Is ITV pro- CHADEMA?

Is ITV pro- CHADEMA?

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
38,560
Reaction score
48,906
Kwa siku za hivi karibuni nakwa kuzingatia siku ambayo kwa mtazamo wangu haikua haki kwa Rais wetu wa Jamhuri media hii katika maziko ya Mbunge wa Chalinze, ilimpa uzito mkubwa zaidi mwenyekiti wa Chadema bwn Mbowe kuliko kumpa uzito kiongozi wa Nchi.

Katika habari ya kwanza kabisa katika mfululizo wa habari za kitaifa, habari ilianza kwa kumnukuu kiongozi wa chama hicho cha upinzani akitoa wasifu wa marehemu kwa vyombo vya habari.

Kiongozi huyo alinukuliwa kwa kutoa kauli za kutoa wasifu chanya kwa marehemu na habari hiyo kumalizia kwa kusema kua mazishi hayo yaliongozwa na Mh. Jakaya kikwete Rais wa JMT.

Tafsiri ya vitendo hivyo ni kuwa Media haikumpa uzito kiongozi wa nchi na kumpa uzito kiongozi wa chama cha upinzani. Haikua sahihi.

Ukijaribu kufuatilia taarifa za habari pia zimekua zikikipa kipaumbele kikubwa chama hicho kuliko vyama vingine.

What is the hidden agenda, tutegemee nini kwa vyombo kama hivi vinapoamua kuwa biased?? Au ndio kama majibu kwa serikali kuwa na chombo chake cha habari TBC?? na Pro Chadema's kuanza kuigomea media hii kwa grounds kwamba kinaipa upendeleo serikali ya CCM?? Sidhani kama hili ni sahihi.

Media houses should play their role of reporting and not politics.
 
Akili yako imepigwa stroke! ingekuwa nzima ungewahoji TBCCM kwanza maana ni pesa yetu ya kodi! Kwa sasa ndio kimekuwa chombo cha maccm!

ONYO. kutumikia tumbo ni hatari kwa akili yako.
 
hata mimi nkisikia habari ambayo mkulu anaongea bora nihamie kwenye futuhi hana jipya kabsa TBC inamtosha huku kwingine tunaangalia watu wanataka kumsikilza nani! Thats all.!

Hapo unazungumzia choice, lakini sisi tunazungumzia utaratibu, utaratibu haukuwa sahihi, hiyo ndio msingi wa lalamiko langu
 
we kenge kweli kwani umelazimishwa kuangaalia itv c uangalie litv lenu tbc linalotoa habari za 1970.
itv ndo habari ya mjin.TBC inaangaliwa na wazee na mabalozi wa nyumba 10.
 
Akili yako imepigwa stroke! ingekuwa nzima ungewahoji TBCCM kwanza maana ni pesa yetu ya kodi! Kwa sasa ndio kimekuwa chombo cha maccm!

ONYO. kutumikia tumbo ni hatari kwa akili yako.
hapa ninahitajika nikuelimishe kidogo, TBC ni televisheni ya taifa wajibu wake mkubwa pamoja na mambo mengine ni kuwahabarisha watanzania shughuli za serikali na kwa sasa serikali iliyopo madarakani ni ya CCM huwezi epuka hilo, baada ya hapo inakuja kwenye habari nyingine na kwa kiasi kikubwa sana TV hii imekua ikiripoti mambo mengi tu ya kijamii si ya CCM pekee, kama hivo karibuni mkutanao mkuu wa chama cha upinzani cha NCCR tbc ilirusha matangazo yake live, sasa sijui hiyo prception kua ni chombo cha CCM inatoka wapi??
 
Did you ask the same question when ITV covered Kinana and Nape's tour to Ruvuma, Mbeya and Njombe? If not, huo ni unafiki ambao unakuvunjia heshima yako
 
Hapo unazungumzia choice, lakini sisi tunazungumzia utaratibu, utaratibu haukuwa sahihi, hiyo ndio msingi wa lalamiko langu

Kwani Rais aliongea siku hiyo au ulitaka ITV wamuoneshe tu ufurahi kumuona? Walioongea ndio waliopewa air time!
 
Did you ask the same question when ITV covered Kinana and Nape's tour to Ruvuma, Mbeya and Njombe? If not, huo ni unafiki ambao unakuvunjia heshima yako

walichokifanya haikuwa sahihi kumpa uzito kiongozi wa upinzani while mkuu wa nchi alikuwepo na walichofanya ni kutuhabarisha tu kuwa alikuwepo, kitendo hiki kilimaanisha kwamba mhusika mkuu alikua kiongozi wa upinzani na si mkuu wa nchi , kosa kubwa..
 
wa jamii iliyostaarabika kwamba mahali anapokuwepo kiongozi wa nchi apewe uzito unaostahili

Hata kama atakutia hasara eti umpe uzito tu? HAPANA kaka huo utaratibu kama uliwekwa na watu basi ndo unaondoshwa na watu pia Acha wenzio wasipoteze watazamaji bure hujui ni super brand hiyo.
 
mtoa mada inaelekea wewe ni wale wale wa form four failure kabisa au kweli akili yako imepigwa stroke
umeambiwa ITV ni chombo cha serikali?
mwandishi aliamua kuchagua ni habari ipi itaweza kuwavutia watazamaji kulingana na umuhimu wa tukio.
maswali yako hayo ungewauliza TBC na sio ITV.
ITV ni chombo huru na hakibanwi kumpa uzito mkubwa mkuu wa nchi,
zamani KBC walikuwa wanamtangaza Moi kaenda kanisani,au kaenda kwenye starehe zake
baada ya KIbaki kushinda ujinga huo ulikoma kabisa,KBC ikawa huru
tunategemea CCM itakapokufa kifo cha mende 2015 TBC itarudi mikononi mwa umma na sio CCM tena
 
hapa ninahitajika nikuelimishe kidogo, TBC ni televisheni ya taifa wajibu wake mkubwa pamoja na mambo mengine ni kuwahabarisha watanzania shughuli za serikali na kwa sasa serikali iliyopo madarakani ni ya CCM huwezi epuka hilo, baada ya hapo inakuja kwenye habari nyingine na kwa kiasi kikubwa sana TV hii imekua ikiripoti mambo mengi tu ya kijamii si ya CCM pekee, kama hivo karibuni mkutanao mkuu wa chama cha upinzani cha NCCR tbc ilirusha matangazo yake live, sasa sijui hiyo prception kua ni chombo cha CCM inatoka wapi??
Sura na akili zako zinafanana na Avator yako.natamani nikutukane ila naogopa ban then nishindwe kuchangia mada zenye maana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Simple calculations: Chadema cha wachagga + ITV ya wachagaa = ITV is Pro Chadema
 
Simple calculations: Chadema cha wachagga + ITV ya wachagaa = ITV is Pro Chadema
 
Back
Top Bottom