Is my wife dating someone else?

Is my wife dating someone else?

Joined
May 18, 2015
Posts
83
Reaction score
95
How are you guys? Hope you are doing well.

Friends, kwa hizi miezi tatu mimi na bibi yangu tumekuwa na ugomvi sana, but kwa wiki tatu sasa tumemaliza hizo shida zote, we are happy as a family, and we are not fighting anymore.

Two weeks ago, siku moja sikua na pesa hata a single coin, nika check kwa hand bag ya wife yangu niweze chomoa kile nitapata, sometimes kama sina pesa mimi huangalia bag ya wife kama kuna pesa let say kama kuna elfu kumi ziko kumi, mimi huchomoa elfu kumi 3 ya kuanzia siku, then nikikuja jioni nakuta amefura, narudisha elfu kumi sita, two times ya ile nilichukua.

So siku hiyo nilikua nikitaka kuchukua pesa kwa bag yake kama nitapata ziko, surprisingly, nikaona suruali ile wababa tunavaaga ndani wanaita boxer, ziko tano ziko packed pamoja mpya kabisa, anyway i said to myself may be amenunua zawadi yangu pengine Jana alisaau kunipatia, so atanipatia jioni, unfortunately vile naongea leo ni two weeks tangu siku hiyo sijapewa hizo boxer, na haziko tena kwa bag hiyo or anywere in our room.
So i decided to ask her about the boxers, my question caught her by surprise, and she had no immediate answer, akaniuliza uliona boxer kwa bag yangu? Nikaondoka bila kujibu lile swali.

Baadae she called me to say, ooh may be rafiki yangu aliweka hizo boxers kwa bag yangu bila kuniambia na kesho yake akachukua, she was referring to a friend huko kwa vicoba,Jioni rafiki yake akanipigia simu, i think on my wife's instructions, akisema ya kwamba '' shemeji ni mimi niliweka hizo boxers kwa bag ya bibi yako nilikuwa napelekea husband yangu gift i didn't buy that lie, vile nafikiri ni kwamba wamepanga hiyo uongo.

Now kindly advise me;

(a) Could it be that my wife was taking those boxers to her lover as gift?

(b) Is it possible that my wife's friend could put the boxers in the bag and then remove them the next day without my wife's knowledge?

(c) Do you think my wife engaged herself in an illicit affair during the three months of fighting?

My chest is burning with anger, Please advise accordingly


Yours faithfully
 
Hoja yako ya msingi ipo katika maelezo ya msingi uliyoyaandika kwa lugha ya kiingereza hapo mwishoni.

Tambua siyo kila mtu anaelewa hiyo lugha kwa hiyo huenda ukakosa ushauri ambao ungekusaidia kutoka kwa wasiojua kiingereza.
 
How are you guys? hope you are doing well

Friends, kwa hizi miezi tatu mm na bibi yangu tumekua na ugomvi sana, but kwa wiki tatu sasa tumemaliza hizo shida zote, we are happy as a family, and we are not fighting anymore

Two weeks ago, siku moja sikua na pesa hata a single coin, nika check kwa hand bag ya wife yangu niweze chomoa kile nitapata, sometimes kama Sina pesa mm huangalia bag ya wife kama Kuna pesa let say kama Kuna elfu kumi ziko kumi, mm huchomoa elfu kumi 3 ya kuanzia siku, then nikikuja jioni nakuta amefura, narudisha elfu kumi sita, two times ya ile nilichukua

So siku hiyo nilikua nikitaka kuchukua pesa kwa bag yake kama nitapata ziko, surprisingly, nikaona suruali ile wababa tunavaaga ndani wanaita boxer, ziko tano ziko packed pamoja mpya kabisa, anyway i said to myself may be amenunua zawadi yangu pengine Jana alisaau kunipatia, so atanipatia jioni, unfortunately vile naongea leo ni two weeks tangu siku hiyo sijapewa hizo boxer, na haziko tena kwa bag hiyo or anywere in our room
So i decided to ask her about the boxers, my question caught her by surprise, and she had no immediate answer, akaniuliza uliona boxer kwa bag yangu? Nikaondoka bila kujibu ile swali

Baadae she called me to say, ooh may be rafiki yangu aliweka hizo boxers kwa bag yangu bila kuniambia na kesho yake akachukua, she was referring to a friend huko kwa vicoba,
Jioni rafiki yake akanipigia simu, i think on my wife's instructions, akisema ya kwamba '' shemeji ni mm niliweka hizo boxers kwa bag ya bibi yako nilikua napelekea husband yangu gift
i didn't buy that lie, vile nafikiri ni kwamba wamepanga hiyo uongo,

Now kindly advise me

(a) Could it be that my wife was taking those boxers to her lover as gift?

(b) is it possible that my wife's friend could put the boxers in the bag and then remove them the next day without my wife's knowledge?

(c) Do you think my wife engaged herself in an illicit affair during the three months of fighting?

My chest is burning with anger, Pls advise accordingly


Yours faithfully
changwanya na za kwako mkuu................................
 
Hell NO to question (b). But it serves you right, you should have just taken the money like you always and not snooped in her other stuff.
 
Pole sana.. Hiyo ni sign that she's cheating coz hiyo explaination aliyokupa haina mashiko kabisa.
Otherwise,Learn not to go through vitu vya mwenzio...Leo umeshika handbag kesho ukishika mobilephone ndo utajuta.
 
My Kenyan bro...She is cheating. Me i have one principle...naamini kuwa kwenye ndoa huwa kuna mmoja mmyonge mmoja mjanja...kwa mwanaume ni bora uwe mjanja ili mkeo awe busy kukuchunga and not the other way round...do not bank your life to one woman...kuwa na mwanamke wa pili na uwe serious naye pia.....sitamfuatilia wife mkubwa maana niaatacha kuishi maisha yangu...ila akijionyesha wazi kuwa ana kachungwaa consrttate kwa mke mdogo baaasssss...akijua una mke mdogo hata kama kwa dalili hapo atakuheshimu sana na atashukuru ikiwa humdharau...pia kama wewe ni mukristo muweke wazi kiwa siku akimissbehave utatoka public na bi mdogo kwenye front pages...so she will be very careful na will compete to see kwamba she does not loose you.....

Ukiona mtu anagombana na mkewe ujue tu hana mke wa pili...

Yangu ni hayo tu..
 
Mkuu nakushauri kama ifuatavyo

amini maelezo ya mkeo na shoga ake ili maisha yaendelee. la sivyo utakufa siku si zako.


Kisha tafuta mke mdogo.....atanyoooka tu huyo..tena kama alijionyesha kiasi hiyo unapanga na ratiba za kulala..
 
Back
Top Bottom