Isikie na hii, uelewe yatakayojili

Isikie na hii, uelewe yatakayojili

Hapo kwenye kuonwa ndo penye mtihani, maana yamejimulikia uchawi wa mwenge ili yawe yanaonekana yenyewe tu....
 
Kwahiyo unaona kutumia hela kujenga madarasa ni upotevu wa hela?
Huduma ya Elimu na Afya ndo msingi wa maendeleo utajenga hizo barabara bila kuwa na elimu?
Hivi Watu wanapokuwa wanapinga ujenzi wa barabara na miundo mbinu mingine ni wako serious au wanatania tu kuchangamsha baraza?!
 
Back
Top Bottom