Anapigana na mzee mwenzie, pambano la hisani, kama ulivyosema ni la kifedha zaidiHuyu mwamba nimeona anajipanga kutaka kurudi tena ulingoni,sijui kama atafua dafu,ila nadhani anajua atatengeneza pesa nyingi sana kwenye huo mpambano hata kama atashindwa,kwahiyo hatajali kupoteza pambano anaangalia zaidi mkwanja...
Sent using Jamii Forums mobile app
Aangalie na kifo pia sababu akili ipo ila mwili hauta mkubalia kirahisi rahisi hivyo sababu hata waqt wa uhai wake wa ndondi hakuwa mvumilivu wa kucheza mizunguuko (rounds )nyingi sasa asiweke njaa penye mfuko wa rambo aah imepigwa marufuku hiiHuyu mwamba nimeona anajipanga kutaka kurudi tena ulingoni,sijui kama atafua dafu,ila nadhani anajua atatengeneza pesa nyingi sana kwenye huo mpambano hata kama atashindwa,kwahiyo hatajali kupoteza pambano anaangalia zaidi mkwanja...
Sent using Jamii Forums mobile app