IRINGA: Mkoa wenye kabila moja tu!

Wagogo pia wamo.

Vv
 
Naanza kupata mashaka na kinachofunzwa huko mashuleni siku hizi! Kwa hiyo "busara" ni kuhakikisha kila mkoa una kabila zaidi ya moja? Makabila yanatajwa kwenye sheria ipi na yanasaidiaje kufikisha huduma kwa wananchi? Hivi KARNE HII na NCHI HII kuna watu wanawaza hivi bado?
 
Mkoa wa (1)Tabora--Wanyamwezi
(2 Simiyu--Wasukuma
(3) Shinyanga--Wasukuma
(4) Rukwa---Wafipa
(5) Geita - Wasukuma
(6) Kigoma - Waha
(7) Moshi (kilimanjaro) - Wachaga
(8) Dodoma - Wagogo
(9) Mtwara - Wamakonde
(10) Bukoba (kagera) - Wahaya.

NB: Kwenye mikoa hiyo, wengine kama wamo ni wakuja tu (Wamahanga) na ni wachache wala hawajulikani.
 
Ndio
 
kwahiyo mkuu una mind au!? ila twivagaya sida nalunoge lweki!
Vatulekage beh, leke twiyangasule yaan tukwinoma hela.... Sisi ndio mashujaa kwan ni nani asiyemjua mtwa mkwawa kwa hiyo sioni shida tukibaki wenyewe.. Kwa kuwa sisi ndio tulioipigania iringa dhidi ya wakoloni na tulifanikiwa kumchapa mkoloni hadi akarudi kujipanga tena...
 
(5) Geita - Wasukuma
(6) Kigoma - Waha
(7) Moshi (kilimanjaro) - Wachaga
(8) Dodoma - Wagogo
(9) Mtwara - Wamakonde
(10) Bukoba (kagera) - Wahaya.

NB: Kwenye mikoa hiyo, wengine kama wamo ni wakuja tu (Wamahanga) na ni wachache wala hawajulikani.
Hakuna Mkoa wa moshi
Sisi kwetu wapo wachagga wapare
Wamasai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…