Iringa: Polisi wazuia Mkutano wa Mbunge Mch. Peter Msigwa[CHADEMA]

pantheraleo

JF-Expert Member
Jan 5, 2013
691
878
1571927799367.png
1571927810629.png


Zaidi.soma:


 
It makes no sense. Mbunge anataka kufanya mkutano na watu wake waliomchagua anazuiwa! Mbona sijaona wabunge wa chama tawala wakizuiwa? IGP alipaswa kuanza na haya ikiwa anataka kuonyesha kuwa jeshi analoliongoza ni 'apolitical' na lina weledi.
 
Jana hapa nilikomenti nikasemaa ajiandae kupokea barua ya kuzuia leo yametimia sasa
View attachment 1243258View attachment 1243260

Zaidi.soma:


 
Hizo taarifa walizotoa police ni za kweli kabisa usipingane nao.

Ukweli ni huu, historia ni mwalimu
1. Akwolina
2. Mwangosi
3. Olasiti Arusha Tena kanisani
4. Mawazo
5. Tundu lissu

Kubali yaishe
 
Back
Top Bottom