mpango wa kuhunda drones wakishirikiana na Serikali ya Hugo CHAVES.

Waisrael wana mbinu nyingi sana za kutaka kuanzisha vita na IRAN kwa kutumia visingizio vya kila aina, wanacho tafuta ni kutaka kuonyesha DUNIA kwamba IRAN ni TAIFA hatari sana bila kuwa na a regime change basi Mashariki ya kati haitakuwa SALAMA, oh yes the bottom line ni kwamba Israel na Merikani hawataki IRAN iwe na silaha za ki-nuclear Mashariki ya KATI, wakiwa nazo wataifunika Israel ambayo ina silaha hizo na inazitumia(kisaikolojia) ku-blackmail Waarabu. Mimi siamini kama IRAN ina mpango wowote wa kuifuta Israel kutoka uso wa DUNIA, wanajuwa fika kwamba wakithubutu kuivamia au kupiga mabomo Israel basi huo ndio utakuwa mwisho wa utawala wa IRAN.
 
Spot on mkuu, Hezbullah tangu lini ikahunda DRONES na kuwa na uwezo wa kuziongoza remotely - hivi inaingia akili kwamba Lebanon inaweza kurusu Hezbullah watumie uwanja wao wa ndege kwa kurusha Drones hizi?

Wenye Drones Mashariki ya kati ni Waisrael na infact wanazihuza kwa nchi marafiki, juzi juzi hapa ndio nilisikia kwamba IRAN ina mpango wa kuhunda drones wakishirikiana na Serikali ya Hugo CHAVES.

Waisrael wana mbinu nyingi sana za kutaka kuanzisha vita na IRAN kwa kutumia visingizio vya kila aina, wanacho tafuta ni kutaka kuonyesha DUNIA kwamba IRAN ni TAIFA hatari sana bila kuwa na a regime change basi Mashariki ya kati haitakuwa SALAMA, oh yes the bottom line ni kwamba Israel na Merikani hawataki IRAN iwe na silaha za ki-nuclear Mashariki ya KATI, wakiwa nazo wataifunika Israel ambayo ina silaha hizo na inazitumia(kisaikolojia) ku-blackmail Waarabu. Mimi siamini kama IRAN ina mpango wowote wa kuifuta Israel kutoka uso wa DUNIA, wanajuwa fika kwamba wakithubutu kuivamia au kupiga mabomo Israel basi huo ndio utakuwa mwisho wa utawala wa IRAN.

Tatizo kubwa hawa ni kuendelea kuitawala dunia na sababu kubwa hawataki Iran kuwa na Nuklia ni suala la Technology zaidi na sio silaha za nuklia ingawaje akitengeneza atakuwa na nguvu zaidi.Kuitawala dunia ni lazima kwanza uchumi uwe mzuri na hawa sasa hivi wameanguka vibaya na hizi vita wanazozua ni za kiuchumi zaidi wala hakuna sababu nyengine.Na kuanza vita inabidi wazue sababu na hawaoni tabu hata kubomoa ndege au meli na hata majumba ili waseme magaidi.

Drones hata Iran anazitengeneza anazo tena za kileo na amewapa technology Venezuela na wameshirikiana kutengeneza na zimefanikiwa vizuri.Na hiyo ni moja ya wamagharibi wanachokasirika kwa Iran kuwa na technology ambayo anaitumia kutokana na kuwa na mitambo ya nuklia.Iran ni nchi inayoishi zaidi ya miaka 30 kwa vikwazo lakini wamagharibi wameshangaa kuona pamoja na vikwazo hivo nchi imeendelea na inawasomi wa hali ya juu.Inajitegemea yenyewe kwa asilimia 90 ni asilimia 10 tu ndio wanategemea nje.Hilo linawauma sana kwasababu wao nchi zao wanategemea sana nje hasa Afrika na wanagawa silaha kwa migaidi ili waafrika wapigane wenyewe na ndio maana unaona Congo mpaka leo hakujatulia na haitatulia mpaka nchi za Afrika ziungane na kushirikiana kuwaondoa magaidi na wasiruhusu silaha kuingizwa hovyo.Wanachota mali ya muafrika kama zao na kuwaacha waafrika masikini huku wakisapoti serikali za wala rushwa.
 
