NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,383
- 12,950
Mgeni kwenye kazi huyo
Tembea na picha yake kila ukimkumbuka unaangalia picha yake.Tutakukumbuka sana Dkt Magufuli, vijana sasa taifa limeruhusu wafe kwa madawa, hakika hili kundi lina power
Atapatikana Dkt Magufuli mwingine!Tembea na picha yake kila ukimkumbuka unaangalia picha yake.
Labda iwe kutoka chama kingine lakini si ccm,hawawezi kufanya makosa waliyoyafanya 2015 tena.Atapatikana Dkt Magufuli mwingine!
Kapitia njia ama Mangaka (nanyumbu),kupitia tunduru ,songea mjini ,njombe ,iringa aingie Moro ,pwani then dar , ameogopa kupitia mtwara na lindi Ili stokee mbagalaJiografia imenichanganya kidogo, Msumbiji inapakana na mikoa ipi?
Ama mimi ndo sielewi hapa.
Seriously?Hii Kaz naitaka sana kumbe hasara sana?
Anaitwa mwasema Rashid 🤣🤣kwel njaa Haina mwezi mtukufu
😂😂😂😂😂 Yaaa RashiiidAnaitwa mwasema Rashid 🤣🤣kwel njaa Haina mwezi mtukufu
Hapo inategemea kuna mambo kadha wa kadha yawezekena yamemkutaNa hizi bumps za tanrods lazm tumbo livuruge mpaka nahisi zimewekwa kwa ajili ya hawa wameza ngada
AstakafiruHii Kaz naitaka sana kumbe hasara sana?
Swali la kwanza kujiulizaUpuuzi, unatoka Msumbiji na Mzigo, unameza kwa nini!?
Wakati alikua anaweza kusafiri nazo bila kuzimeza na zikafika salama.
Kabisa ila kupasukiwa Kwa tumbo sasa🤣🤣🤣🤭🙌Seriously?
🤣🤣🤣Astakafiru
Mgeni kwenye hizo kazMchongo umekuwa mchongoma, watoto wa mjini hawawezi kufanya mistake ka' hizo. Jamaa kafeli padogo sana.