ISIS fighters 'have contracted Ebola'

ISIS fighters 'have contracted Ebola'

Status
Not open for further replies.
Taarifa ingine kutoka New york times inasema ebola wametengeneza wai ISIS na inasemekana wana akiba kubwa ya vijidudu hivyo .
Pia wao peke yao ndio wenye anti dot ya ebola.
Na taarifa za ndani kabisa ya kundi hilo inasemekana wao ndio wameleta Ukimwi na dawa yake wanayo hivyo kuna mazungumzo yanaendelea na WHO kuwaomba watoe hio dawa na wao wataachwa waichukue syria na iraq

Du!ni shda kwelkwel
 
Ni kwa nini kila tukio mnatukana America?

Isis mnasema ni jeshi la Marekani - upumbavu mtupu.

Leo ISIS imesikika kuna ebola, inakuwa america kapeleka.

Huu si wendawazimu?

Kwa nini msione kwamba wanaweza kupata kwa njia ya kawaida tu?

Wanachukua wapiganaji kutoka sehemu zote duniani.
Wanasafiri kwa siri sehemu nyingi duniani kuendesha mafunzo yao ya kishetani.
Wanakamata na kutesa watu ovyo kama walivyokuwa wamemshika yule Pilot na alikuwa anableed.
Wanapochinja watu wanakuwa wanajilinda na maambukizo?
Wanapowarundika mateka wao kwenye mahabusu wanakuwa wamehakikisha wakok ebola free? Na hao walinzi wanatahadhari yoyote?

Acheni utumwa wa fikra. ISIS, kwa wanavyofanya kazi ni zaidi ya kawaida kupata maradhi kama ebola kwa kuchezea watu na damu zao na ukimwi kwa ubakaji.

Kama wanataka kufa, kwa nini wanajilinda? Si wakae watikitwe ili wafike jehanam mapema?

Mwone aibu kutokutumia akili na kuona kila linalotokea America kafanya. Wehu!

By the way, kama wamepata Ebola, acha yafe. Mashetani makubwa usoni pa nchi!. Kwa nini wanakwenda kutafuta tiba Iraq hospitalini?

Kumbe wanaamini kuishi kwema?

Pumbavu kabisa!.

Kufikiri huwa ni zao la shule ndg ambayo wenzetu wanaipinga sana.. Usipoteze mda kuwaonyesha facts mkuu watakuita mgalatia sasa ivi.. ngoja dada yao na yule mdini mwingine waje hapa uone...
 
Biological weapon at work!!
 
Kama wamewapelekea bado hawajawakomoa kwa sababu hawa jamaa wanapigna ili wafe...kwanza kabla hajafa atahakikisha kuwa ameshambukiza watu wengi sana....
Watakuwa wamewapunguzia mzigo wa kubeba mabomu ya kujitoa mhanga.....

Kama wanapigana ili wafe mbona siku hizi wanatumia public transport na kuondoa bendera zao kwenye magari na nyumba zao wakihofia kuuawa kwa ndege za kivita za washirika na Marekani?
 
Kama wanapigana ili wafe mbona siku hizi wanatumia public transport na kuondoa bendera zao kwenye magari na nyumba zao wakihofia kuuawa kwa ndege za kivita za washirika na Marekani?

Dhumuni ni kufa na adui na sio kufa pekee ni hasara kwa mujaheedin...ndio maana wanajitoa mhanga...ili wafe na maadui wengi..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom