GreenCity
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 5,620
- 4,265
Katika hali ya kustaajabisha, wakati baadhi ya wamachinga kutoka Jijini Mbeya wakijiandaa kuja kulazimisha serikali kuruhusu wenzao wa Iringa kuendelea na mnada wa jumapili eneo la mashine tatu Iringa mjini;
leo takribani wamachinga 40 wameongozana hadi kwa mkurugenzi Mr. Mwamwindi (ofisini) na kumtaka ajiandae kuwaua wote hapo jumapili kwani hawatakubali kamwe kuondolewa.
Lakini kinyume chake, mkurugenzi pamoja na meya wamekuwa wapole, kwanza wakawaambia wafanya biashara hao wawe wapole ili waelewane, ndipo zikanunuliwa soda na maji na mazungumzo kuchukua mkondo wake.
Mwisho Meya na Mkurugenzi wakawakubalia wamachinga hao kuendelea na biashara siku ya jumapili kwa kuwaasa kuepuka vurugu na kuzingatia usafi wa mazingira eneo hilo. Basi ikawa shangwe tupu.
Chanzo: mdogo wangu alikuwepo (mfanyabiashara)
my take:
upo wapi ulazima wa nguvu na rasilimali zilizotumika jumapili iliyopita.
leo takribani wamachinga 40 wameongozana hadi kwa mkurugenzi Mr. Mwamwindi (ofisini) na kumtaka ajiandae kuwaua wote hapo jumapili kwani hawatakubali kamwe kuondolewa.
Lakini kinyume chake, mkurugenzi pamoja na meya wamekuwa wapole, kwanza wakawaambia wafanya biashara hao wawe wapole ili waelewane, ndipo zikanunuliwa soda na maji na mazungumzo kuchukua mkondo wake.
Mwisho Meya na Mkurugenzi wakawakubalia wamachinga hao kuendelea na biashara siku ya jumapili kwa kuwaasa kuepuka vurugu na kuzingatia usafi wa mazingira eneo hilo. Basi ikawa shangwe tupu.
Chanzo: mdogo wangu alikuwepo (mfanyabiashara)
my take:
upo wapi ulazima wa nguvu na rasilimali zilizotumika jumapili iliyopita.