Ishi na watu kwa akili

Ishi na watu kwa akili

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
37,156
Reaction score
55,656
Binadamu wanachangamoto kweli, unamweleza shida zako ukifikiri atakusaidia ata kwa mchango kidogo; matokeo yake wanakushauri Mungu atakusaidia.

Sasa mtu ana njaa, hitaji lake kwa sasa ni chakula; sasa hapo Mungu atamsaidiaje, badala ya wewe kumuwezesha kula? Urafiki ni kutatua kero iliyopo, na si kuhamisha majukumu kwa muumba.

Hii kuhamisha majukumu ni dalili ya uchoyo.
 
Binadamu wanachangamoto kweli, unamweleza shida zako ukifikiri atakusaidia ata kwa mchango kidogo; matokeo yake wanakushauri Mungu atakusaidia. Sasa mtu ana njaa, hitaji lake kwa sasa ni chakula; sasa hapo Mungu atamsaidiaje, badala ya wewe kumuwezesha kula? Urafiki ni kutatua kero iliyopo, na si kuhamisha majukumu kwa muumba. Hii kuhamisha majukumu ni dalili ya uchoyo.
Mungu atakusaidia mkuu
 
Duh! Kwa hiyo wewe kuombewa usaidiwe na Mungu unaona kero?
Mfano uko hospitalini unatakiwa ufanyiwe oparesheni ya jicho na kuna kiasi fulani cha fedha kinahitajika, unaeleza tatizo lako usaidiwe; matokeo yake wanakuambia Mungu atakusaidia utapona. Sasa ataponaje bila kupata matibabu?
 
kuna wale wanaotaka kutatuliwa matatizo yao tu ukimweleza la kwako kila siku anaitwa SINA

siku hizi watu husaidia wanaowasaidia pia,,,We have decided that na maisha yanaenda

hahahahah
🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom