Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,124
- 71,733
Waisrael wenzangu, lile Gaidi namba mbili la HAMAS lilokua mafichoni Nchini Lebanon , limeuliwa Leo Mara baada ya Ndege vita isokua na Rubani kuingia anga la Beirut Lebanon na Kuachilia kombora ambalo limemuacha Gaidi akiwa vipande vipande.
Sambamba naye, wameuliwa magaidi mengine Matano.
Hii ndio Israel , Ulipo Tupo 😂😂
Tunamuwinda Mwenyekiti sasa !!.
Hizibollah mkijichanganya kulipa kisasi, tutaigeuza Lebanon kua Vumbi.
Yale mameli ya Wamarekan, yalikuja Kutusaidia Taarifa za alipo huyu Gaidi
Sambamba naye, wameuliwa magaidi mengine Matano.
Hii ndio Israel , Ulipo Tupo 😂😂
Tunamuwinda Mwenyekiti sasa !!.
Hizibollah mkijichanganya kulipa kisasi, tutaigeuza Lebanon kua Vumbi.
Yale mameli ya Wamarekan, yalikuja Kutusaidia Taarifa za alipo huyu Gaidi