Ishi na mkeo kwa akili

Ishi na mkeo kwa akili

Ina maana mkuu huwa wewe binafsi humwambii my wife kuwa "I love you" hata mara moja? Hide my ID please
Yaani I am so romantic mpaka it hurts. Nadekeza sana ila babygirl anajua kuwa sitaki upuuzi, mimi mkali nikiwa crossed. Kama Pac alivosema "I can be a fella if you let me, a motherfcuker if you do upset me!". Ndio mimi sasa. Full kudekeza vizawadi, outings n.k.
 
Endeleeni kuishi na wake zenu kwa akili
 
Kweli viumbe dhaifu, wanahitaji uangalizi sana hawa
 
... Napita tu hapa.. Kuna mambo kdg yananigusa... Ngoja nikaongeze akili. But believe me. Wanawake ni watu au viumbe wa ajabu sana.
 
Ila mtoa mada wewe ni binadamu wa aina gani kweli umeshampa kitu mtu halafu unamnyang'anya?Ni makosa makubwa sana wewe unaweza kurudisha alivyokupa????
 
NB:
This theory does not apply to Wives who once were House Maids (mabeki 3) hawa utawapa vyote na kuishi nao kwa akili sana lakini lazima watakupasua kichwa tu. Ndo maana waswahili wanasema beki 3 haolewi!!!
[HASHTAG]#Refer[/HASHTAG] Joyce Kiria case#
Beki 3 haolewi? Elezea.zaidi
 
Back
Top Bottom