Poleni na majukumu wanajamvi.
Tunafahamu kuwa kabla ya kununuliwa na NOKIA, QT framework ilikuwa chini ya umiliki wa Torolltech ikiendelezwa na vijana talented kweli wanaojulikana kama 'Trolls'. Baada ya ununuzi, tumeshuhudia ushirikiano kati ya Intel na NOKIA ambao umezaa MeeGo, kukiwa na malengo ya kuwekeza sana kwenye QT na kuifanya MeeGo kuwa OS yenye nguvu na maarufu kwenye Smartphones, Tablets, Netbooks, etc.
Bado sijaelewa uamuzi wa CEO wa Nokia, Stephen Elop wa kuhamia kwenye WinMo(WP7) na kuifanya kuwa ndio OS tegemeo la baadaye itakayoendesha High-end smartphones za NOKIA, kwa kushirikiana na CEO wa Microsoft, Steve Ballmer.
Elop ni mwana hisa wa Microsft ambaye ni wa 7 kwa wingi wa hisa alizonazo kwa wanahisa mmoja mmoja.
Maelezo yaliyotolewa na NOKIA kuwa bado wataendelea kuiunga mkono QT kwa kuajili developers wengi zaidi, kutengeneza simu zaidi kama milioni 150, ku-release NOKIA N9 yenye MeeGo etc. bado hayajawaridhisha maprograma wengi waliokuwa wamewekeza nguvu zao na muda wao kwenye QT, kwani yanaonekana ni kuandaa mazingira ili WP7 iweze kuchukua hatamu!
Kutokana na sababu za kiushindani bado nashindwa kujua hatima ya QT mikononi mwa Microsoft!!!
Is it burning to the ground?
Tunafahamu kuwa kabla ya kununuliwa na NOKIA, QT framework ilikuwa chini ya umiliki wa Torolltech ikiendelezwa na vijana talented kweli wanaojulikana kama 'Trolls'. Baada ya ununuzi, tumeshuhudia ushirikiano kati ya Intel na NOKIA ambao umezaa MeeGo, kukiwa na malengo ya kuwekeza sana kwenye QT na kuifanya MeeGo kuwa OS yenye nguvu na maarufu kwenye Smartphones, Tablets, Netbooks, etc.
Bado sijaelewa uamuzi wa CEO wa Nokia, Stephen Elop wa kuhamia kwenye WinMo(WP7) na kuifanya kuwa ndio OS tegemeo la baadaye itakayoendesha High-end smartphones za NOKIA, kwa kushirikiana na CEO wa Microsoft, Steve Ballmer.
Elop ni mwana hisa wa Microsft ambaye ni wa 7 kwa wingi wa hisa alizonazo kwa wanahisa mmoja mmoja.
Maelezo yaliyotolewa na NOKIA kuwa bado wataendelea kuiunga mkono QT kwa kuajili developers wengi zaidi, kutengeneza simu zaidi kama milioni 150, ku-release NOKIA N9 yenye MeeGo etc. bado hayajawaridhisha maprograma wengi waliokuwa wamewekeza nguvu zao na muda wao kwenye QT, kwani yanaonekana ni kuandaa mazingira ili WP7 iweze kuchukua hatamu!
Kutokana na sababu za kiushindani bado nashindwa kujua hatima ya QT mikononi mwa Microsoft!!!
Is it burning to the ground?