Is this the end of CHADEMA?

Status
Not open for further replies.
chilisosi naomba kwanza uwatake radhi wanachadema wote kwa kitendo cha kuwafananisha na mbwa mwitu kama ulivyoweka picha kwenye mada yako. wape binadamu wenzako hadi kama wanadamu na si mnyama

Huu mfano hai hakuna sehemu aliyofananisha.
 
hizi ni njaa tu za wapuuzi wachache kama wewe!yaani kwa akili yako na wewe umekaa chini ukajiona umeandika kitu cha maana kweli..!kweli magamba yameishiwa sera!wewe hutofautiani na matapishi kwa post uliotumwa uweke. Kaa chini uzungushe akili, ufikiri,uchuje halafu ndo uje na mada zenye akili kwasabab hii yako sidhani hata mtoto wa chekechea anaweza kukuunga mkono!kawaambie waliokutuma kuwa kabla ya 2015 wawe wameshahama nchi...You are totally sick in the head.
 
chilisosi naomba kwanza uwatake radhi wanachadema wote kwa kitendo cha kuwafananisha na mbwa mwitu kama ulivyoweka picha kwenye mada yako. wape binadamu wenzako hadi kama wanadamu na si mnyama
huo ni mfano tu
 
Baada ya kupunguza vita za wenyewe kwa wenyewe sasa wameamua kuanza kunyofoa watu kucha ili kujenga chuki kati ya serikali na wananchi, lakini siri zimefichuka na sasa kimenuka, tusubiri mwisho wake.
 

Ukihisi mkeo amekosea jambo mbele za wageni unamuita chumbani unamuonya kwa namna anaweza kukuelewa na kukusikia, sio unabwatuka sebuleni bila nidhamu, ukishamvunjia heshima yake hapo, hata kama ulikuwa na jema la kumueleza na kumuelimisha, ataanza kujitetea na kupinga chochote unachosema na hata kama ana maelezo mazuri juu ya alilolifanya, hutayapata kwasababu anaamini uko kwenye attack-mode na yeye lazima awe na defense mechanisms.. It's a simple logic..Kama wewe unakipenda sana chama na unataka kutoa ushauri fulani, there are proper channels to do so.. ila ukianza ku-attack kama magamba- style, then you are no more than a swerved disloyal servant!!!! My Take!!!!
 
Baada ya kupunguza vita za wenyewe kwa wenyewe sasa wameamua kuanza kunyofoa watu kucha ili kujenga chuki kati ya serikali na wananchi, lakini siri zimefichuka na sasa kimenuka, tusubiri mwisho wake.

Hao hao unaojifanya kuwatetea, watakuja kukunyofoa wewe na familia yako...
 
wala sio mwisho wa CDM, bali chama kinazidi kuimarika na kuleta matumaini kwa watz. yanayotokea ni sehemu ya kukua kwa demokrasia ndani ya chama na ndivyo hutokea kwa taasisi yoyote inayokuwa na watu wachache halafu ghafla wakaongezeka kwa wingihii inasaidia kujuana zaidi na kukubaliana kimisingi. wagombanao ndio wapatanao
 
Kwa staili hii ya wengine kutembea na sumu mfukoni nadhanio ndio mmefikia mwisho
 
Ovyoo; hivi hakuna mwenye akili miongoni mwa Usalama wa Taifa? Kwa nini msiwaache CCM wenyewe wajitetee hadi kujifedhehesha kwa kuposti thread za kijinga kama hii mliyoituma?
Ni aibu kwa asasi iliyokuwa na heshima kama TISS kutekwa na chama cha ovyo kama CCM! Shame on you!!!
 
Maneno yako nikama ngonjera mh, hutokaa ubadilishe mtizamo wangu kwa kuwa ww unapewa kwa kufikiri upuuzi huo unaofkiria na kujiliwazia kama ni NCCR ilikuwa ni miaka ile shule wanaenda peku mkuu sahau karne ile
 
Maneno yako nikama ngonjera mh, hutokaa ubadilishe mtizamo wangu kwa kuwa ww unapewa kwa kufikiri upuuzi huo unaofkiria na kujiliwazia kama ni NCCR ilikuwa ni miaka ile shule wanaenda peku mkuu sahau karne ile
Huo ndio ukweli wenyewe
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…