[h=1]Drone shot down by Israel appears Iranian-made headed for Dimona reactor[/h]
An unidentified aircraft that was shot down by Israeli air force in the south Mount Hebron area appeared to be Iranian-made aimed at penetrating the Dimona nuclear reactor possibly to examine targeting the plant in a future attack, Israeli media reported on Sunday.

Israeli news website Ynet reported that although the aircraft that entered the Israeli airspace from the Mediterranean Sea would not have caused damage to the nuclear plant, it would have given Iran and Hezbollah a major psychological victory.

Military spokeswoman Lieutenant Colonel Avital Leibovich later told reporters: “This drone was spotted over the Mediterranean in a sector near the Gaza Strip before entering Israeli airspace, where the air force followed it.”

“It was followed from the beginning until the time it was decided to intercept it and shoot it down for operational reasons over the Yatir Forest in the northern Negev, an uninhabited region.”

Israel was not aware that Hezbollah had advanced technology necessary to operate a drone over a long distance, the website reported, adding the military was trying to determine whether the drone was remotely controlled from a Lebanon-based command center or if it was controlled by space-based satellite navigation system (GPS). If It turns out that it was controlled by GPS, the drone was likely meant to return to its base or explode over the sea.

Israeli fighter jets on Monday flew on low altitude in the Lebanese skies, Al Arabiya correspondent reported, in what could a surveillance mission following the downing of the unidentified drone.

“Israel is aware of Iran and Hezbollah's technological capabilities. The current discussion is about how Israel should respond to such an infiltration of a drone and if it should be compared to the launching of a missile or rocket from Lebanon, which has always drawn an immediate response in the form of artillery fire or aerial strikes on targets in south Lebanon,” a senior security official told Ynet Saturday night.

Israeli is also afraid that unmanned aircrafts will likely be used in suicide missions by its enemies, such as Hezbollah and Iran.

“In the next war Syrian and Iranian drones will also be sent on ‘suicide’ missions,” a senior Air Force official recently told Ynet.

Drone shot down by Israel appears Iranian-made headed for Dimona reactor
 
Tatizo kubwa hawa ni kuendelea kuitawala dunia na sababu kubwa hawataki Iran kuwa na Nuklia ni suala la Technology zaidi na sio silaha za nuklia ingawaje akitengeneza atakuwa na nguvu zaidi.Kuitawala dunia ni lazima kwanza uchumi uwe mzuri na hawa sasa hivi wameanguka vibaya na hizi vita wanazozua ni za kiuchumi zaidi wala hakuna sababu nyengine.Na kuanza vita inabidi wazue sababu na hawaoni tabu hata kubomoa ndege au meli na hata majumba ili waseme magaidi.

Drones hata Iran anazitengeneza anazo tena za kileo na amewapa technology Venezuela na wameshirikiana kutengeneza na zimefanikiwa vizuri.Na hiyo ni moja ya wamagharibi wanachokasirika kwa Iran kuwa na technology ambayo anaitumia kutokana na kuwa na mitambo ya nuklia.Iran ni nchi inayoishi zaidi ya miaka 30 kwa vikwazo lakini wamagharibi wameshangaa kuona pamoja na vikwazo hivo nchi imeendelea na inawasomi wa hali ya juu.Inajitegemea yenyewe kwa asilimia 90 ni asilimia 10 tu ndio wanategemea nje.Hilo linawauma sana kwasababu wao nchi zao wanategemea sana nje hasa Afrika na wanagawa silaha kwa migaidi ili waafrika wapigane wenyewe na ndio maana unaona Congo mpaka leo hakujatulia na haitatulia mpaka nchi za Afrika ziungane na kushirikiana kuwaondoa magaidi na wasiruhusu silaha kuingizwa hovyo.Wanachota mali ya muafrika kama zao na kuwaacha waafrika masikini huku wakisapoti serikali za wala rushwa.

