Is She The Worst President Ever(Tz)?

Randy orton

JF-Expert Member
Apr 29, 2019
1,338
3,539
1. Super/hyper inflation

2. Corruption

3. Over Taxation of the low/middle class

4. Deterioration of Security

5. Unnecessary Spendings

6. Unaccountability (leaders/especially Presidential nominees)

7. Death of Mega Projects

8. Bizarre allegations against mbowe

All this in less than two (2) years office!!!

Is there any Former President who can compete with her?
 
Tumlaumu mshauri wake tu...
Kumlaumu mama samia ni kumuonea tu tumwangalie yule aliyemuamini zaidi
 
1. Super/hyper inflation

2. Corruption

3. Over Taxation of the low/middle class

4. Deterioration of Security

5. Unnecessary Spendings

6. Unaccountability (leaders/especially Presidential nominees)

7. Death of Mega Projects

8. Bizarre allegations against mbowe



All this in less than two (2) years office!!!

Is there any Former President who can compete with her ?
Kama ni kweli alitaka kujiuzulu, na hakuwa na uhuru wa kumshauri mtangulizi wake; ni wazi kuwa hana maono kwa taifa.
Ukifuatilia historia ya uteuzi wake kuwa makamu, ni kama alivyosema mwenyewe baada ya kuapishwa kuwa rais, kwamba ni 'kudra' tu!
She don't have any vision. Na hili ni tatizo la mfumo wa namna ya kuteua viongozi ndani ya chama.
 
1. Amejenga madarasa, kulikua na wanafunzi wanaofaulu wengi pamoja na walimu wapya wanaohitimu wengi,kilichokuwa kinakosekana ni madarasa,

2. Amefanikisha filamu ya 'royal tour' ambayo ni creativity yake ameonyesha jinsi gani nchi yetu inaweza kuingiza mapato bila kutegemea kutembeza bakuli kila wakati

3.Amejali maslahi ya wafanyakazi kitendo ambacho bwana meko hakuwahi kukifanya kwa miaka zaidi ya mitano

4. Aongezewe miaka mingine 20, she has done a lot within a year,we will achieve a lot if she continues with this pace ....best president Tanzania could ever have...
 
1. Super/hyper inflation

2. Corruption

3. Over Taxation of the low/middle class

4. Deterioration of Security

5. Unnecessary Spendings

6. Unaccountability (leaders/especially Presidential nominees)

7. Death of Mega Projects

8. Bizarre allegations against mbowe



All this in less than two (2) years office!!!

Is there any Former President who can compete with her ?
Consistent increase in fuel price
 
1. Amejenga madarasa, kulikua na wanafunzi wanaofaulu wengi pamoja na walimu wapya wanaohitimu wengi,kilichokuwa kinakosekana ni madarasa,

2. Amefanikisha filamu ya 'royal tour' ambayo ni creativity yake ameonyesha jinsi gani nchi yetu inaweza kuingiza mapato bila kutegemea kutembeza bakuli kila wakati

3.Amejali maslahi ya wafanyakazi kitendo ambacho bwana meko hakuwahi kukifanya kwa miaka zaidi ya mitano

4. Aongezewe miaka mingine 20, she has done a lot within a year,we will achieve a lot if she continues with this pace ....best president Tanzania could ever have...
1. Kwenye Kujenga madarasa ni jambo zuri tena sana.

Aongezewe miaka 20 wakati hata mfumuko wa bei wa Pre-Ukraine war hawezi kuukabili.!


Wakati unasema hayo kumbuka kuna wanafunzi watashimdwa kufika kwenye hayo madarasa aliyojenga ndani ya muda sababu ya nauli kupanda
 
1. Kwenye Kujenga madarasa ni jambo zuri tena sana.

Aongezewe miaka 20 wakati hata mfumuko wa bei wa Pre-Ukraine war hawezi kuukabili.!


Wakati unasema hayo kumbuka kuna wanafunzi watashimdwa kufika kwenye hayo madarasa aliyojenga ndani ya muda sababu ya nauli kupanda

mnhhh,,,,give her time mkuu..... kushindwa kufika shule sababu ya nauli kupanda, unaongelea Tanzania hii hii tunayoijua...wapi umesikia hivyo..mnhhh
 
1. Super/hyper inflation

2. Corruption

3. Over Taxation of the low/middle class

4. Deterioration of Security

5. Unnecessary Spendings

6. Unaccountability (leaders/especially Presidential nominees)

7. Death of Mega Projects

8. Bizarre allegations against mbowe



All this in less than two (2) years office!!!

Is there any Former President who can compete with her ?
Don't judge her on those parameters, most of her pimps will come and say Tanzania is not the only country affected by most of those factors.

I would say, however, that we have had three consecutive presidents who fit in your characterization of "worst president," based on their specific weaknesses making them worst leaders.
 
1. Amejenga madarasa, kulikua na wanafunzi wanaofaulu wengi pamoja na walimu wapya wanaohitimu wengi,kilichokuwa kinakosekana ni madarasa,

2. Amefanikisha filamu ya 'royal tour' ambayo ni creativity yake ameonyesha jinsi gani nchi yetu inaweza kuingiza mapato bila kutegemea kutembeza bakuli kila wakati

3.Amejali maslahi ya wafanyakazi kitendo ambacho bwana meko hakuwahi kukifanya kwa miaka zaidi ya mitano

4. Aongezewe miaka mingine 20, she has done a lot within a year,we will achieve a lot if she continues with this pace ....best president Tanzania could ever have...
2. This is bull shit, kwani kutanganza Tanzania tumeanza leo? Royal tour ina nini cha ziada? Ni mapato gani yameingizwa na Royal Tour? Eti kuingiza pesa bila kutembeza bakuli, sijui watu mnatumia nini kufikiri.

3. Mishahara ipi iliyoongezwa? Wewe umeona mshahara wa mfanyakazi umeongezwa? Umeongezeka kwa asilimia ngapi?

4. Mkiwa machawa muwe mnatumia akili kufikiri na sio makalio.
 
Back
Top Bottom