okoyoko
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 2,664
- 3,653
Hellow
Nahis baadhi ya hawa dada zetu wana 100 ways of exploiting and using men, kwa selfish reasons zao.
Juzi Juzi kuna mdada ambae ni classmate wangu nlimtembelea ghetto kwake FOR THE VERY FIRST TIME nikamkuta yupo na rafiki yake (huyo classmate sijawah kumtongoza na cna mpango huo). Kufika pale tukapiga story mbili tatu.
Sasa rafiki yake huyo classmate nlieenda kumtembelea alikuwa na mzigo ambao aliniomba nimsaidie kubeba na mm nkambebea tu kiroho safi without a second thought baadae akaniambia, sorry kukubebesha mzigo mwanaume atakula kwa jasho etc etc.. Let's call uyo dada alienbebesha mzigo dada "Y"
Leo tena mchiz mwingine nlipokua napiga nae story kaniambia kuwa kamsaidia yule yule dada Y kumbebea mzigo, cha ajabu kwenye iyo situation walikuwa wadada wawili na mwanaume mmoja, huyo mdada alieubeba for the first tym akaambiwa auvue then ampe huyo mkaka.. Mind u huyo mdada alieuvua hakulalamika kuwa mzigo ni mzito kwake.
Many days ago tena mdada mwingine tofauti alinipa handbag nimsaidie kupeleka darasani wakati yy akienda chooni
Inaonekana ni tabia ya uyo dada Y kuwafanya wanaume kuwa ndo manamba wake wa kumbebea mizigo na i have realized kuwa nlifanya mistake kubwa ya kumsaidia kubeba mzigo.. Na sielewi nia yake nini haswa, i wonder whether she is an entitled bitch au... Coz kwa sie wanaume sidhani kama utamuomba demu hata kama co demu wako, akusaidie kubeba kitu hivi hivi tu unless umekwama sana.
Sahiv nikiombwa msaada wa kubeba mzigo wa demu ni mwendo wa NO maana hakuna namna..
Nahis baadhi ya hawa dada zetu wana 100 ways of exploiting and using men, kwa selfish reasons zao.
Juzi Juzi kuna mdada ambae ni classmate wangu nlimtembelea ghetto kwake FOR THE VERY FIRST TIME nikamkuta yupo na rafiki yake (huyo classmate sijawah kumtongoza na cna mpango huo). Kufika pale tukapiga story mbili tatu.
Sasa rafiki yake huyo classmate nlieenda kumtembelea alikuwa na mzigo ambao aliniomba nimsaidie kubeba na mm nkambebea tu kiroho safi without a second thought baadae akaniambia, sorry kukubebesha mzigo mwanaume atakula kwa jasho etc etc.. Let's call uyo dada alienbebesha mzigo dada "Y"
Leo tena mchiz mwingine nlipokua napiga nae story kaniambia kuwa kamsaidia yule yule dada Y kumbebea mzigo, cha ajabu kwenye iyo situation walikuwa wadada wawili na mwanaume mmoja, huyo mdada alieubeba for the first tym akaambiwa auvue then ampe huyo mkaka.. Mind u huyo mdada alieuvua hakulalamika kuwa mzigo ni mzito kwake.
Many days ago tena mdada mwingine tofauti alinipa handbag nimsaidie kupeleka darasani wakati yy akienda chooni
Inaonekana ni tabia ya uyo dada Y kuwafanya wanaume kuwa ndo manamba wake wa kumbebea mizigo na i have realized kuwa nlifanya mistake kubwa ya kumsaidia kubeba mzigo.. Na sielewi nia yake nini haswa, i wonder whether she is an entitled bitch au... Coz kwa sie wanaume sidhani kama utamuomba demu hata kama co demu wako, akusaidie kubeba kitu hivi hivi tu unless umekwama sana.
Sahiv nikiombwa msaada wa kubeba mzigo wa demu ni mwendo wa NO maana hakuna namna..