Mkuu nakushukuru sana, unajuwa kuna mambo mengine nilikuwa sitaki kuyazungumza humu - ukweli wa mambo ni kwamba nchi ya IRAN ni mahili sana katika mambo ya sayansi na teknolojia; mwaka jana niliwahi kuandika humu kuhusu uwezo wa IRAN kitekonolojia lakini baadhi ya wana JF walinipuuzia na kutoa majibu ya kejeri!

Mkuu kumbuka kwamba kitendo cha nchi ya IRAN ku-intercept a TOP SECRET reconnaissance DRONE katika hanga lao kuliwashangaza watu wegi duniani, oh yes FEAT hii iliwatia kiwewe sana Wamerikani, walijaribu ku-put up a brave face kwa kusingizia a techical problem kama kawaida yao, hawataki dunia ijuwe kwamba kuna wanasayansi duniani wenye uwezo kuwashinda wao!! As far as they are concern the world is AMERICA.

Mkuu ukweli wa mambo ni kwamba hiyo haikuwa mara ya kwanza drones hizi kuingia hanga la IRAN na kufanya upelelezi na sio kwamba wa IRAN walikuwa wanashindwa ku-scramble fighter plane au kutumia SAM kuzitungua - walichokuwa wanafanya ni ku-buy time eavesdropping (sniffing) mawimbi ya mawasiliano kati ya DRONE na base station zinazo tumika kuziongozea - zoezi hili watakuwa walilifanya kwa muda mrefu kidogo.

Walipofanikiwa ku-gather enough info wakazifanyia kazi kwa ku-hack software zinazo ongoza DRONE zenyewe, vile vile na frequency za radio zinazo link DRONE na control Center kule Doha Qatar si hilo tu walikuwa wanajuwa vile vile frequency za GPS ambazo zinatumika kwa ajili ya kuongozea zana za kivita za Merikani zikiwemo Drones zenyewe na CRUISE MISSILES, frequecy hizo za GPS hazitumiki katika shughuli za kiraia, ziko reserved kwa matumizi ya jeshi la Merikani na NATO.

Mkuu, IRANIANS with few months of eavesdropping/experience under their belt, waka-laylow wakiwasubili Wamerikani warushe tena DRONES kukatiza hanga lao, kuingia tu mawasiliano ya DRONE yakawa taken over by IRANIANS na kuogozwa mpaka kutua with a bang kwenye runway iliyo kwisha tayarishwa na jeshi la IRAN. In a net shell Wairan walicho kuwa wanatafuta ni kutaka kujuwa material na avionics (tuseme siri) zinazo tumika kuhunda DRONE za Kimerikani ili na wao waboreshe za kwao wakishirikiana na Wachina.

Oh mkuu, umenikumbusha kitu fulani kuhusu Congo - yaani Waisrael nao wanahusika sana katika biashara na uchimbaji wa madini nchini humo.
 
Mkuu nakushukuru sana, unajuwa kuna mambo mengine nilikuwa sitaki kuyazungumza humu - ukweli wa mambo ni kwamba nchi ya IRAN ni mahili sana katika mambo ya sayansi na teknolojia; mwaka jana niliwahi kuandika humu kuhusu uwezo wa IRAN kitekonolojia lakini baadhi ya wana JF walinipuuzia na kutoa majibu ya kejeri!

Mkuu kumbuka kwamba kitendo cha nchi ya IRAN ku-intercept a TOP SECRET reconnaissance DRONE katika hanga lao kuliwashangaza watu wegi duniani, oh yes FEAT hii iliwatia kiwewe sana Wamerikani, walijaribu ku-put up a brave face kwa kusingizia a techical problem kama kawaida yao, hawataki dunia ijuwe kwamba kuna wanasayansi duniani wenye uwezo kuwashinda wao!! As far as they are concern the world is AMERICA.

