Jimjuls
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 484
- 161
Najua si ugonjwa na najua watu wengi wangefurahi sana kama wangekua kwenye situation kama yangu.But its just that kwenye malengo yangu to have a baby ilikua bado thats y napata tabu kidogo sitaki mtoto wangu aje kwenye dunia hii apate tabu whl nkijipanga hawezi pata shida yoyote!!!!
Asilimia kubwa ya watu huwa wanasema walikuwa hawajajipanga kupata watoto.Sasa wewe usiwe na wasiwasi viti vitakuja automatically.sawa!