Wakuu habari, naomba kujua hivi samsung galaxy note 4 kwa 500,000 inawezekana? Nimemkuta mkenya kwenye kupatana anauza hiyo bei.nataka kununua je ni kweli au utapeli.
Sio kweli...Samsung note 4 nimenunua dubai kwenye mtaa wa maduka ya jumla pale Deira kwa usd 480..huyo atakua kanunua wapii auze bei hiyo ambayo ni kama usd 250
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.