Arsenal Gunner
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 10,891
- 17,696
Kwani si mumpige mmarekani shida nini wazee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
yule waliompa kazi baada yakuona haendi kwa speed yao wameamua kumu SavimbiAmekufa kweli au wakubwa zake wamemteka kwa muda ili asaini mkataba wa Congo?
Jamaa wameshachanganyikiwa kwa vipigo wanavyopata kutoka Iran 🤣🤣🤣Israel anaomba warabu wa Gulf states wampe pesa anawambia Iran ni adui yao wote wawili na wao ndio wamemsababisha aingie vita hahaha. Analia eti kwa siku anapoteza 400 Million US $
Sidhani kama Kuwait na Oman watampa pesa labda hao UAE, Qatar, Saud Arabia na Baharain
Kajaza kambi zake za jeshi, anachota gesi katika maeneo ambayo hapo kabla yalikuwa ni ya wapalestina, mafuta anayokusanya kutoka Iraq, Syria, Kuwait nk yanakusanyiwa Israel na kupelekwa Marekani kila siku.Marekani anafaidi nini kwa Israel?
Sasa hivi ni zamu yake Yahudi kuminywa pumbu, na Muajemi amemwamimbia Urusi siihitaji msaada nnammudu huyu. Nilimtafuta siku nyingi leo kaingia kwenye 18.Mkibanwa mapumb* na mhayahudi ndio mnakuja na hizi hoja. Wakati Hitler anawachoma mayahudi huyo Marekani alikuwa wapi asiwasaidie. Someni vitabu acheni story za vijiwe vya kahawa.
Na Hezzbolla mlisema pia kaingia kwenye 18. Haya maneno sio mageni mjini.Sasa hivi ni zamu yake Yahudi kuminywa pumbu, na Muajemi amemwamimbia Urusi siihitaji msaada nnammudu huyu. Nilimtafuta siku nyingi leo kaingia kwenye 18.
Mbona wewe uliesoma vitabu unaonesha hujui ulichokisoma!Mkibanwa mapumb* na mhayahudi ndio mnakuja na hizi hoja. Wakati Hitler anawachoma mayahudi huyo Marekani alikuwa wapi asiwasaidie. Someni vitabu acheni story za vijiwe vya kahawa.
Marekani anafaidi nini kwa Israel?
Kabisa mkuu, watajuta mazayuni 😀💪Wameshafika nimewaona mkuu. Ila wamenywea kwa sababu ya kipigo wanachopata kutoka kwa waajemi 🤣🤣🤣
Mbona wewe uliesoma vitabu unaonesha hujui ulichokisoma!