excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,862
wana mmu! bila shaka mu wazima wa afya!
suala hapo juu limekuwa likinisumbua sana! tuwaache wale walioko kwenye ndoa, tujadiliane sisi ambao ni bachelors
kwanza japo na wao wachangie kwa sababu walipitia hii hatua!
naomba nifafanue hapa kwanza maana ya hii economic term, derived demand, ''is the demand that results to the
demand of the other good'', yani uhitaji wa huduma fulani, kwa mfano usafiri wa daladala, unapelekea kupata kitu
kingine tofauti na ule usafiri. hivyo, usafiri umepelekea kupata kitu kingine!
hii mimi binafsi nimeweza kuifananisha moja kwa moja na hili suala ambalo linatusumbua sisi vijana mostly,
kwanini kila kijana sasa hivi ana 'demu'? je, unafikiri huyo aitwaye dem ni kkwa ajili ya urafiki tu wa kawaida kama kusaidiana mambo fulani fulani?
kwanini kila kijana mwenye msichana lazima kuwe na ngono kati yao?
kwa hiyo kwa haraka haraka ni kwamba, hatuhitaji wanawake, ila tunahitaji papuchi zao ?
NB: kwa walio kwenye ndoa, hii pia inawahusu sana!!!!!!! kwanini mwanamke asipokuwa na uwezo wa kuzaa inakuwa majanga?
karibuni tujadiliane wadau!!
suala hapo juu limekuwa likinisumbua sana! tuwaache wale walioko kwenye ndoa, tujadiliane sisi ambao ni bachelors
kwanza japo na wao wachangie kwa sababu walipitia hii hatua!
naomba nifafanue hapa kwanza maana ya hii economic term, derived demand, ''is the demand that results to the
demand of the other good'', yani uhitaji wa huduma fulani, kwa mfano usafiri wa daladala, unapelekea kupata kitu
kingine tofauti na ule usafiri. hivyo, usafiri umepelekea kupata kitu kingine!
hii mimi binafsi nimeweza kuifananisha moja kwa moja na hili suala ambalo linatusumbua sisi vijana mostly,
kwanini kila kijana sasa hivi ana 'demu'? je, unafikiri huyo aitwaye dem ni kkwa ajili ya urafiki tu wa kawaida kama kusaidiana mambo fulani fulani?
kwanini kila kijana mwenye msichana lazima kuwe na ngono kati yao?
kwa hiyo kwa haraka haraka ni kwamba, hatuhitaji wanawake, ila tunahitaji papuchi zao ?
NB: kwa walio kwenye ndoa, hii pia inawahusu sana!!!!!!! kwanini mwanamke asipokuwa na uwezo wa kuzaa inakuwa majanga?
karibuni tujadiliane wadau!!