MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 20,895
- 63,790
Junction ya Mashine-Tatu na Msikiti wa Ijumaa.
Junction ya Mashine-Tatu na Msikiti wa Ijumaa.
YeahJunction ya Mashine-Tatu na Msikiti wa Ijumaa.
yeah! Umesoma apo nini? Maana unaonekana iringa unaijua sana!Hapa ni geti la juu ukiwa unatoka Wilolesi ???
Nisipafahamuje wakati hapo ndiyo palikuwa ni Chuo Cha Benki mzee...yeah! Umesoma apo nini? Maana unaonekana iringa unaijua sana!
true! Kitambo hichoNisipafahamuje wakati hapo ndiyo palikuwa ni Chuo Cha Benki mzee...
Ushahidi huu hapa msikilize huyu mamaNasikia huko mbwa ni mnyama adimu
Hapa ni mitaa ya chini kama unakuja kanisa la RomaAaaah, huku ni kule juu VETA...
Panaitwa kitanzini
Unaweza kuchukua picha gangilonga. Nimepamiss sana Iringa
Wapi?
12 and counting.Kasi ya ujenzi wa majengo ya ghorofa kwa Iringa umatamalaki, ukitoa Dar na Mwanza, Iringa inaweza kufuata kwa kasi ya ujenzi wa maghorofa, nimepita CBD ya Iringa kuna maghorofa zaidi ya 12 yapo underconstruction
View attachment 2929416