Mkuu ukweli wa mambo ni kwamba hiyo haikuwa mara ya kwanza drones hizi kuingia hanga la IRAN na kufanya upelelezi na sio kwamba wa IRAN walikuwa wanashindwa ku-scramble fighter plane au kutumia SAM kuzitungua - walichokuwa wanafanya ni ku-buy time eavesdropping (sniffing) mawimbi ya mawasiliano kati ya DRONE na base station zinazo tumika kuziongozea - zoezi hili watakuwa walilifanya kwa muda mrefu kidogo.

Walipofanikiwa ku-gather enough info wakazifanyia kazi kwa ku-hack software zinazo ongoza DRONE zenyewe, vile vile na frequency za radio zinazo link DRONE na control Center kule Doha Qatar si hilo tu walikuwa wanajuwa vile vile frequency za GPS ambazo zinatumika kwa ajili ya kuongozea zana za kivita za Merikani zikiwemo Drones zenyewe na CRUISE MISSILES, frequecy hizo za GPS hazitumiki katika shughuli za kiraia, ziko reserved kwa matumizi ya jeshi la Merikani na NATO.

Mkuu, IRANIANS with few months of eavesdropping/experience under their belt, waka-laylow wakiwasubili Wamerikani warushe tena DRONES kukatiza hanga lao, kuingia tu mawasiliano ya DRONE yakawa taken over by IRANIANS na kuogozwa mpaka kutua with a bang kwenye runway iliyo kwisha tayarishwa na jeshi la IRAN. In a net shell Wairan walicho kuwa wanatafuta ni kutaka kujuwa material na avionics (tuseme siri) zinazo tumika kuhunda DRONE za Kimerikani ili na wao waboreshe za kwao wakishirikiana na Wachina.

Oh mkuu, umenikumbusha kitu fulani kuhusu Congo - yaani Waisrael nao wanahusika sana katika biashara na uchimbaji wa madini nchini humo.

Mkuu, umemaliza kila kitu, ulichoongea ni ukweli mtupu. Kitendo walichofanya IDF ni 'very mechanical'... Hata JWTZ wanaweza kufanya kwa kutumia hii rada ya BAE... Infact Iranian wako mbali sana kwenye haya maswala ya 'airspace warfare', ukilinganisha na Israel, kama kweli Israel wako 'fit' wangeishusha hiyo drone 'safe landing' kama alivyofanya Iran...
 
Mkuu, umemaliza kila kitu, ulichoongea ni ukweli mtupu. Kitendo walichofanya IDF ni 'very mechanical'... Hata JWTZ wanaweza kufanya kwa kutumia hii rada ya BAE... Infact Iranian wako mbali sana kwenye haya maswala ya 'airspace warfare', ukilinganisha na Israel, kama kweli Israel wako 'fit' wangeishusha hiyo drone 'safe landing' kama alivyofanya Iran...

Mkuu umenifurahisha sana, kumbe unajuwa JESHI letu lilivyo mahili; lakini watu au majirani zetu wakiwaona wanatembea barabarani wanafikili wako nyoronyoro.

Labda niongezee kitu hapa, ni kwamba high level language inayotumika kuongozea zana hizi za kivita specifically CRUISE MISSILES,TORPEDO na DRONES inajulikana, mtu yeyote aliyesomea fani ya Instrumention na Control System kwa kina katika vyuo vikuu Ulaya au Merikani hapati taabu kuelewa kinacho endelea, kwa bahati mbaya au tuseme nzuri wakati wazungu wanapo fundisha fani hii na kuwapa handon experience ya jinsi ya kuprogram vitu hivi huwa wanajisahau kwamba kwenye lecture rooms zao na mahabara kuna wanafunzi wa kutoka nchi nyingine kwa mfano: Waarabu, Wairan, Wachina, Wafrica nk!! sijuhi ni lini hilo watalishtukia lakini nafikili walikwisha chelewa kulingamua hilo.

