Yani, haya yote nnamfanyia gameover sababu alikejeli sana miji za kenya, ata akasema eti Thika ni robo ya Dodoma University kwenye uzi nyingine, ndo nikaona heri nimfuate hadi uzi ya mji ya nyumbani kwao, Iringa, ili nipate kumsuta na kum prove wrong.Tupe na maelezo tafadhali
Iringa mji msafi sana sijui jiji la Arusha wanafeli wapi kwa uchafu, yaani eneo maarufu kitalii but chafu kuliko kuanzia Maeneo ya TANAPA kuingia town panatia kichefuchefu,watu wageni wakisikia Arusha wanaichanganya na Moshi kumbe huko ni Kilimanjaro. Arusha pa hovyo sana eti Clinton akapaita Geneva of Africa na bado aliretwa Cultural Heritage kuchukua vinyago sijui walimpitisha usiku?mzur msafi na unavutia
Mji huu unanikumbusha mengi
Maeneo pendwa ya kmoo
Kunusurika kuvunja meno gangilonga
Kumpiga bit meneja wa bank fulan
Kunusurika kuingia kwenye mikono ya mzambia kisa maindi ya kuchoma
Ipo siku nitarudi kuishi iringa
mbona nabolingo na ngai, ulipotea kwenye uzi wa Dar vs Nairobi.. imekua mmda, miezi kadhaa sasa imepita, mwisho nikikuona pale, mremboKinacho niudhi eti kila demu ana ukimwi
Jamani eee! aliye muelewa huyu jamaa ani-tag!..weye kabila gani mkuumbona nabolingo na ngai, ulipotea kwenye uzi wa Dar vs Nairobi.. imekua mmda, miezi kadhaa sasa imepita, mwisho nikikuona pale, mrembo
ila, unakaribishwa tena pale bonge la toto
mimi omwana chikenya toka kericho. ila niliopo ssahivi, yaani kikazi ni nairobaa,Jamani eee! aliye muelewa huyu jamaa ani-tag!..weye kabila gani mkuu
Na mie niko hapa Methodist Hotel! nimekuja semina ya mwezi mzima daa basi njoo tuonane!mimi omwana chikenya toka kericho. ila niliopo ssahivi, yaani kikazi ni nairobaa, mshikaji wangu