ISIS: Habari, picha na maelezo


Ficha UPUMBAVU wako onyesha Busara km Unazo.
Naongelea ISIL na Wachungaji Unanipeleka Kwenye Masuala ya mungu wako.

Nyie watu hivi kwanini ufahamu wenu ni mdogo sana?
Yaani mnakera mno kwa pumba zenu kila kona.
 
Ficha UPUMBAVU wako onyesha Busara km Unazo.
Naongelea ISIL na Wachungaji Unanipeleka Kwenye Masuala ya mungu wako.

Nyie watu hivi kwanini ufahamu wenu ni mdogo sana?
Yaani mnakera mno kwa pumba zenu kila kona.

Sasa wewe umeuficha wapi UPMBaVU wako ikiwa unanilundikia tuhuma zilizo nje ya uzi. Na unashindwa kuona kuwa majibu yangu yameeleka kwenye hizo tuhuma. kile ukichojijadili hapo juu kwa nime quote maneno yako hatua kwa hatua na kuyatolea ufafanuzi.


Na zaidi ya hapo unashindwa kutambua title ya Uzi, unaishia kuwa-attack wachungaji!? Wakati hata hao IS wanaendeleza ubakaji, uuaji, vurugu.

..wewe Unaongelea kuhusu wachungaji wakati Uzi umejikita kujadili Kikundi cha kigaidi cha Islamic State (IS). Unaona kuna uhusiano hapo kweli? Ikowapi hekima yako.

Tena Leo IS wametoa Video mpya nyingine wakionesha jinsi walivyowauwa wakristo kwa mapanga na bunduki kwasababu wakristo wameshindwa kulipa jizya, kwenye maeneo wanayoyamiliki. Unaweza kulinganisha uhai wa mtu na pesa? Nikisema huyo mungu wao ni shetani nitakuwa nimekosea,? Je inahitaji uende chuo kikuu kupata PhD ili kutambua kuwa Hawa jamaa ni satanists?So sad.
 
Hawa watu wooote watakuwa wanaunganishwa na lugha gani? kiarabu ama?



Ngoja nikumegee siri. Hao watu wote wanaopigana wanaunganishwa na kile kitabu chao pamoja na ahadi ya bikira 72 na mito ya pombe uko peponi
 
Last edited by a moderator:

ni sahihi kabisa kwa upande mmoja wa shillingi ilikua vita ya kugombea mali.kati ya sadam na bush.kilicho waumiza waislam ni ule mfululizo wa mabomu katk jamii nyonge ya kiislamu wanawake na watoto wakati mwingine wakiwa ktk nyumba za ibada.na haya yalifanywa maksudi na amerika asinge laumiwa kama angelenga ikulu ya Sadam tu.
 
Pol pot kweli wewe unaweza kuwaambia wenzie washirikishe kichwa.Hebu kwanza shirikisha cha kwako
1.Hivi dini yako mwanzilishi aliienezaje?Huoni kama kama ndio mana wafuasi wake wanaendelea kuua in the name ya huyo mungu wao
2.Huoni kwamba wanaua kwa sabab ya kitab chao kuwaahid ahera yenye mabikira
3.Huoni dini yenyewe haiminiki ndo maana hawaruhusu uhuru wa kuabudu kwa sabab wakifanya hivyo wengi watajua kwel na kuondoka.Hebu jarib kufikir
 

Well said.
 
Ngoja nikumegee siri. Hao watu wote wanaopigana wanaunganishwa na kile kitabu chao pamoja na ahadi ya bikira 72 na mito ya pombe uko peponi
Alaa!
Kumbe!

.........................................................

Mi napita bhana....
 

Nikisema wagalatia hamna busara mnakuwa wakali.
Sasa wewe unauliza? Au unaleta zile criticism za Kikafiri bila Ushahidi!

Ili uweze kufahamu hayo unayoouliza Labda nikuulize swali dogo sana.
Ni Watu wa taifa gani ambao wanachukua asilimia kubwa ya WAISLAMU Duniani?

UKijibu hili swali Nadhani utakuwa umeshaona Uchache wako wa elimu.
Ukichemka Muulize Askofu Google atakusaidia. Manake makafiri akili zao siku zote wamezikali.
 

Acha ujanja na uswahili kama vile unakunywa gahawa chungu na kashata kwenye bao.

Jibu swali kwanza kisha uliza swali.

Kama unaona limekushinda, nenda kaongeze Ubani dukani kwako ili uvute wateja wengi.

Unatutajia wahanga wa Tsunami wakati unajua popularity yao iko below Zero.
 


The Islamic State group claimed responsibility on Tuesday for a weekend attack at a center near Dallas, Texas, that was exhibiting cartoon depictions of the Prophet Muhammad - though it offered no evidence of a direct link to the attackers.

An audio statement on the extremist group's Al Bayan radio station said that "two soldiers of the caliphate" carried out Sunday's attack and promised the group would deliver more attacks in the future.

The Islamic State did not provide details and it was unclear whether the group was opportunistically claiming the attack as its own. It was the first time the IS, which frequently calls for attacks against the West, had claimed responsibility for one in the United States.