Mkuu nakuhakikishia kwamba hata Wamerikani/Waingereza watumie mbinu gani ku-scramble mawasiliano kivipi, kutatokea watu weledi wa wakutumia a Super Computer ya kug'amuwa KEY inayo tumika ku-decirpher code ili waweze kusoma kila kitu hata kama KEY hiyo imekuwa programmed na aligorithms za kutoka MARS watazivunja TU mkuu, na hiki ndicho kilicho tokea kwa Wairan kufanikiwa kuingilia mawasiliano ya DRONE za Wamerikani wala sio mambo ya uchawi ni kuzidiana kete tu na ubunifu.

Mkuu siku moja niliwahi kusoma thread humu ndani, jamaa anasema Ndege za Uganda aina ya Sukhoi MK-30 haziwezi kufua dafu kwa kuwa wao wana SAM walizo nunua URUSI eti zinaweza kutungua ndege zote za vita kutoka Uganda! Nilicheka karibu nife! Nikajihuliza hivi huyu jamaa anajuwa Sukhoi MK-30 ni nini hasa, je anajuwa ndege hizi zilivyo na mitambo ya kujilinda hisiyo ya kawaida? Hawana habari kwamba ukielekeza kaji-RADA kako ili uimulike kwa madhumuni ya kuitungua, basi ukifanya kosa hilo la kujaribu kui-track umekwisha yaani kabla huja fyatuwa kombora inajikuta battery nzima ya makombora yako na wewe yaani kila kitu kinakuwa blown to smithereens in millseconds by a FORMIDABLE SUKHOI MK-30.

Hivi
inaingia akilini kufikili kwamba unaweza kutumia a super sonic SAM to bring down a plane armed with a mach 5-6 capable missile?? si hilo tu unawezaje kushindana na ndege inayo weza kugehuka 180 degrees kurudi ilikotoka (within a plane lengh slot) in no time wakati ndege walizo nazo the maximum they can afford to turn ni 27 degrees, which means mpaka igehuze ilikotoa inajukuta inakwenda zaidi ya nautical miles 50-90, sasa kama ni dog fight si mwenzako atakumaliza - hilo lilikuwa ni angalizo tu mkuu.
 
Spot on mkuu, Hezbullah tangu lini ikahunda DRONES na kuwa na uwezo wa kuziongoza remotely - hivi inaingia akili kwamba Lebanon inaweza kurusu Hezbullah watumie uwanja wao wa ndege kwa kurusha Drones hizi?

Wenye Drones Mashariki ya kati ni Waisrael na infact wanazihuza kwa nchi marafiki, juzi juzi hapa ndio nilisikia kwamba IRAN ina mpango wa kuhunda drones wakishirikiana na Serikali ya Hugo CHAVES.

Waisrael wana mbinu nyingi sana za kutaka kuanzisha vita na IRAN kwa kutumia visingizio vya kila aina, wanacho tafuta ni kutaka kuonyesha DUNIA kwamba IRAN ni TAIFA hatari sana bila kuwa na a regime change basi Mashariki ya kati haitakuwa SALAMA, oh yes the bottom line ni kwamba Israel na Merikani hawataki IRAN iwe na silaha za ki-nuclear Mashariki ya KATI, wakiwa nazo wataifunika Israel ambayo ina silaha hizo na inazitumia(kisaikolojia) ku-blackmail Waarabu. Mimi siamini kama IRAN ina mpango wowote wa kuifuta Israel kutoka uso wa DUNIA, wanajuwa fika kwamba wakithubutu kuivamia au kupiga mabomo Israel basi huo ndio utakuwa mwisho wa utawala wa IRAN.

Ha! Waishi mbali na dunia wewe! Iran imeanza kuunda UAV mwisho wa vita na Iraq kwenye miaka ya 90, hata kabla ya Israel. Hii UAV iliyoingia Israel ni ya kisasa zaidi hata Radar za Israel hazikuiona kwa zaidi ya nusu saa. Soma habari hizi kutoka vianzio vya Waisraeli wenyewe hapa: DEBKAfile, Political Analysis, Espionage, Terrorism, Security
Hivi sasa kuna mtaharruku ndani ya Israeli hawajui Iran ina kitu gani kingine wasichoweza kuking'amua......sasa endelea.
 
Back
Top Bottom