kson m
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 6,648
- 3,003
Nataka unifunulie huo ukweli. Mimi sio mbishi... Funua ukweli ili huo ukweli utuweke huru... Who is authentic then !!!Kubali kujirekebisha mtu wa Mungu, kwani unapungukiwa na nini. Achana na ubishi usio wa lazima. Hayo mambo aliyoainisha ni kweli tupu,ndivyo mnavyofanya,je? Kwa utashi wako unadhani mambo hayo yanampendeza Mungu?.