Two suspects in Sunday's attack in the Dallas suburb of Garland were shot dead after opening fire at a security guard outside the center.

It was also unclear from the statement whether the group, which has captured large swaths of territory in Syria and Iraq, had an actual hand in the operation, or whether the two suspects had pledged allegiance to the group and then carried out the attack on their own.

The suspects have been identified by officials as Elton Simpson and Nadir Soofi. They opened fire in on an unarmed security officer stationed outside the contest center featuring cartoons of the Muslim Prophet Muhammad.

According to mainstream Islamic tradition, any physical depiction of the Prophet Muhammad and others prophets, including Jesus and Moses - even a respectful one - is considered blasphemous. Drawings similar to those featured at the Texas event have sparked violence around the world.

The authenticity of the IS statement could not be independently confirmed but it was read on the Al Bayan radio - a station based in the Syrian city of Raqqa, which the group has proclaimed the capital of its self-styled caliphate.

"We tell ... America that what is coming will be more grievous and more bitter and you will see from the soldiers of the Caliphate what will harm you, God willing," it said.

There have been numerous attack in Western countries believed related in some way to the group, which holds roughly a third of Iraq and Syria.

In October, Canada was hit by two terror attacks by so-called "lone wolves" believed to have been inspired by the Islamic State group. In Ottawa, a gunman shot and killed a soldier at Canada's National War Memorial and then stormed Parliament before being gunned down. Two days earlier, a man ran over two soldiers in a parking lot in Quebec, killing one and injuring the other before being shot to death by police.

Following the IS claim of responsibility, IS members and followers celebrated online with postings on IS-affiliated militant websites.

"How are you (Americans) going to live when we create our lone wolves to be nuclear bombs ... by God, you can't match us and in the heart of your homes you will see," said one Twitter posting.

"Let anyone who wants to draw the picture of our Prophet to think one thousand times before doing so, because our hands can reach his neck," said another.

Source: Yahoo
 
Tensions between terror organizations Islamic State in Iraq and Syria and Hamas in Gaza have intensified in recent days, Maariv reported on Wednesday.

Clashes apparently spiraled after Hamas demolished a mosque used by members of the Salafist organization called "Islamic State Supporters in Beit Al-Maqdis" as well as arrested nearly 40 of its members.

Reportedly, Hamas arrested the dozens of Salafists as well as several prominent Islamic State preachers in Gaza, following the Islamic State takeover of Palestinian refugee camp Yarmouk, near Damascus.

"After ISIS beheaded several Palestinian, including a senior Hamasofficial," inside the camp in April, the International Business Times reported, "the Palestinian Intelligence agency swore that it would avenge the killing of its personnel."

In response, the ISIS-affiliated group in the Hamas-controlled coastal enclave called Hamas "worse than the Jewish and American occupiers" and issued a proclamation on Monday giving Hamas 72 hours to release its detained members.

If not, the "ISIS Supporters in Beit Al-Maqdis" asserted they would kill, one by one, all of Hamas' personnel.

Claiming it has data on all the names and addresses of those working for the Palestinian Intelligence Agency, the pro-ISIS group in Gaza went on to accuse Hamas of working for Israeli forces.

Despite concern of an escalation, Hamas has tried to reassure the Gazan public that the security situation is stable. "Residents can tour Gaza without need of a weapon from Rafah to Beit Hanoun," Interior Ministry spokesman Iyad al-Bazamwrote on his Facebook page.


Source: israelnationalnews
 
hahah!!!! yes!! i repeat again ISIS are not islamic jihadist they are there for every american interest!!
but anyway even islam was started for pope interest, i dont wonder!!
 
hahah!!!! yes!! i repeat again ISIS are not islamic jihadist they are there for every american interest!!
but anyway even islam was started for pope interest, i dont wonder!!
They are. ASK Boko Haram will tell you that.
 
It is clear for anyone who has eyes or can analyse things independently that Saudi Arabia, ISIS, Al Qaeda and its offshoots are all working for the same entity.......Zionist cabal.
 
ISIS also known as ISIL or Daesh is oppossed to all anti-Israeli occupation and anti-American groups, such as Hamas, Hezbollah & Houthi Yemenis.

ISIS does not oppose Israeli occupation or American, Saudi & Israeli bombings of Arab people in Syria, Yemen & Gaza.

American creation?
 

Arabs can be twisted anyhow, right?
 
Are you telling us that ISIS are Qhafhirs who worship Allah?
 
5 Boko Haram members who were in Mosul, Iraq to train under Islamic State, have reportedly been killed. According to BasNews, a youth vigilante group known as the Mosul Youth Resistance Movement killed the sect members in the Dargaza neighbourhood of eastern Mosul today May 13th.


Spokesperson of the Kurdistan Democratic Party (KDP) in Mosul, Saed Mamuzini, said the Mosul Youth Resistance Movement, was recently formed to act against Islamic State (IS) in Mosul.

“The Nigerian Boko Haram militants were in Mosul to take part in a military training course conducted by Islamic State (IS).” he said
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…