lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,466
- 9,028
Nawasalimuni wanajamvi!
Mwaka jana nilikuwa nikimsaidia mgeni mmoja kwenye shughuli za uwekezaji. Mbali na taasisi nyingine, alikatishwa tamaa na utendaji kazi wa Mamlaka ya Mapato (TRA) pamoja na Mamlaka ya vyakula na madawa (TFDA) na hakuamini kama kweli hawa jamaa wapo kwa ajili ya kujenga nchi yao au kuibomoa kutokana na usumbufu na kutojali walikokuonyesha! Na hakuelewa serikali ilikuwa inafanya nini juu ya hiyo hali maana kila kitu kinaonekana wazi. Hapo ndiyo akatoa kauli hiyo hapo kwenye subject!
Naomba msaada:
Kwa wale wakazi wa Dar es Salaam na hasa maeneo ya Bagamoyo rd na mikocheni tulitangaziwa juu ya mradi wa mall ya DAR VILLAGE pale karibu na bar maarufu ya Rose Garden. Miongoni mwa wapangaji (kama sikosei) ilikuwa ni chain ya supermarkets moja kutoka Kenya.
Nawakilisha
Mwaka jana nilikuwa nikimsaidia mgeni mmoja kwenye shughuli za uwekezaji. Mbali na taasisi nyingine, alikatishwa tamaa na utendaji kazi wa Mamlaka ya Mapato (TRA) pamoja na Mamlaka ya vyakula na madawa (TFDA) na hakuamini kama kweli hawa jamaa wapo kwa ajili ya kujenga nchi yao au kuibomoa kutokana na usumbufu na kutojali walikokuonyesha! Na hakuelewa serikali ilikuwa inafanya nini juu ya hiyo hali maana kila kitu kinaonekana wazi. Hapo ndiyo akatoa kauli hiyo hapo kwenye subject!
Naomba msaada:
Kwa wale wakazi wa Dar es Salaam na hasa maeneo ya Bagamoyo rd na mikocheni tulitangaziwa juu ya mradi wa mall ya DAR VILLAGE pale karibu na bar maarufu ya Rose Garden. Miongoni mwa wapangaji (kama sikosei) ilikuwa ni chain ya supermarkets moja kutoka Kenya.
- Je, yupo anayejua mustababali (fate) ya hiyo project? Maana nimeona kama umesimama!
- Je, inaweza ika justify "Is Tanzania 'almost' impossible to do business!??"
Nawakilisha