Kwi kwi kwi kwii kwii wenzio kile kivazi ndiyo kilifanya tuangalie ule mdahalo kwa muda wote (on right touch, no offense intended)
sema pia kilichangia kwa namna moja kuhongwa mawe yetu ya thamani.....alitega watu pale!
Mkodoleaji,
Tena usizidi kuniudhi kabisa Mkodoleaji, usicheke kabisa, nisije nikavuta waya CCN International sasa hivi kuchafua hali ya hewa on that binti, never mind the e-mail thing. 😡
Jamani for those who have been watching the IMF meeting at the BOT Towers, have u noticed like i have how aisha wa CNN alivyo muuliza kikwete simple questions na kashindwa kujibu kwa uhakika...jioneeni
Concluding Plenary » Africa is changing...
mkodoleaji,
kile kivazi isha asingevaa kama angekuwa ana moderate ule mdahalo ndani ya tripoli. Kwa nini, kwa sababu wanaheshimu utamaduni wa watu wa kipande kile. In fact angejipiga ushungi na hijabu na baibui and all that. Laura bush style. Kwa nini, kwa sababu them people wa kipande kile huwa hawataki ujinga. Na watu wa cnn international huwa wanategemewa waheshimu desturi za local culture.
Sisi waafrika wa sub-sahara ndio dada anakuja ku moderate an african orientated forum na ki blauzi kinaonyesha vikamba vya shimizi! Mbele ya dignitaries lukuki. Yani sijui kwa nini nilisahau kumwambia kuhusu kile kinguo. Na moja ya themes ya ile forum, kama alivyosema yule activist musician mwenye macheni makuuubwa (by the way, pale nyerere asingekaa pale, in fact kuna wakati yule bishoo alitukana "shit") kama alivyosema wazi wazi yule mzungu mwenye macheni "acheni kuwa ma supplicants." kuhofia hofia hawa wadhungu hawa (tanzania yule isha ni mzungu!).
Tena usizidi kuniudhi kabisa mkodoleaji, usicheke kabisa, nisije nikavuta waya cnn international sasa hivi kuchafua hali ya hewa on that binti, never mind the e-mail thing. 😡
hivi katika hali kama ile tujalie rais kikwete amekuwa na harakati nyingine za kiserekali nje ya nchi badala yake awakiliswe na mheshimiwa rais wa zanzibar dr ali abed aman karume na kukabiliwa na swala kama lile aliloulizwa kikwete hivi leo nchi hii ingetafsiriwa vipi katika ulimwengu huu
pamoja ni mwizi kama kweli yanayosemwa maana wanamtandao waliwamwita dr. Salimu mwarabu wa oman!!
Nyani my friend, thank you for speaking up! Huu ni upuzi kusema eti wa kumlaumu Aisha!
Kuhani mkuu, napingana na wewe, Aisha hajamdharau mtu, unapoingia katika discussion panel kama hizi, hamna cha rais wala nani. Uko pale kama mjenga hoja (siyo rais au president of IFM) na pia bosi wa ukumbi ni moderator (Aisha), hizo ndizo rule. If you don't like it don't attend. hakuna aliyemlazimisha Kikwete ashiriki, ni kwamba alitaka kuuza sura aonekane CNN! Period. And that comes at a price. Na Aisha ali-establish mwanzo kwamba ukiongea sana she will cut you off, hebu angalia pale mwanzo alipoji-introduce.
JK alijidhalilisha katika efforts zake za kuuza sura, hakuna aliyemdhalilisha au kumwaibisha!
Nimemtumia email dada Aisha nikimpongeza kwa kazi nzuri aliyoifanya na kumpa pole for sexist remarks from Jk kuhusu Tanzanite ... kwikwikwiii! Angekuwa moderator wa kiume JK angem-offer Tanzanite? That's sexism my friend, na awe macho maana Marekani kitu kama hiki si mchezo! Pia kama unataka kuponda nguo aliyovaa Aisha naomba nikuulize ni utamaduni gani wa mtanzania wa kuvaa huijabu. Mabibi zetu walitembea kifua wazi na manyasi. Hebu acha kuleta hoja zisizo maana!
Mkuu mavazi ya kitamaduni ya kitanzania ni yapi?.....ulitaka avae nini?Mkodoleaji,
Kile kivazi Isha asingevaa kama angekuwa ana moderate ule mdahalo ndani ya Tripoli. Kwa nini, kwa sababu wanaheshimu utamaduni wa watu wa kipande kile. In fact angejipiga ushungi na hijabu na baibui and all that. Laura Bush style. Kwa nini, kwa sababu them people wa kipande kile huwa hawataki ujinga. Na watu wa CNN International huwa wanategemewa waheshimu desturi za local culture.
Sisi Waafrika wa sub-sahara ndio dada anakuja ku moderate an African orientated forum na ki blauzi kinaonyesha vikamba vya shimizi! Mbele ya dignitaries lukuki. Yani sijui kwa nini nilisahau kumwambia kuhusu kile kinguo. Na moja ya themes ya ile forum, kama alivyosema yule activist musician mwenye macheni makuuubwa (by the way, pale Nyerere asingekaa pale, in fact kuna wakati yule bishoo alitukana "shit") kama alivyosema wazi wazi yule mzungu mwenye macheni "acheni kuwa ma supplicants." Kuhofia hofia hawa wadhungu hawa (Tanzania yule Isha ni mzungu!).
Tena usizidi kuniudhi kabisa Mkodoleaji, usicheke kabisa, nisije nikavuta waya CNN International sasa hivi kuchafua hali ya hewa on that binti, never mind the e-mail thing. 😡
Yeah Mazee...preparation is key....
Let us give our Presidaa a brake wanajamii.
kwa kweli huyo mtangazaji ananiweka majaribuni.
- Embu angalieni hizo chuchu zinavyotaka kutoboa sidiria!!!
- Embu angalia alivyoshika mic,,kama vile ameshika ile kitu,,,inaonekana ni mtaalamu wa kula cone vile!!!.
Swali la kizushi,,, anamchumba??? Naombeni jibu asap,, kwani siku izi pete ni urembo.
kwa wale wa uk kama unaangalia bbc newsnight, jeremy paxman angemtoa roho kikwete or john snow wa channel 4.
Heheheheheee....raisi wetu mchemfu mno. Kaulizwa swali jepesi, la moja kwa moja na yeye badala ya kutoa jibu la moja kwa moja anaanza ku-ramble kama huyu blonde....
YouTube - Miss Teen USA 2007 - South Carolina answers a question
Halafu watu wanaanza kumlaumu Binti Sessay....