Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 2,287
- 4,502
Let's begin again with our endless debate. Questioning authority and culture ili tupate ukweli ulipo lala?
Meaning that God is imaginary, na ni kwasababu bado hatujui vitu that's why vitu vikitokea coincidentally tunaamini kuna nguvu imefanya hivyo.Uwepo wa Mungu ni philosophical beliefs, sio real kisayansi, ila ni inaweza kuonekana ni real ndani ya akili ya mtu aliye taka kuamini hivyo
Who proved this? What evidence supports your claim?God refers to the supernatural power that is beyond your imagination. It is the overall authority over the universe and it really exists. If you can't easily understand this, just try to go against the unwritten principles of the universe, you won't like the consequences
Ushahid wa uwepo wa Mungu ni dhaifu mno na umekaa kiimani tuMeaning that God is imaginary, na ni kwasababu bado hatujui vitu that's why vitu vikitokea coincidentally tunaamini kuna nguvu imefanya hivyo.
Ni kweli maan sometimes tukitrace back on the human history hivi vitu havikuwepo mfano wahadzabe ambao hadi sasa huishi maisha primitive hawana Imani kuhusu haya mambo same it started from one person then spread out to other people.Ushahid wa uwepo wa Mungu ni dhaifu mno na umekaa kiimani tu
Unawezaje kujaribu kuthibitisha kitu ambacho unadai ni beyond your imagination?God refers to the supernatural power that is beyond your imagination. It is the overall authority over the universe and it really exists. If you can't easily understand this, just try to go against the unwritten principles of the universe, you won't like the consequences
All the programmed life ni kwasababu ya binadamu. Lugha tunazoongea sasa issue ya beyond imagination sijui kama ipo ila on my side it's a theory.Unawezaje kujaribu kuthibitisha kitu ambacho unadai ni beyond your imagination?
FactsUthibitisho haupo,na Yeye hayupo! Full stop
Uwezo wa mwanadamu wa kufikiri una ukomo.Unawezaje kujaribu kuthibitisha kitu ambacho unadai ni beyond your imagination?
No limits but kwasababu ya rules zilizopo ndio maana watu wanaishia wakuamini hivyo. In real sense, na kwenye kutafuta ukweli ulichokisema bado katika normal human reasoning unazunguka kwenye circle kuprotect ulicho aminishwaUwezo wa mwanadamu wa kufikiri una ukomo.
Binadamu kuwa na ukomo sio sababu ya kujazia na imani isiyothibitika.Uwezo wa mwanadamu wa kufikiri una ukomo.
Ukishaona mjadala na maswali kuhusu uwepo wa Mungu (awali ya yote nakusudia Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na nwenye upendo wote), huo mjadala tu ni ushahidi kuwa Mungu huyo hayupo.Cc Kiranga cha ngeba from pwani
Limited thinking kwasababu ya kuwa programmed, kukariri mistari ya maandiko ya kidini.Binadamu kuwa na ukomo sio sababu ya kujazia na imani isiyothibitika.
Sahihi kabisa.Ukishaona mjadala na maswali kuhusu uwepo wa Mungu (awali ya yote nakusudia Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na nwenye upendo wote), huo mjadala tu ni ushahidi kuwa Mungu huyo hayupo.
Kwa sababu Mungu huyo mwenye sifa hizo hatakiwi kuwa mkatili hivyo kuwanyima uwezo watu kujua kwa uhakika, bila mjadala wala maswali, kuwa yeye Mungu yupo.
Mungu angekuwapo kweli, isingewezekana kuwa na mjadala kuhusu uwepo wake.
Uwepo wake ungejulikana, ungejulikana kwa wote, wakati wote, pahali pote, muda wote, bila shaka yoyote, kwa namna ambayo mjadala kuhusu uwepo wake usingewezekana.
Kwa hiyo, ukiona swali, mjadala, mabishano yoyote, kuhusu uwepo wa Mungu, hilo swali, huo mjadala, hayo mabishano, ni uthibitisho kuwa huyo Mungu hayupo.
Yani huyo Mingu ni kwa kwenye hadithi za kutungwa na watu tu, zaidi ya hizo hadithi, hayupo.