Is this real?


Thank you MrsLeo for your advice. No i am not in love with my own imagination, namfahamu kwa sura and i can vouch for him kwamba hizo picha ni za kwake coz zipo ambazo ninaonyesha uhalisia. Nitaufanyia ushauri wako kazi nashukuru.
 

Unaweza kuona kama nilikuuliza swali la ajabu lakini nilikuwa najua nakuuliza nini

Hebu angalia sasa utam unapokuja

Hebu rudia kukisoma ulichokiandika halafu uniambie kama ungefikiria ulichoniambia ungekuja hapa kuuliza hili swali

Enenda na amani ila kuwa mwangalifu sana

Zingatria hicho ulichokisema hapo juu!
 
Naelewa unachopitia mamii, acha muda useme huku ukimshirikisha Mungu, ukisali na kumwombea yeye pia isije kuwa unaingia choo cha kiume...all in all time will tell.

Thank you Chujio kwa ushauri wako mzuri. I've prayed about it and i just hope it's for the best. Have a blessed Sunday.
 

Huu mwandiko kama naufananisha na mtu nayemfahamu.

Ngoja nimwite rais wa wabeba box komredi Nyani Ngabu isije ikawa yeye ndo kadondokewa au mmoja wa raia zake.
 
Last edited by a moderator:

Nashukuru sana Ichana,ushauri wako mzuri nitaufanyia kazi.
 
This area is highly protected by the authority. Don't pass or park here! By Authority!
 
Thank you Chujio kwa ushauri wako mzuri. I've prayed about it and i just hope it's for the best. Have a blessed Sunday.

Asante sana Miss Kim.. usisahau kutupa feedback, huenda wengine wakajifunza kitu toka kwenu

Ps. Naomba niwe mwanakamati if all goes well!
 

Nashukuru Bantu Lady kwa ushauri wako. Sio kwamba najaribu kulinganisha mtu mmoja na mwingine,all i needed is to hear other peoples' experiences and to learn from them coz naamini kwamba experience is the best teacher.
 

Kweli mkuu,usemacho ni kweli kabisa
 

I never had a relationship katika social networks, so Im not sure if they can last for a long time.. but if I put myself in your shoes, I would've step out of line till I meet with the stranger, I understand the power of "a lot of things in common" and I never underestimated it but I don't ALWAYS use it as a fact that Im in love.. you better wake up, I suggest you meet with him and get to know him a little better, THEN and only THEN you'll know for sure if he's the one for you.


 
He/She who is not courageous enough to take risks, will accomplish nothing in life.You just follow your heart but take your with you
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…