Dodoma sababu ya ukame na hali ya vumbi mji haupendezi. Iringa ni ndogo lakini ule ukijani na kukosa vumbi hakika mji unapendeza the same to Arusha Moshi na Mbeya ni miji mizuri
Magufuli alijaribu kupapigania Dom aligawa mpaka maeneo ya kujenga ofisi za mabalozi.yani mabalozi watoke Dar wahamie Dom ili tu mji unawiri,haaa lakini wapi mambo magumu kwa Dom.